REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

WATU WA MUNGU HII HAPA VIDEO YA KALIGRAPH JONES- GAZA

4:29:00 AM Add Comment

Na Baba Juti  
#WatuWaMungu Kaligraph Jones Maarufu kama "Papa Jones" ameachia Rasmi Video ya GAZA...Hii Hapa Itazame


DUH !! : HATIMAYE NA NE-YO KASURUHISHA NOMA LA MKOPO WA BANK

3:03:00 AM Add Comment

Na Baba Juti  
#WatuWaMungu hatimaye NEYO naye kafanikiwa Kmamlizana na Benki ambayo ilikuwa inamdai mkwanja mrefu sana ambao ni USD Milioni 2.4

Taarifa ambazo mpaka hivi sasa tuko nazo ni kwamba, HIT MAKER huyo wa DO YOU, amemalizana na CITIBANK na hivi sasa yuko salama kabisa, maana kesi ilifungwa tayari JUNE 26

Kama utakuwa hukufahamu kuhusu hili, Bank hiyo ilifungua mashtaka mahakamani kwa Madai kuwa Neyo amegoma kulipa deni la Mkopo wa kibiashara aliouchukua Mwaka 2013


Bank hiyo iliendelea kulalamika na kudai kuwa, baada ya kumtaarifu mkali huyo wa R&B kuwa anatakiwa kufanya Marejesho yake, Alikataa kata kata kuwa hana taarifa yoyote kuhusu mkopo, hajachukua mkopo na wala hajaona fedha hizo ambazo ni USD Milioni1.4

Hata hivyo, Bank hiyo ilimshauri akatoe taarifa polisi kuhusu tukio hilo, maana taarifa zilionesha kuwa yeye na Manager wake KEVIN FOSTER ndio waliosaini kuchukua mkopo wa wa USD Milioni 1.4 , na USD 14,941.10 ndizo zilizoonekana kulipwa katika mkopo huo

Baada ya kuona kuwa Deni lao halilipwi, CITI BANK walitangaza kuuza Mali na Nyumba ambazo zilikuwa zimewekwa kama Dhamana ya mkopo huo

Lakini baada ya muda Neyo aliendelea kukataa, na kisha akamlaumu Meneja wake KEVIN FOSTER kwa kuchukua Mkopo huo bila taarifa zake sambamba na kumuibia kiasi cha USD Milion 8 kwa miaka kadhaa


SMART THURSDAY : JULY 13 IS FRENCH FRIES DAY... GO AND GET IT TODAY

2:07:00 AM Add Comment

DAYS OF THE YEAR   
Whether you call them ‘French Fries’, ‘Chips’, Finger Chips, or French-Fried Potatoes, this delicious treat is loved around the world, and French Fries day celebrates them.

Not to be confused with the American ‘Chips’, which are thinly sliced pieces of potato fried until crisp, French Fries are the delicious result of ‘batons’ of potato cut to various thicknesses and then fried in oil.The outside of this staple companion food to hamburgers and other grease-ball favorites generally have a golden texture, varying from soft to crispy, and most often served with little more than a dusting of salt.

  History of the French Fry  
French Fries are one of many foods whose name is most misleading, as the origins of this fat fried food seem to be in Belgium. The story of their creation can be found in a family manuscript dated 1781, which reveals that potatoes were originally cut into the shape of fish and served in lieu of the fish normally caught in a series of small villages in Belgium.It seems the river had frozen over and the fish they normally caught and fried were unable to be caught.

Why they’re called French is often attributed to troops coming over during World War I who got their hands on Belgian Fries.The official language of the Belgian army at that time was French, and as a result the men thought they were in France rather than Belgium.Interestingly, in that region of the world, they are still called “Flemish Fries” to further complicate matters.Now these treats are loved the world round, even becoming the ‘national snack’ of the Netherlands.

  How to Celebrate French Fries Day  

With the popularity of French Fry, it’s not surprising that the world has come up with as many different varieties of this delicious food as you could imagine.So one of the best ways to celebrate French Fries Day is to host a party dedicated to celebrating the international menu the fried potato has created.The simplest variation is simply to put chopped raw onions in some ketchup, and eat them up like they do in the Netherlands.For the more adventurous, try some of the varieties below!

INASEMEKANA !!!!! : RIHANNA NA MPENZI WAKE MPYA WAPO KATIKA MIKAKATI YA KUFUNGA NDOA, ILA SASA, SHUGHULI IKO HAPA !!!!

1:57:00 AM Add Comment

Na Baba Juti  
FUNUNU za Huku na Kule zinazidi kuutawala Ulimwengu hasa kwa wale mashabiki wa Msanii wa Muziki wa Pop Nchini Marekani, RIHANNA

#WatuWaMungu wanadai kuwa, Rihanna pamoja na Mpenzi wake Mpya Hassan Jameel hivi sasa wanazungumzia Masuala ya kufungua ndoa, lakini kuna jambo ambalo linaumiza kichwa kidogo, maana wawili hao wamekubaliana kulinda mali zao kwanza, yaani Biashara itabaki kuwa Biashara Tu

Chanzo ambacho kipo karibu na Mahusiano hayo, kimeanika taarifa kuwa, inaonekana kabisa Rihanna (29) na Hassan Jameel (29) wako katika Harakati za fasta sana ili kula Kiapo na kuruhusu Mnuso wa Nguvu utafunwe bila kinyongo

Tunamnukuu
" Kila kitu kinaenda kwa kasi sana, lakini kwa hivi sasa, nafasi kubwa imewekwa katika kufanyia kazi hasa Biashara zao binafsi na Mali zao. wako na mwanasheria wao kuhakikisha wanaandaa mkataba mzito na mkubwa ."

katika hatua Nyingine, Mbea huyo kaweka wazi kuwa wawili hao wanapendana haswa na kila mmoja anaonekana Chizi wa Mahaba kwa mwenzake

"Kila mtu ni kama mwehu wa Mahaba kwa mwenzake, lakini wote wawili wanajua kabisa makubaliano ya Mali na Fedha kwa kila mmoja kabla ya ndoa, ni muhimu sana. kwa hiyo wanashughulikia hilo, maana kila mtu anafahamu kabisa kuwa katika ndoa, tutavuna sawa, lakini kilicho chako kitabaki kuwa chako, na changu kitabaki kuwa changu"

HATIMAYE !!: MSALA WA FETTY WAP HIVI SASA UKO SHWARI... NI ULE WA KUIBA BEAT ALIYOTUMIA KWENYE "TRAP QUEEN"

1:40:00 AM Add Comment

Na Baba Juti
#WatuWaMungu Hatimaye Rapper FETTY WAP amefanikiwa kumaliza msala wake kuhusu Wizi wa Ngoma ya TRAP QUEEN

Kama Utakuwa unakumbuka Vizuri kabisa, Fetty Wap Mwaka 2016 ilifumuka taarifa kuwa Rapper huyo amefanya wizi Wa Beat ya Track Trap Queen, mzigo ambao unadaiwa kununuliwa Msanii na Mwandishi LAZAR LAKIC.

Jamaa huyo aliamua kufungua Mashtaka dhidi ya Rapper huyo pamoja na Producer wa TRAP QUEEN, Tony Fadd huku madai yake yakieleza kuwa alikuwa amenunua Beat Hiyo mwaka 2014, lakini akaja kushangaa Beat yake imetumika Kinyume na makubaliano

Sasa, kwa Mujibu wa Taarifa kutoka Mahakamani, Mnamo June 26, pande zote mbili zimekaa na kufikia makubaliano kama ambavyo walishauriwa na Mahakama. Hivyo kama ambavyo makubaliano yao yalivyo ya siri, Kesi hiyo itafungwa Rasmi Baada ya siku 30 mara baada Pande zote mbili zitakapokaa sawa

MNADA BANNER