REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

KIM KARDASHIAN NI MJAMZITO?...HEBU TAZAMA HAPA !!!

11:30:00 AM Add Comment

Kwa Kuangalia Picha Hii? Je Kim Kardashian Ni Mjamzito?

HIVI NDIVYO WIZZY KHALIFA NA AMBER ROSE WALIVYOUZA UJAUZITO WAO KWENYE MAGAZINE FRONT COVER LA XXL

11:16:00 AM Add Comment

JAY Z AJIBU SWALI KUHUSU UJAUZITO WA BEYONCE

11:04:00 AM Add Comment




 Lile Vuguvugu lilovumishwa Hivi Majuzi kuwa Mwanadada Beyonce ni Mjamzito linazidi kuchukua Sura Mpya.

Baada ya Mama Mkwe wake Jay Z, yaani mama Mzazi wa Beyonce kukana Kuwa Binti yake huyo hana Ujauzito, Mume wake na Msanii Mkali wa HIP HOP pande za U.S of A, JAY Z "JIGGA" mekanusha vikali kuwa "NO PREGNANCY" kwa Mke wake Beyonce
 Kwa Mujibu wa Muzungumzo na Chombo Kimoja nchini humo, Jayz alikataa kata kata kuwa Beyonce hana Ujauzito.

Mazungumzo yao yalikuwa Kama hivi :
 
MDAKU : "Vipi? Unamtoto Mwingine?
JAY Z    : "Unamaanisha Usiku Huu?...Hapana !!"
MDAKU : "Vipi Kuhusu Miezi 9 Ijayo?"
JAY Z    : "Hapana..Sio Miezi 9 Ijayo "
MDAKU : Kabla ya Miezi 9 Je?...yaani Miezi 7 au 8 Ijayo?"
JAY Z    : Hapana !. Sio kabla au baada ya Mwezi Mmoja, Miwili, Mitatu, Minne,
                Mitano, Sita, Saba, Nane au Tisa


"SIKUFANYA MAPENZI NA DIRECTOR WANGU"- CHRISTEN STEWART

10:19:00 AM Add Comment

 Ikiwa ni katika Jitihada za Kumfanya Mpenzi wake Robert Pattinson kumuamin kama Mwanzo, Muigizaji Mdogo aliyekumbana na Skendo la "KU-NINONINO" na Director Wake Rupert Sanders...amekiri kuwa hakufanya Mapenzi na Director Huyo.

Muigizaji wa Filam ya THE SNOW WHITE, Christen Stewart, amemwambia Mpenzi wake kwa kumthibitishia kuwa Hata Siku moja hakuwahi "Kumfunulia Sketi" Director Huyo licha ya kukumbwa na Kashfa Hiyo

"Rupert hajawahi Kuchungulia Undani wangu licha ya kukumbwa na Skendo kali hiyo" Alilalama Mwanadada Christen Stewart.

Aidha imebainika kuwa, licha ya Usaliti uliofanywa na Mwanadada huyo, hivi sasa wamerudiana (Robert Pattinson na Christen Stewart- Katika Picha Hiyo Juu) tena, na Hivi sasa wanaishi Pamoja kama Mwanzo.




CONFIRMED : MAANDALIZI YA VIDEO YA "WANANUNA" YA SALVI MANYIKA NI MOTO WA KUOTEA MBALI....

9:59:00 AM Add Comment
                                           SIMON MANYIKA "Salvy Boy"

Kichwa Matata kunako Muziki Wa Kizazi Kipya "Bongo Flava" hapa hapa U.R. of T (United Republic of Tanzania) SIMON MANYIKA goez by the a.k.a "SALVY MANYIKA" anatarajia kushusha Mzigo mwingine utakaokwenda kwa Jina la WANANUNA.

Hivi karibuni Mkali huyo wa Track ya "YASIKISA" ambayo inang'ara vilivyo kunako Media Kibao hapa Area 255, amepost baadhi ya SCENE zilizokuwa zikifanyika katika Video yake Hiyo Mpya katika Fan Page yake ya FACEBOOK.

MIKWAJU MINGINE YA SALVI MANYIKA.
1. UKO MBALI NAMI- Ft. Nemo
2. TUTASHUKURU.
3. YASIKISA

MNADA BANNER