REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

MKUBWA FELA: "ASLAY MWENYEWE HAJANITAFUTA, SIWEZI KUAMINI MAMBO YA MITANDAONI !!!"

1:53:00 AM Add Comment

Na Rich Sam   
#WatuWaMungu Kuvunjika kwa Mahusiano ya Aslay na Mzazi mwenzake Tessy Abdul Maarufu kama Tessy Chocolate yamekuwa ni moja kati ya mazungumzo makubwa sana kunako mitandao ya kijamii

Hali hiyo imewafanya wengi ambao walikuwa wakifuatyilia na kuenjoy mahusiano ya wawili hao kwa ukaribu, wajiulize maswali mengi vichwani mwao hasa kuhusu sababu kubwa iliyowafanya wawili hao wabwagane chini

Ukiachilia mbali watu wengine kuwa na Maswali, hata aliyekuwa Manager wa Aslay ambaye pia ni kama mlezi kwake, Mkubwa Fella, naye anashindwa kujua ni kipi ambacho kinaendelea kati ya wawili hao kiasi cha kufikia maamuzi hayo ilihali wana mtoto mdogo anayeitwa MOZAH

Katika Suala la kuwapatanisha kama ilivyo kwa Wengine, Mkubwa Fella amedai kuwa yeye mpaka muda huu hajaitwa kutoa ushauri ama kuelezwa tatizo ni nini, hivyo kama ataitwa, basi atafanya hivyo maana hata Aslay mwenyewe hajampigia simu bado

#AnotherOne : SIKIA HII MPYA KUTOKA KWA RJ THE DJ AKIWA NA LYDIA BROWN-TONIGHT

12:59:00 AM Add Comment

Na Baba Juti  
GOOD MORNING Tanzania !!!!. Project za Romy Jons a.k.a RJ THE DJ still zinaendelea ikiwa ni baada ya kuachia Project yake ya BORA IWE ambayo amemshirikisha Barakah The Prince.

This time, RJ ameshusha Brand New Song ambayo inafahamika kwa jina la TONIGHT na amemshirikisha Bibie mwenye sauti yake-LYDIA BROWN
Check It Out !!!!

MNADA BANNER