REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

FAIZA ALLY: MNAONIONA MZEE, MNA MALIENGE A.K.A MAKENGEZA. VIMINI SIACHI KUVAA, MTOTO HACHUKULIWI NG’OO

2:29:00 AM Add Comment

ANOTHER Ishu Tena, Imetokea kunako Instagram, na Instachocho lazima Tukomae Nayo Piga Ua.

Ikiwa ni Mwingi wa Kuzungumza Makavu hasa kwa wale ambao still wanamuandama na Ishu Kuvaa Nusu Utupu, na hata kunyan’ganywa Mtoto, Safari hii Faiza amefyatuka kuwa, Wanaomchukulia yeye ni Mzee , basi wana makengeza.

Pia faiza ameongeza kuwa, Havai Madela kama wengi wanavyomtaka, akiwa kama mama, na Mtoto hachukuliwi Ng’oo.

ALIANDIKA HIVI:

mtoto ninae na hatoki manina zenu- na vivazi ndio hivyo. nimecheka sana kuna bwege na mabwege wenzie wanajua mwanangu alichukuliwa eti wanafurahia hahahahaaa mtasubiri sana na madira sivai, mwanangu hajachukuliwa n'go na hatachuliwa kamwe!!!!!! Na vimino siachi ndio kwanza usichana unaanza nyie mnao nione mzee mna malienge aka makengeza !!!! Oh yeah mimi mzuri kudadeki!!!!! Kama huamini jiangalie halafu ujifananishe na mie

LEO NI SIKU YA 4 BEN POL AKIWA KATIKA COKE STUDIO. TIZAMA PICHA 15 KUTOKA KWA BEN POL

12:39:00 AM Add Comment















MNADA BANNER