REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

SUNDAY BABE: HAVE YO SEEN RUBBY? LETS SEE

2:53:00 AM Add Comment

INSTACOP
On This Sunday, Let me take you to this Cute Lady from Tanzania. She goes by the name RUBBY, and believe me, she has the Cutest Voice that you cant Imagine

Infact, she has been quiet for while in the industry, but that does not make her go away from social networks (such as instagram).

One the cutest quotation from her, was this.... which she posted on her instagram account
"If you pay too much attention to people you will surely perish!ignorance is a bliss I tell you..!"

Today, I have decided to Remind you that, the Chagga Gir is active and shinning well in her instagram account, thats why we made her the "SUNDAY BABE"

Take a look at her Pics:





VIDEO: MWANA FA x AY x FID Q- UPO HAPO?

2:39:00 AM Add Comment

Na Baba Juti    
WATU wa Mungu kuna Mzigo Mpya huu hapa kutoka kwa Rappers Watatu Hapa Nchini Tanzania ambao pia wana historia pana zaidi na Muziki wa Kizazi Kipya hapa Nchini Tanzania

Wamekusanyana FID Q, MWANA FA, na AY ambao wamekunjua Video iliyopewa jina la UPO HAPO.

Audio imekunjwa kutoa Studio za B HITZ chini ya Hermmy B huku Video ikisimamiwa Poa na Director Alessio kutoka Kampuni ya Studio Space Pictures (SSP)
CHECKI

WACHA KUZUBAA WEWE !!! : AMBER ROSE ANASEMA KUWA TENDO LA NDOA NI KAMA VITAMIN !!!!

2:28:00 AM Add Comment

Na Rich Sam
WAZEE Wa Kazi ni wangapi ambao mnaungana Mkono na Huyu Bibie Amber Rose ambaye alijipatia Umaarufu kwa Kukunjuka na Kanye West na Kisha kuolewa na kuachika kwa Rapper Wiz Khalifa?

Ukiacha Mbali hayo yote, Amber Rose ambaye hivi sasa anaonekana kupigwa "Mdenge" Mkali na Boyfriend wake ambaye pia ni Rapper, 21 Savage, anaonekana kabisa kuwa "amedata" haswa na na jamaa huyo kiasi cha kuamua kuanika mara kadhaa namna ambavyo anafurahia kufanyiwa vizuri Tendo la Ndoa na Rapper Huyo

Sasa Hivi majuzi akiwa maeneo ya BEVERLY HILLS, amber Rose alidai kuwa "Sex" ni jambo zuri sana kwake na ni lazima afanyiwe Kila siku maana linaleta afya na ni kama Vitamins kabisa

Kauli Hiyo aliitoa wakati akiulizwa kama atahitaji zawadi ya "tendo la Ndoa" katika Birthday Yake, na kujibu kuwa yeye hana haja ya kuomba Kitu hicho siku ya Birthday yake, maana anaomba kila siku

" Ninaomba Tendo la Ndoa kila siku. Inaleta Afya sana."

MAKUBWA !!!!: ASHANTI ANATUHUMIWA KUHARIBU BIKINI YA DESIGNER

2:05:00 AM Add Comment

Na Baba Juti
WAUNGWANA Bwana, weekend Hii ilikuwa ni Mbovu sana kwa Mrembo ASHANTI ambaye alikamuliwa "Ndimu: bila kifico na mmoja kati ya Designers kutoka Nchini Marekani

Designer Huyo aliyetambulika kwa Jina la AIDAN EUAN, aliamua kuliamsha Dude kupitia Instagram account yake na kudai kuwa Amechukizwa na Kitendo cha Ashanti Kurudisha Bikini ambayo alimuazima kwa ajili ya Shughuli Maalum,ikiwa Imeharibika

Akifunguka Bila Ubishi, Designer Huyo alidai kuwa Ashanti na Timu yake walifika katika Duka Lake na kuhitaji wapewe Mzigo huo kwa ajili ya Shughuli Maalum na yeye kufanya Hivyo, lakini kilichokuja kumuumiza, ni bada ya Team ya Asha kurudisha Bikini Ile ambayo ilimgharimu Muda kuiandaa ikiwa imeharibika na kuchafuka hatari

Ninamnukuu tafadhari kwa uchache tu
"ASHANTI unaonekana Mrembo sana katika kampeni yako ya Ciroc. Lakini nimejitahidi kutumia Njia ya Busara kumtafuta Stylst Wako na Timu yako Nzima lakini sijafanikiwa kupata ufafanuzi na majibu ya Bikini Yangu iliyoharibiwa na kuletwa hivyo hivyo na Timu yako. Ni aibu kwa wamiliki wa Biashara wadodogo wadogo kupitia njia ya Mitandao kama mimi, kukaa kimya na kuogopa kuharibu sifa na hata kupteza wateja wengine wakati tumetumia nguvu, moyo kuwekeza na kufanya kazi kwa juhudi kubwa katika kile ambacho mtu atakichukulia kama Bikini ya Kawaida. Bikini hii kwa mfano kama nilivyosema awali, imetengenezwa kwa Mkono kwa masaa 16 huku ikitumia vitu vingi vya gharama......"

Mpaka hivi sasa , Ashanti hajajibu Chochote kuhusu Hili, lakini Tunazo Picha akiwa amevalia na kujiachia na Bikini Hiyo ambayo inadaiwa kurudishwa ikiwa Imeharibika Balaa





MNADA BANNER