REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

NI KWELI EX-MCHUMBA WA RICK ROSS AMEFULIA MPAKA KUSHINDWA KURUDISHIA "KUCHA" BANDIA?

1:45:00 AM Add Comment

Na Rich Sam
Wazee Wa Kazi tunafahamu Fika kabisa kuwa Hivi sasa Rapper Rick Ross anaendelea Vizuri na hali yake ikiwa ni baada ya kuugua weekend iliyopita na kupelekwa hospitali, lakini hilo bado haliwapi wengine ukimya wa kufunga midomo yao na hata kutengeneza Info kupitia Big Boss huyu wa MMG.

LIRA GALORE, Ex Mchumba wa Rapper Rick Ross, naye ameamua kuanzisha la kwake kunako mitandao ya kijamii na kutoa taarifa kuwa bado anayo ile pete ya Uchumba aliyovalishwa na Rick Ross

Ingawa kuna mastaa wengi ambao wakiwavalisha Pete za Uchumba wanawake wanaowapenda, na ghafla wakaachana, basi piga ua, kama pete ni ya gharama, lazima kesi itafunguliwa tu ili madini hayo yarudishwe haraka iwezekanavyo

Uchokozi wa kujua kuwa Pete bado yuko nayo, ulianza pale ambapo Bibie huyu alianza kuandamwa kuwa tangu ameachana na Rozay, hivi sasa amefulia kiasi cha kushindwa kubandika kucha nyingine ya bandia ambayo ilionekana imeng'oka katika kidole chake kimoja cha mkononi


Kama ilivyo wataalamu wa Kuzoom, walipoona kabisakuwa Bibie huyo kama kidole chake kimoja kilichoshika POWER BANK hakina kucha, ndipo walipoamua kuzoom kile kidole na kugundua kuwa ni "Kucha-less" na hata ile Power Bank ni ya bei rahisi sana.

Katika kukazia zaidi, walidai kuwa kufulia kwake kunatokana na yeye kuachana na Rozay ambaye inaonekana alikuwa anamuweka Mjini

ILI kujibu tuhuma hizo, Ex Mchumba wa Rozay, Lira, aliamua kusema kuwa , wakati anapiga picha hiyo alikuwa afrika Kusini mbugani, na ndipo kucha hiyo iliyotoka, hivyo hawezi kushindwa kununua Kucha ya USD 7 ili arudishie katika kidole chake.

Na katika kuongezea, Bibie huyo alidai kuwa asitafsiriwe kama aliyefulia, maana hata Pete ya Rozay aliyovalishwa mwaka 2015 inayoigharimu USD 350,000 bado anayo , hivyo anaweza akaiuza na akapata mpunga

MEGHAN TRAINOR: HATA UWE NA MPENZI WA MAISHA YAKO, STRESS ZIKO PALE PALE KAMA ILIVYOKUWA KWANGU"

1:17:00 AM Add Comment

Na Rich Sam   
MEGHAN TRAINOR aliwahi kuwa sehemu ya Tabu kubwa katika ulimwengu wa Muziki wa Pop ulimwenguni baada ya kuwaimbisha watu karibia Lyrics zake zote za Mkwaju wa NO

Ukiachilia mbali kufanya Vizuri katika upande huo, pia alifanikiwa kugusa vipengele kadha wa kadha kwenye tuzo kubwa tu Duniani kama vile GRAMMY, BILLBOARDS AWARDS, na nyinginezo, huku akiibuka na kadhaa ambazo zilimpa jina kwa asilimia kubwa

Lakini kama ulikuwa hufahamu, licha ya kuwa na Furaha katika sekta hiyo na sekta ya mahusiano ya kimapenzi mpaka kufikia kuvalishwa pete ya uchumba na kuandaa mipango kadha wa kadha ya ndoa, Megan Trainor hatokuja kusahau kipindi kigumu alichopita hasa cha msongo wa mawazo, hali ambayo yeye binafsi anadai hajui ilikotokea

Katika hali isiyo ya kawaida, Hitmaker huyo wa NO anadai kuwa, alishindwa kujua mambo hayo yametokea wapi maana alikuwa ana maisha mazuri tu, na wala hakuwahi kujua kama itafikia muda atakuwa anakata tamaa katika baadi ya vitu hasa ambavyo vina faida kubwa katika maisha yake

Baada ya kugundua hilo, Meghan Trainor anadai kuwa ilikuwa ikimpa wakati mgumu sana hali hiyo, hivyo akaamua kuingia katika eneo husika kwa ajili ya tuba na hata kuwa na madaktari maalum wa kumuangalia

   TUNAMNUKUU    
"Yah, nilishuka sana Chini na ndio nikaamua kwenda kwa watatua matatizo ya akili maana ukikaa kimya, ndivyo mawazo yako yanazidi kuwa mepesi zaidi. Hata kama ukiwa na mpenzi wa maisha yako ambaye anazunguka na wewe kila siku na anafanya kila kitu kwa ajili yako, bado utakuwa karibu na mawazo yako na wala huwezi kumuambia giza linalotanda katika Fikra zako"

MKATO WA SIKU: H CHRISS x COYO- HATUJIELEWI (VIDEO)

12:44:00 AM Add Comment

Na Baba Juti   
LEO ni Jumatano, na kama ilivyo siku zote, tunachukua "Chance" ya kupitia na kushare na nyie Mikwaju Mikali ambayo wasanii mbali mbali wa Mwanza wanakuwa wanaiachia ili kutoa support na kuelekeza kile wanachokifanya, kwa wale ambao ni wadau wa Muziki

Jumatano ya Leo "tunakunjua" Video ya H-CRISS WA KITAA inayoitwa "HATUJIELEWI na katika Upande wa pili , anasikika Rapper mwenzake COYO ambaye alipewa ubavu wa "Collaboration" katika Track Hiyo

AUDIO Imepikwa OVER THE CLASSIC mkono ukiwa ni wa Engineer DAY DREAMS (Himself) lakini Video imenyongwa na Director VIPPER

Mpaka tunaiweka hapa, Video hiii ambayo imekuwa Uploaded katika Youtube Channel ya HCriss, mnamo Januari 21 mwaka 2018, ina VIEWERS 3744 tu.

Itazame hapa na utoa Comment yako :

DAYS OF THE YEAR: 07TH MARCH-BE HEARD DAY

12:28:00 AM Add Comment

DAYS OF THE YEAR
Small businesses have many challenges to be successful. It can be an exciting experience to start a business and do something that you love. The reality comes in getting your message out and bring the paying customers in. Getting marketing advice can be an expensive proposition and every penny counts to a small business. Be Heard Day is the day to make things a little easier!
History of Be Heard Day
The task of getting the message of a small business through all the noise of bigger companies and their marketing machines could be described as herculean. Local and small businesses are sometimes not even noticed by those who live near them because of this. Marketing and Business Strategist Shannon Cherry saw this problem and decided to do something about it. She created Be Heard Day in 2004 and since then has been making a difference to many small business owners.
Her goal for Be Heard Day reportedly is to make it a “give away day”, a day where she and other business and marketing professionals offer their services and knowledge for free. How amazing this that? Being able to get advice from these professionals could mean the difference between complete failure or shinning success for some small businesses!

How to Celebrate Be Heard Day
There are some great ways to celebrate Be Heard Day and it doesn’t matter if you own a business or not! If you are a business owner, the best way for you to celebrate is to grab your favorite search engine and get to Ms. Cherry’s site for this year and sign up! The ability to receive thousands of dollars’ worth of advice is too good to pass up!
Another way to celebrate is to make time to sit down and objectively look over the marketing plan you are currently working with. See if you are being creative enough to cut through all the other marketing going on in your area. Should you try to use different types of marketing? These questions and more that she offers can lead to greater success!
Don’t own a business? Don’t worry! You can celebrate Be Heard Day and have fun at the same time! Grab the family and get out on the town! Find those small businesses in your community that you haven’t had time to stop into yet. Have a fun day of shopping and helping to support your community. Learning where these great businesses are is only part of the fun. There is nothing better than a great day of shopping, and seeing friends along the way. Ok, maybe there is… you could make new friends as you check out the shops!
Consumer or Owner, Be Heard Day is a great time to make connections. Thanks to Shannon Cherry, there are many options for advice that previously may not have been available to those who are following their dream running a small business. Be a part of the day and post on social media using #BeHeardDay to show how you are taking part!

MNADA BANNER