REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

MIMI NA MWANZA: JIONI TULIVU KATIKA JIJI LA MWANZA LEO

10:57:00 AM Add Comment
 TUNARUDI MAKWETU: Wakazi wa Mwanza Wakianza kurejea Makwao kutoka katika Shughuli ama Mihangaiko ya Jumamosi

 UNAFIKA HARAKA; Mwanza Ni raha Jamani. Foleni itatoka Wapi?...Ona Mwenyewe

 WAPENDA SOKA: Wadau wa Soka Jijini Mwanza wakiwa wanafuatilia kwa umakini Mechi ya Mpira wa Miguu kwa wanawake, katika Kiwanja cha Nyamagana

 VIPAJI: Mpira wa Miguu kwa Wanawake nao ulikuwa unaendelea katika Kiwanja cha NYAMAGANA. Vipaji vipo jamani

 USAFIRI MWEUPEEE! : Bara bara hazina hata Foleni. watu tunarudi nyumbani bila hata hofu ya kuchelewa

ZIWA VICTORIA: Utulivu wake unaleta Mvuto kwa wakazi wake na Wageni
PICHA ZOTE NA FRANK JOACHIM

PICHA: MTOTO HUYU HANA HATIA...LAKINI ANACHOFANYIWA NA WAZAZI WAKE, NI UKATILI

10:40:00 AM Add Comment

NIMEUMIZWA: Mtotop Saadah Said (3) akiwa amejeruhiwa Jichona Mama yake wa Kambo


POLE: Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi Shirikishi katika Kata ya Igoma Jijini Mwanza, akiwa na Mtoto Saadah


 MAJERAHA: Majeraha ya Mtoto Saadah katika Upande wa Mgongo wake


WATUHUMIWA: Baba Mzazi wa Mtoto Saadah, Bw. Said (Kushoto) na Mama wa Kambo wa Mtoto huyo ambaye ni Mke wa Bw. Said wakiwa Chini ya Ulinzi (PICHA ZOTE NA SAMWEL CHEMU)

IGOMA,MWANZA.
Licha ya Serikali kuzidi kusistiza Ukatili kwa Watoto Majumbani, Katika Kata ya Igoma, Wilaya ya Ilemela,Jijini Mwanza, Mtoto SAADAH SAID mwenye Umri wa Miaka 3, amekuwa akipigwa Vikali na Wazazi wake hasa Mama yake wa Kambo kwa Madai kuwa anajisaidia haja kubwa ovyo yaani "Anajinyea Ovyo"

Akizungumza kwa aibu Nzito,Mama wa Kambo wa Mtoto sada amedai kuwa, humuadhibu hivyo mtoto huyo Mdogo kabisa,kwa kuwa hufanya tukio hilo mara kwa mara,jambo ambalo yeye amelichukulia kama Ukaidi

Taarifa za kukatiliwa kwa Mtoto huyo,zilitolewa na Wasamaria wema ambao pia ni Majirani wa Familia hiyo katika Mtaa wa Mandela, huku wakisemakuwa, tatizo hilo limekuwa ni Kero nalimekuwa likifanyika Mara kwa Mara dhidi ya Mtoto huyo, likifanywa na Wazazi wote wawili.

Na Smith Swai & Samweli Chemu (99.4 METRO FM)




MNADA BANNER