REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

YALIMKUTA: Kuweni Makini na Vinywaji Mnavyokunywa

8:41:00 AM Add Comment
 Hali ilvyo sasa baada ya kufanyiwa Oparesheni ya Uso

 Alipokuwa katika Matibabu baada ya kuungua na Kinywaji hicho.....

Kinywaji ambacho jamaa alikuwa anakunywa na kumsababishi Madhara hayo, baada ya mwenzake kumuwashia moto na kutupia humo, wakati jamaa anakunywa.

MZIGO MATATAH!.......MWENYEWE KARIDHIKA NA ANAFURAHIA...UTAMWAMBIA NINI?

8:04:00 AM Add Comment





Nani Kasema anahips kuliko huyu Mama?
MIKEL LUFFINELL (30) raia wa Uingereza, Mama mwenye Mzigo matata wa Hips za asili na Sio MCHINA

Huwa inamuwia vigumu sana kupta katika Milango ya Nyumba, ambapo humbidi apite Iupand upande ili aweze kuelekea mahali anakopataka.

Kama haitoshi, ukimpatia nafasi moja tu ya kukaa (Seat) katika Ndege, basi umempa mateso sana. Humlazimu kuchukua Seat mbili katika Ndege pindi anapokuwa kati safari zake kadhaa kwa Kutumia Usafiri huo.

Bi. Mkubwa huyu anausafiri wake binafsi, namaanisha Gari , na humlazimu kutumia nafasi kubwa sana ili aweze kuhimili kila shughuli yake

Ila, binafsi yeye anaufurahia unene wake !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

NDUGU WATANZANIA, HUYU NI MTANZANIA MWENZETU

4:08:00 AM Add Comment


Mtoto Hanifa Salum Hassan mwenye umri wa miaka mitano anasumbuliwa na ugonjwa wa Saratani ya Damu (Leukemia) ambao umemfanya ashindwe kusimama na kutembea, anasumbuliwa na maumivu ya kichwa wakati wote, wakati mwingine

hushindwa kupumua hivyo kulazimika kupumua kwa kutumia mashine pia hawezi kula analishwa kwa kutumia mirija na pia kila baada ya muda inabidi abadilishiwe damu.

 MATIBABU

  • Matibabu ya mtoto Hanifa ni ya gharama kubwa sana. Ugonjwa wake haukujulikana alipopelekwa Hospitali ya taifa Muhimbili lakini alipopelekwa nchini India gharama za uchunguzi pekee zilikuwa dola 7,600 ambapo mtoto Hanifa aligundulika kuwa na ugonjwa wa Acute lymphoblastic Leukemia. Matibabu yake yalipangwa yawe kwa awamu tatu ambapo awamu ya kwanza ya matibabu iligharimu dola 10,000. Mwisho wa awamu ya kwanza zilihitajika dola 10,000 zingine ili aingie kwenye awamu ya pili ya matibabu lakini uwezo wa ndugu na jamaa ulikuwa ndio umeishia hapo hivyo matibabu ya mtoto Hanifa yalilazimika kukatishwa na Hanifa kurudishwa Tanzania. Ripoti za madaktari India zilipelekwa Muhimbili ambapo matibabu ya mtoto Hanifa yalipangwa kugharimu Tsh. milioni 2 kwa mwezi. Hakuna pesa za kumwezesha mtoto kuanza matibabu Muhimbili hivyo mtoto Hanifa amebaki nyumbani jijini Dar es Salaam akiwa kwenye hatari kubwa ya maambukizi mbalimbali ambayo yanaweza kuhatarisha maisha yake.


Hadi sasa ndugu na jamaa wanahaha kutafuta pesa za kumwezesha mtoto Hanifa kumalizia awamu mbili za matibabu yake nchini India kama ikiwezekana au ikishindikana basi aweze kuanza matibabu Muhimbili.


  •  MICHANGO
Kwa watakaopenda kujitolea kuokoa maisha ya Mtoto Hanifa wanaombwa watoe michango yao kupitia akaunti hizi


  • Kwa walio Tanzania

 Jokha Khamis Issa
Akaunti Namba: 041212000428
People Bank of Zanzibar

Kwa mawasiliano namba ya simu ni: +255 777 462587Kwa walio nje ya Tanzania wanaweza kutuma michango yao kwa akaunti hii

Suleiman Maadini
Account Number: 15092968
Sort Code: 30-67-99
Bank: Lloyds TSB
Country: United Kingdom

Kwa mawasiliano na Bwana Maadini: +44 78 18674305

WANAOTUFUNGIA WIKI :Jeniffer Lopez na Serengeti Boy Wake Casper Smart

4:02:00 AM Add Comment
 Pozi Matata

 Katika Moja ya Mitaa huko...makwao

 Wakiwa kwa Stage wakipiga Mzigo

 Wakiwa katika Pozi la Red Carpet Event

 Kama Kawaida...wakiwa katika Kuzitafuna zile za Kuitwa Bata

Wakiwa Kazini

EXCLUSIVE : UPEPO WAHARIBU KIJIJI CHA NTENDO

3:39:00 AM Add Comment
 Mazao yalioathiriwa katika Shamba

 Sehemu nyingine ya mazao hayo yaliyoharibiwa na Upepo huo

 Baadhi ya Wanakijiji wakishangaa na kusikitishwa na Upepo huo ambao umeharibu makazi yao

Moja ya Nyumba ambayo imeathiriwa na Upepo huo

 Wanakijiji wakikagua Mazao yao yaliuoharibiwa na Upepo wa Kapululu


 Wakazi wa Kijiji hicho wakiwa Nje ya mopja ya Nyumba iliyoathiriwa

 Baadhi ya Mitit ikiwa imeng'olewa na Upepo huo katika Kijiji cha Ntendo


 Nyumba ikiwa imeharibika


 Sehemu nyingine ya Mazao yaliyoharibiwa


 Wakazi wakiwa katika eneo la Tukio



 NA SIMON MANYIKA. RUKWA.
Wakazi wa Kijiji cha Ntendo katika wilaya ya SONGEA, Mkoani Rukwa, wameharibiwa Makazi yao na Mazao yao baada ya kutokea Upepo unaofahamika kwa jina la kamshuluku au Kapululu hapo juzi, usiku wa kuamkia Jana.

Upepo huo ambao kiujumla huwa sio mkubwa sana, umefanya madhara tofauti ikiwemo kuharibu nyumba za Wanakijiji na Baadhi ya Mazao ambayo yalikuwa yamepandwa Shambani, kama inavyoonekana katika Picha













MNADA BANNER