REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

AMBER ROSE: SISUMBUKI NA WANAOKOSA YANGU YA NYUMA

9:04:00 AM Add Comment

Na Baba Juti
AMBER ROSE amesema kuwa Kamwe Hachoshwi na wala kuumizwa Kichwa na Wale wote ambao bado wanamkosoa kuhusu mabaya ya Nyuma ambayo amewahi kufayafanya.

Ukosoaji Huo ulitokana na yreye kuanza kujiita "Feminist" yaani Mwanaharakati wa Masuala mbali mbali mfano Siasa, Jinsia, nk, ambapo watu wengi walianza kudai kuwa, Amber Rose hatakiwi kujiita Mwanaharakati , ukizingatia awali alikuwa ni Mcheza Utupu katika Strip Clubs Nchini Marekani

Amber Rose (32) ambaye Pia ni mama wa Mtoto SEBASTIAN -The Bash, aliyemzaa na Wiz Khalifa, amesema kuwa, kwa wale wasiofahamau maana ya neno "Mwanaharakati" kamwe hawamkatishi tamaa"

"Wanajichanganya Wenyewe kwa Kusema eti mambo yangu ya Nyuma hayanifanyi kuwa stahili ya jambo fulani. Hawawezi kumwambia mwanaume kuwa, asisaidie watu fulani kwa sababu ya mambo yake ya Nyuma, ila kisa mie ni Mwanamke"

#DakaHiiFasta: SALOME IMEIBUA ACCOUNT HIZI 5 ZA SAIDA KAROLI INSTAGRAM?

8:28:00 AM Add Comment

Na Baba Juti
KUDADADEKI Dimondi, haya Bwana, kwanza Mzigo uko poa, laiki pia Baada ya Miaka Mingio, eti leo ndo tunamuona Saida Karoli Instagram, Ya Kweli hayo?

Hii Inaitwa ni Kupatwa Kwa SAIDA KAROLI instagram, ikiwa ni baada ya Mkwaju wa Salome Kuachiwa , Basi imeibuka account Mpya ya Instagram inayoitwea SAIDA KAROLI TZ ambayo bado wengi wanamashaka nayo huku wengine wakiishia Kucheka na kutoa Comments kadha wa kadha.

Katikia Account Hiyo, Kumekuiwa na Picha Sita Tu, yaani POST 6 Tu ambazo zimeanza kupostiwa Siku ya jana zikimuonesha Saida Karoli katika Matamasha na Picha Nyingine za Zamani, jambo ambalo limewafanya Wengi waanze kukinzana kuwa huenda ikawa ni account ya Saida Karoli au lah

Mtu wa Kwanza kuwa na Utata, alikuwa ni JACQUELINE WOLPER ambaye aliandika kama Ifuatavyo;

"Sema insta mko shapu.... kuna saida kalol sjui karol kashafungua account hahaha aise nyie wana insta ni Mamba Tuachane na mnyama anaitwa kiboko nitakua nawaonea ... shikamoo saida wa insta ila haka kangoma ka salome kanachachua mweeeee"

MPAKA HIVI sasa kuna account kadhaa ambazo zimefunguliwa kuanzia Jana

  • 1. Saidakaroli_tz - Followers : 1,130 +
  • 2.saidakaroli_updates - Followers : 4,400+
  • 3.Saidakarol-  Followers: 21
  • 4. Saidakaroli - Followers : 1,200 +
  • 5. Saida_karoli- Followers: 17


Tofauti na hilo, likaibuka Bishano la hatari kila maccount kutuhumu Nyingine kuwa sio ya Saida Karoli, bali ya Ukweli ndo hiyo inayotuhumu..
Mfano

Saida Karoli Updates
"Account iliyofunguliwa kwa jina la saidakaroli_tz haimilikiwi na saida karoli... Bali account iliyoandikwa @saidakaroli tu bila tz ndo saida na hata hivyo saida karoli hatumii tena instagram kwa sasa... Account hiyo mpya imefunguliwa na memba wa WCB|

#DakaHiiFasta: RAY C NASEMA OLD IS GOLD..UNAHISI YUKO KATIKA UBORA WAKE KATIKA SAUTI HII ?

8:17:00 AM Add Comment

Na Baba Juti
KWA wale Nyote ambao mlikuwa mmemis Kiuno Bila Mfupa-Ray C, kuna Hili la kufahamu kutoka kwake
.
Kitu ambacho Bibi Huyu anakiamini mpaka Hivi sasa, ni kwamba Cha zamani hata siku moja, kamwe hakisahauliki.

Kupitia Instgram account Yake, Ray C amedai kuwa, ukiwa na Imani, ukajikubali na ukajiamini, basi hujachelewa, ila cha Msingi ni Kufanya Uamuzi mmoja tu kuwa, hakuna linaloshindikana .

TUNAMNUKUU"
"Old has always been Gold No matter what!Kuwa na imani,Jiamini,Jikubali,hujachelewa fanya uamuzi mmoja tu kuwa hakuna linaloshindikana na Yule alie alie basi njia yako ataifanya fupi na milango ya baraka ni saba mara sabini,mtafute kwa imani na umwambie yote unahitaji kwenye maisha na atakurejeshea kila kitu chako likilichoibwa na shetani muovu tena aid ya uliyokuwa nayo hapo mwanzo kwani.Pangisha mtu mmoja tu kwwnye moyo wako ambae jina lake anajiita imani,ukiwa nae Huyo yote yatakuwa salama."

Tofauti na Hilo, RAY C ambaye alichukua nafasi kubwa sana katika Soko la Muziki wa Kizazi kipya hasa kupitia Style ya ZOUK kabla hajaingia katia Matumizi ya Dawa za Kulevya, bado amewapa matumaini Mashabiki wake kuwa Ubora wake uko pale plae Licha ya Kuwepo kwa Changamoto kadha wa Kadha ambazo zimekuwa Zikimkabili.

Utamu na Ubora Wake Upo kama Ifuatavyo.


MNADA BANNER