REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

TOKA HAPA !!!: BABA MZAZI WA DRAKE AMTOLEA UVIVU MTANGAZAJI WENDY WILLIAMS

2:44:00 AM Add Comment

Na Rich Sam  
WATU WA MUNGU mambo yameanza kuwa mabaya katika Beef lililopo baina ya Rapper Drake pamoja na Rapper Pusha T ambao wamekuwa wakirushiana madongo makali kupitia diss songs zao, kitu ambacho kimeanza kuingia mpaka katika masuala ya kifamilia

Sasa ukiachilia mbali Uhasama unaoendelea baina ya Drake na Pusha T, Mtangazaji wa Wendy Williams ambaye anaendesha kipindi cha THE WENDY WILLIAMS huko Nchini Marekani, amejikuta akiitwa "KAHABA WA KUTUPWA na Baba mzazi wa Drake, Mzee DENNIS GRAHAM baada ya kumgusa mwanae pabaya

Kilichokwaza zaidi, ni baada ya Mtangazaji huyo kumhusisha Rihanna ambaye ni Ex wa Drake kwa madai kuwa, kwa sababu Drake amepata mtoto na Mchezo utupu, basi Rihanna amepona pona kupata majanga mengi maana Drake anaonekana kuwa mchezea mabinti na hata familia yake kiujumla (Baba Yake)

Mzee huyu ambaye anampenda mwanaye, aliingia instagramna kuandika hivi:
"Nimefuatilia Kipindi cha Wendy Willliam, na kuna kitu kimenigusa ndani yangu. Ishu iko hivi, ni Taarifa ambayo inaelimisha na kugusa sana pale atangazaji wanakuwa wameifanyia utafiti na hata kuipeleka moja kwa moja kwa watu wanaoipokea. Lakini huyu KAHABA WA KUTUPWA ambaye pia ni Malkia wa ubaguzi wa Rangi, amevuka mipaka yake. Hujui lolote kuhusu Drake au Mimi. Fanya utafiti wako kabla hujapeleka masihala kwa watazamaji wako wenye idady ya 79. Chunga mdomo wako namna unapolinadi jina lako. Nimekudharau kuanzia leo"


MIRROR: NILIPATA AJALI..SOON NITAREJEA

2:19:00 AM Add Comment

Na Rich Sam : SOURCE: MTANZANIA DIGITAL
KAMA mtakuwa mnakumbu kumbu nzuri sana, Ninaamini Ikipigwa track ya ONE AND ONLY ya msanii Mirror, haraka haraka utakumbuka kuwa track hii iliwahi kupendwa haswa na hata leo, ni kumbu kumbu nzuri kwa msanii mwenyewe katika Maktaba yake ya Muziki

Kupitia Track Hiyo, Msanii Mirror alilamba dodo la kumwaga wino katika management ya ENDLESS FAME ambayo iko chini ya Malkia wa Filamu nchini Tanzania, WEMA SEPETU, huku akipewa nafasi nyingi tu za shows na hata kuandaa tracks kadha wa kadha chini ya management hiyo

Lakini baada ya muda, ilikuja kubainika kuwa, Mirror hafanyi vizuri tena katika tracks zilizofuatia, sambamba na kufuatiwa kwa info kuwa msanii huyo hayuko vizuri na Wema Sepetu pamoja na Petit Man kimahusino, hali ambayo ilimlzimu akae kando na soko la muziki kwa muda Mrefu.

Lakini katika ufafanuzi wake juu ya ukimya ambao umetawala kwake, Mirro amedai kuwa Ajali ndiyo ilimfanya awe kimya kwa asilimia kubwa lakini hivi sasa, anatarajia kurejea soon katika game, hivyo watu wajiandae

Kuhusu mahusiano yake na Wema Sepetu pamoja na Petiti Man, Mirror alisema kuwa hakuna tatizo lolote baina yao maana wao ni kama familia moja na wanashauriana vitu mbali mbali, lakini hayuko tena ENDLESS FAME, na mambo yakiwa sawa, tutaifahamu management yake mpya

MSIKILIZE

TIN WHITE : "RICH MAVOKO HUWA NI MDOGO WANGU WA MWISHO, ILA HUWA SITAKI KUZUNGUMZIA...."

1:51:00 AM Add Comment

Na Hezron Munisi :SOURCE : GLOBAL PUBLISHERS 
KWA Kitabia cha familia nyingi sana Nchini Tanzania, pale inapobainika kuwa mmoja kati ya wanafamilia au wawili au watatu kati ya wanafamilia ni watu Maarufu katika nyanja yoyote ile, basi wengine hata kama ni ndugu wa mbali, basi hutumia nafasi hiyo kutafuta ujiko ama kutamani na wao wawe maarufu kama ndugu zao

Hata pasipo kutaja ni akina nani, wengi tumeshawaona na tayari husafiria nyota za nduu zao hao ili kutusua kimaisha na hata kiumaarufu
RICH MAVOKO

Lakini hii imekuwa tofauti kidogo kwa Familia ama ndugu hawa ambao kiujumla hata iweje, ni wengi ambao hawafahamu kabisa kama kuna vichwa viwili ambavyo vipo katika tasnia ya burudani na vina majina ila ni ngumu kuwasikia ama kuwaona sehemu wakionesha kama ni ndugu

Hapa tunamzungumzia Muigizaji na mchrekeshaji TINNY WHITE ambaye sio kawaida yake kuzungumza hadharani, kuonesha ama kuonekana na mdogo wake kabisa wa damu, RICH MAVOKO ambaye ana jina kubwa pia katika Familia ya muziki wa Bongo Flava.
MCHEKESHAJI TIN WHITE (KUSHOTO) AKIWA NA MAREHEMU GIFT AMBAYE NI DADA YAO (KULIA)

Kupitia msiba wa Dada Yao ambaye anaitwa GIFT, Tinny White na Rich Mavoko  walikuwa katika eneo la tukio kama familia, na hapo ndipo baadhi ya wengi walifahamu kuwa Wawili hao ni Mtu na Mdogo wake

Kwa Mujibu wa Tinny White ambaye ana vituko sana, Katika familia yao ambayo inajumuisha watoto WATANO akiwemo Marehemu  Dada yao, Rich Mavoko ni mtoto wa Mwisho na huwa hawapendi sana kuzungumzia undugu wao maana kuna wengine huwa haewaamini.

Msikilize

MAY 31 : WORLD NO TOBACCO DAY

1:03:00 AM Add Comment

By Baba Juti 
We see it every day, people standing outside in the rain huddled over a burning stick of foul tobacco. 

The stench gets into their clothes, stains their teeth, and permeates the air around them. Every moment of every day is spent waiting for that next nicotine break, their obsession and taste for disgusting habits only being eclipsed by those who insist that coffee is a beverage. No Tobacco Day is dedicated to those who are determined to leave this foul substance behind them, and encourage others to do so as well.

History of No Tobacco Day  

No Tobacco Day was established with the goal of raising awareness of the dangers of this habit, and the thousands of lives it costs every year. Tobacco used to be considered an innocuous little treat for the civilized man, and even went so far as to be touted as healthy by business and (doubtless) paid off doctors to help promote it for use.

 A hundred years and millions of deaths later it’s become undeniable that tobacco use is one of the primary killers of people all over the world.

So if you’re one of the millions of people who light up a cigarette, step out for a cancer stick, or have a smoke, then let No Tobacco Day be your chance for a freer, healthier future. The average smoker spends around $4000 a year on cigarettes, imagine what you could do with that kind of money! That’s enough for a nice cruise in the Caribbean, a powerful new gaming computer, or an entire wardrobe of amazing clothes! No Tobbaco Day can be your step towards economic freedom as well!

How to Celebrate No Tobacco Day   

Start off by setting aside your cigarettes, and starting the day out with a fresh new perspective that’s tobacco free. Ok, we know that isn’t realistic, so at least start No Tobacco Day by counting the number of cigarettes you smoke in a day, and setting yourself a goal for a gradual reduction in cigarettes until you’re absolutely tobacco free on the next No Tobacco Day! Over the following year you’ll start to feel healthier, have more energy, get sick less, and have more money in your pocket! Wouldn’t that be the greatest celebration ever?
Consider it a first step to kicking that nasty tobacco habit.

NANDY: "TANGU MWANZO KAMA NINGEPENDA MUZIKI WANGU UENDE NA KIKI, NINGEFANYA HIVYO"

2:56:00 AM Add Comment

Na Joe Mwangi  
KATIKA Music Industry Nchini Tanzania, kitu ambacho mpaka hivi sasa kinaendelea kuwa tafuna wengi hasa wasanii, ni kitu kinachoitwa KIKI, kiasi kwamba hata wasanii wanaochipukia sasa hivi, wanaanza kuamini kuwa muziki wao ili ufike mbali na hata kusikilizwa, ni lazima watumie Kiki.

Hapa ndipo utakuta wengi wanawatusi wasanii wenzao kupitia mashairi ama interviews, wengine wanapost picha za utupu mitandaoni, wengine wanafanya video za utupu, na mengineyo mengi ili mradi wapate attention

Lakini kwa Msanii Nandy ambaye doa lake lilitokea na anaanza kujitahidi kulifuta ingawa waungwana bado hawajamuacha mpaka hivi sasa, bado anaamini kuwa Sauti Yake Nzuri ambayo ni Natural..yaani asilia ambayo haijapitia vikorombwezo vyovyote, ndiyo iliyomfikisha hapa alipo na wala Sio kiki.

Pia akaongeza kuwa, kwa wale wasanii wenzao hasa wa kike ambao huamini kuwa ili kujikwamua kimuziki ni lazima wahusishe Skendo za ajabu ajabu, huwa wanawaonesha njia za kupita na sio vinginevyo

CARD B KASHUSHA MZIGO MWINGINE.... UNAITWA I LIKE IT (UTIZAME HAPA)

2:29:00 AM Add Comment

Na Baba Juti  
#WatuWaMungu Jumatatu, Card B alitoa taarifa kuwa tutarajie kuona Video yake Mpya ambayo inaitwa I LIKE IT, na hatimaye amefanya hivyo Siku ya Jana

Katika Video hiyo ambayo imekuwa chini ya Director EIF RIVERA, Card B amewashirikisha wasanii wawili kutoka Latino Areas ambao ni Bad Bunny na J Balvin

Itizame hapa

WEDNESDAY SMASH: RUBBY FEAT. THE MAFIK-Niwaze (Video)

2:19:00 AM Add Comment

Na Baba Juti   
Ruby is a Tanzanian Musician and also a beauty queen in the eyes of many. She is popularly known for her hit song “yule”. 

Ruby, this new music sensation from Tanzania thinks her star is about to shine. When she released the Na Yule video , very few knew the Tanzania House of Talent-signed singer. In fact, those who knew her only related with her thanks to her win in the 2014 Serengeti Fiesta Supa Nyota Diva, the moment she first got her showbiz breakthrough.

She started singing in church when she was very young. Her professional music career started when she joined a competition in Tanzania, Serengeti Fiesta Supa Nyota Diva and won in 2014. When she first ventured into secular music, she did not get much support which is says was because those that knew her then thought she was doing something sinful whereas she believes that music is business like any other and she is just using her God-given talent to get returns.
She has already done notable collaborations with key artistes in Tanzania such as Yamoto Band, AbduKiba, and Baraka da Prince.

The Na Yule hit maker is the surprise new artiste has been launched in the  Coke Studio TV show where she is joining Kenya’s Nyashinski and Nigeria’s Yemi in a rare fusion.
Ruby has performed at the Kili Music Awards, the launch of the presidential campaign and the Zanzibar International Film Festival (ZIFF) 2015 among many other places.

MZEE WA UPAKO : " ACHENI UZINZI...MTAKUFA"

2:11:00 AM Add Comment

Na Hezron Munisi : SOURCE: GLOBAL PUBLISHERS  
KAMA mtakuwa mnakumbuka Vizuri, Mchungaji wa KANISA LA MAOMBEZI (GRC) lililoko Kibangu-Ubungo, Dar Es Salaam, Anthony Lusekelo maarufu kama "Mzee wa Upako", aliliamsha dude la Msanii Ali Kiba na Team Kiba kiujumla baada ya kudai kuwa anamkubali sana Diamond Platnumz na Sio Ali Kiba kwa madai kuwa, Kiba ni msanii mwenye dharau, majivuno na hata kujibu kwa madaha/Maringo sana

Kauli hiyo aliitoa hivi karibuni alipokuwa akifanya Interview na kituo cha Redio cha TIMES huku akizungumza Mengi sana kuhusu wasanii, Muziki na masuala mengineyo ya kijamii

Baada ya kutokea kwa kauli hiyo, Ali Kiba alimjibu Mchungaji huyo kwa kudai kuwa hawezi kuzungumzia maisha yake maana hajui alikoanzia, hivyo aachane naye, huku team Kiba wakiporomosha comments za matusi kwa Mchungaji Huyo kila alipokuwa akipost Kitu katika account zake za mitandao ya kijamii

Baada ya kukutana na mbango hayo, Mzee wa Upako alidai kuwa yeye hawezi kujibishana na watoto wadogo maana umri wake na hadhi yake anaweza kuwazaa kabisa, hivyo kuwajibu ni kinyume cha maadili yake. Pia Mchungaji huyo akaongeza kuwa, ni kweli kabisa Ali Kiba huwa anajibu hivyo na watu huwa wanaona

Lakini katika kutoa ushauri kwa Wasanii, Mchungaji Lusekelo amedai kuwa, Wasanii wanatakiwa Waache "Uzinzi", bila hivyo watakufa

Msikilize

AMBER LULU : "SIDHANI KAMA PREZZO ATANIELEWA"

1:40:00 AM Add Comment

Na Hezron Munisi : SOURCE: GLOBAL PUBLISHERS
#WatuWaMungu tunaimnai mtakuwa mmeshakutana na Videro Clip ambayo ilisambaa sana kunako social networks ikimwaonesha Wasanii wawili wa Muziki wa Kizazi kipya Nchini, Amber Lulu pamoja na Nuh Mziwanda wakiwa katika Pozi la kimahaba.

Baada ya kusambaa kwa Video Hiyo, wengi walianza kutoa maoni yao kadha wa kadha kuhusu Video Clip hiyo huku wengine wakisema kuwa ni utovu wa maadili hasa katika matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii, ukizingatia hivi sasa sheria imekuwa kali na wengi tayari wameshakutana na rungu hilo bila kificho

Katika Video clip hiyo ambayo ilirekodiwa na Nuh Mziwanda, inamuonesha Amber Lulu ambaye pia anatajwa kuwa na mahusiano na msanii kutoka Kenya, Prezzo, akimbusu Nuh Mziwanda Tumboni mara kadhaa, kitu ambacho kimetafsiriwa tofauti

Akifafanua kwa upande wake Nuh Mziwanda, anadai kuwa Clip hiyo ilikuwa ni Behind The Scene na wala hajahusika katika kuivujisha, ila anamlaumu Amber Lulu ambaye ndiye kavujisha video Clip hiyo na hata kumuharibia mpiango ya Project Zake

Kwa upande wake Amber Lulu, amefafanua kuwa, hajavujisha video hiyo makusudi bali ilijisave katika upande wa Snap chat kutokana na kutokuwa na Bundle la Internet muda huo, lakini alipoongeza bundle ikajipost yenyewe

Ingawa anadai kuwa hakuna kitu cha ajabu katika VCideo Clip hiyo, ila anahofia kuwa Mpenzi wake Prezzo hatomuelewa kutokana na hilo...Msikilize hapa

MAY 30 : WATER FLOWERING DAY

1:16:00 AM Add Comment

DAYS OF THE YEAR 
If it hadn’t been for coffee, cocoa, vanilla, lavender, camomile, marijuana, and many other flowering plants and trees, our world would have been a barren, dismal place. So Water a Flower Day is that yearly reminder to show our flowers how much we appreciate them for their sumptuous colours, their fragrant blossoms and their medicinal, or sometimes lethal, properties.

The best way to celebrate Water a Flower Day is by giving all of your household and garden plants an aquatic treat. Also, studies show that gently caressing them in the way that a diaphanous zephyr would in their natural habitat promotes growth, so don’t be shy, give their leaves a tender squeeze.

Unless you own a Rafflesia Arnoldii, the largest flower on the planet, which doesn’t have any leaves and is also known as the ‘corpse flower’ due to the odour it oozes when disturbed. That’s one plant we wouldn’t mind forgetting to water, isn’t it? Best stick to roses and lilies, I say, and water them, stroke and sing to them like you would to a child. You’ll be a better person for it and you’d make the world a brighter, sweeter and more colourful place.

MARIAH CAREY HATIMAYE AMEIUZA PETE YA UCHUMBA ILIYOZUA MGOGORO

2:56:00 AM Add Comment

Na Baba Juti  
HATIMAYE Mariah Carey amefikia uamuzi mzito wa kuuza pete ya Uchumba ambayo alivalishwa na aliyekuwa mchumba wake, Bilionea James Parker 

Kama ulikuwa hufahamu, James Parker alimvalisha Mariah Carey Pete hiyo yenye thamani ya USD Milioni 10 mwaka jana, walipokuwa katika mahusiano ya kimapenzi huku kukiwa na fununu ya kuwepo kwa ndoa ya kifahari, lakini mwisho wa siku ilishindikana baada ya wawili hao kuingia katika mgogoro

Baada ya vuta nikuvute za huku na kule, James Parker alihitaji arudishiwe pete yake ya uchumba, lakini Mariah Carey aligoma kata kata na mahakama kumkubalia kuwa Mariah abaki na Pete hiyo

Sasa Taarifa ambaoz tuko nazo mpaka hivi sasa, ni kwamba, Mariah Carey na Management yake, wameamua kuiuza pete hiyo kwa mkwanja wa hasara kabisa ambao ni USD Milioni 2.1 kwa moja ya duka ambalo hujihusisha na Biashara za vito vya thamani

Hiyo pia inaripotiwa kuwa, Mariah alifikia uamuzi huo sio kwa sababu ya njaa zake, la hasha, bali ni kwa sababu alitaka kufutilia mbali kumbukumbu za Ex wake huyo


NYOSHI EL SADAAT: "SIKUMBALIANI NA UCHUNGUZI WA MADAKTARI, NISAMEHEWE"

2:34:00 AM Add Comment

Na Hezron Munis : SOURCE: Mtanzania Digital 
#WatuWaMungu chezeeni kote ila msichezee vitoweo maalum vya watu, maana unaweza kujikuta ukiwaumiza kwa namna moja ama nyingine pale unapozungumzia Kitoweo chao kwa njia tofauti kabisa

Kipindi cha Nyuma kidogo, ilikuja kuwekwa wazi kuwa Mnyama Nguruwe husababisha Ugonjwa wa HOMA YA NGURUWE ikiwa ni baada ya maradhi hayo kuonekana na madaktari kuthibitisha tatizo hilo kuwepo na hata kuanza kupiga marufuku ulaji wa Nyama hiyo usio salama, lakini bado waungwana walikula

Sasa Safari hii, imekuja kubainika kuwa Ugonjwa wa Ebora unasababishwa na Mnyama anayeitwa Nyani, na Mnyama huyo huwa ni kitoweo kwa Wale raia wa Nchi ya Kongo

NYOSH EL SADAAT, Ex member wa FM ACADEMIA ambaye pia ni Mzaliwa wa Kongo, ameonekana kuwa na shaka juu ya uchunguzi wa madaktari ingawa hapingani nao hasa kuhusu kitoweo cha Nyani

Kwa msisitizo zaidi, Nyoshi alisema kuwa yeye kama yeye anagonga fresh tu nyama ya nyani na anashindwa kuelewa kwa nini madaktari wanasema inasababisha ugonjwa wa Ebola ili hali nyama hiyo ilikuwa ikitafunwa vzuri tu tangu enzi za mababu

QUEEN DARLEEN-"MIMI NI MWANAMKE, NINA HISIA PIA"

2:18:00 AM Add Comment

Na Hezron Munisi 
#WatuWaMungu tunaamini kabisa wengi hamjapata kumsikia Queen Darleen akizungumzia Mahusiano yake ya kimapenzi na hata kupost picha za kimahaba mahaba akiwa na Boyfriend wake

Hii imekuwa ikitoa maswali mengi tu kuhusu Maisha ya Queen Darlee ambaye hivi sasa yuko chini ya Record label ya WCB, hasa katika masuala ya kimahusiano huku wengi wakidai kuwa bibie huyu ni kauzu sana kiasi kwamba ni ngumu mwanaume kumuingia kirahisi na kumtamkia hisia zake

Ukiachilia mbali ukauzu, Wengi huhisi kuwa Hit Maker huyu wa Track ya MANENO MANENO ni mkorofi sana kiasi kwamba hata akiwa katika mahusiano huenda akaonesha ubabe na hata kumfyatua makonde Mpenzi wake

Lakini kwa upande Queen Darleen, amedai kuwa yeye ni Mwanamke kama walivyo wengine na ana hisia za kimapenzi pia. Hivyo kama akitokea mtu ama mwenyezi Mungu akambariki mchumba, basi ataolewa

"NIMECHUMBIWA MARA 3, NA BOYFRIENDS ZANGU WANNE KUOMBA NIWAZALIE WATOTO"- NICKI MINAJ

1:56:00 AM Add Comment

Na Rich Sam  
#WatuWaMungu hakuna mtu ambaye huwa ankutana na changamoto nyingi sana chini ya Jua hili kama Mtu maarufu katika sekta yoyote ile ile, lakini anafahamika tu katika kona mbali mbali

NICKI MINAJ ambaye aliamua kuisogeza album yake aliyoipa jina la QUEEN mpaka AUGUST 10, inawezekana kabisa akawa ameamua kuhusisha Nyimbo nyingi za kuwahamasisha akina mama kuwa imara na kuepukana na unyanyasaji ambao unafanywa na baadhi ya wanaume hasa katika mahusiano yao ya kimapenzi ama ndoa

Katika kuwahamasisha zaidi wanawake hasa kutambua umuhimu na hadhi yao kwa wanaume, Nicki Minaj ametweet kuwa amewahi kuchumbiwa na wanaume watatu kati ya wote ambao amekuwa nao katika mahusiano ya kimapenzi, huku wanne wakimtaka wazalie mtoto, kitu ambacho hakuona umuhimu wake na badala yake akaamua kutolea nje

Tunamnukuu

"Tambua thamani yako. Nimechumbiwa mara 3, Boyfriends zangu wanne waliniomba niwazalie watoto. Kihisia, kiakili na kimwili nimeonewa na kudhalilishwa. nilionesha tabasamu la uongo ingawa sikuwa na furaha.  Nimedhalilishwa, nimeonewa sana"


MNADA BANNER