REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

WATU WANATAFUTA PESA: KUTANA NA MREMBO HUYU ANAYETENGENEZA MAMILIONI YA FEDHA KWA KUPOST MIGUU YAKE INSTAGRAM

3:00:00 AM Add Comment

Na Rich Sam: 
WAUNGWANA bwana, kuna baadhi ya Watu wana akili ya Ziadaa kupita maelezo, na hii ni kwa sababu ya kutengeneza mkwanja ili waweze kuishi

Kutana na Mrembo ambaye pia ni Model, JESSICA GOULD ambaye ni raia wa Canada, anayetengeneza takribani 140,360,000 kwa Mwaka, ikiwa ni kwa kupost tu picha za Miguu yake hasa Nyayo zake kunako Instagram

Binti huyu ambaye ana umri wa Miaka 37, hupost Picha mbali mbali za miguu yake hasa Nyayo, akionesha Mapozi tofauti na followers wake ambao ni zaidi ya 10,000 katika Instagram yake, na kupata Likes Nyingi na commnents nyingi huku akiingiza Mamilioni hayo ya Pesa.

Picha lilianza ambapo alipopost Picha yake ya kwanza akiwa anaonesha unyayo wake, na kilichokuja kumshangaza ni baada ya kupata DM Messages nyingi kutoka kwa Wanaume ambao wanavutiwa sana na miguu mizuri ya wanawake, ambao huitwa "FootBoys"

JESSICA anaongeza kuwa, awali alishtuka sana kukutana na Maombi mengi sana ya wanaume ambao wanatamani kuona picha za Miguu yake mara kwa mara, na ndipo alipokuja kugundua kuwa kumbe anaweza kuingiza mkwanja kwa kufanya hivyo, na mpaka hivi sasa, maisha yake yanasogea fresh sana

Pia anaongeza kuwa, Wanaume wengi wamekuwa wakimtumia Message na kumuomba awe anawaonesha sehemu mbali mbali za Nyayo zake hasa kisigino, Upande wa Kanyagio, na hasa Urembo wa Kucha zake, kitu ambacho kilimfanya ajikite zaidi katika kuijali miguu yake na kuiremba zaidi

IMEBAINIKA NI KWELI: RAPPER MKONGWE MASTER P ANA SUGAR MAMY WA KIZUNGU

2:29:00 AM Add Comment

Na Rich Sam  
WAUNGWANA bwanaaaa, tunaamini kabisa kuwa kila mtu anamfahamu vizuri mtu anayeitwa Master P ambaye pia ni Producer Mkongwe, Rapper Mkongwe na Baba wa Rapper Romeo.

Lakini ukiacha sifa hizo  ambzo tumeanza nazo hapo Juu, Master P pia anafahamika na kusifika kwa Kumiliki Mkwanja Mrefu sana ambao unakadiriwa kufika mpaka USD Milion 500 sawa na Zaidi ya Bilioni 900 za kitanzania, kitu ambacho kila mtu hakukipa uzito , lakini uzito uko katika Hili, Jamaa ana SUGA MAMA ambalo linamiliki mkwanja si kitoto

Kipindi cha Nyuma kidogo ziliwahi kuibuka Tetesi kuwa Rapper Huyo kahongwa Gari aina ya ROLLS ROYCE, gari ya Gaharama na Shuga Mama huyo, lakini bado haikuwekwa wazi kuwa Mwanamke huyo ambaye ana asili ya Kizungu alikuwa ni Partner wake kibiashara ama Ni Mupenzi kweli,

Lakini hivi majuzi, kila kitu kimeanikwa hadharani kuhsu Suga Mama Huyo

Suga Mama huyo wa Master P, anaitwa Simin Hashemizadeh, ambaye ni CEO wa South Pacific Surgery Centeriliyoko Beverly Hills, Califonia

MNADA BANNER