REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

MJUKUU AMBAKA BIBI YAKE MWENYE UMRI WA MIAKA 85 (VIDEO)

1:08:00 AM Add Comment

Na Baba Juti/K24 Kenya
Ni Tukio la Kusikitisha ambapo hali halisi inadhihirisha kuwa, Tunakoelekea ni kubaya, na kuna unyama ambao tutaufanya zaidi ya Huu

Tizama Video Hii

KUTANA NA NG'OMBE ALIYEKUNYWA POMBE NA KUSHINDWA KUAMKA SIKU NNE (VIDEO)

1:00:00 AM Add Comment

Na Baba Juti/K24 Kenya.
UNAWEZA Ukadhani Ni Kitu Cha Kuchekesha lakini kiuhalisia ukifuatilia kisa hiki, Ng'ombe Huyu anatia Huruma.

Tizama Video Kufahamu zaidi

ARE THEY BACK?

12:47:00 AM Add Comment


Na Baba Juti.
DALILI za mahaba Kurudi kwa mara Nyingin zinaanza kuchukua Kasi yake, baina ya Drake na Rihanna.

Bad Gal Riri na Dreezy walionekana mara kadhaa katika Kumbi za Usiku wakila bata, na hata kusemekana kuwa inawezekana wakarekodi ngoma Nyingine ya pamoja.

Usiku wa Jumatano, Katika Tuzo za BRIT zilizofanyika huko LONDON Uingereza, wawili hao waliperform wimbo walioshirikiana, unaofahamika kwa jina la WORK na mambo yalikuwa kama Picha zinavyoonesha









USICHEZE NA WATOTO WA PAKA: ASAP ROCKY APOKEA KIFINYO KWENYE LIFT.

12:24:00 AM Add Comment

Na Baba Juti
USITHUBUTU kuwa Na madem , halafu ukawaletea Kibesi Watoto wa Paka, utaipata ambayo hujawahi kutarajia kuipata.

Hit Maker wa PROBLEM, Asap Rocky, alijikuta akipokea "Kifinyo-Mtindo" katika Lift, baada ya Kuwazingua Washkaji ambao walihitaji kuingia ndani ya Lifti ambayo alikuwa amepanda na baadhi ya akina Dada, huko New Zealand.

Kilichowachefua Masela hao, ni baada ya Asap Rocky kuwajibu kuwa, Yuko na Maua-Yaani watoto wa Kike wa kutosha, hivyo hakuna nafasi Nyingine kwa ajili ya Maninja hao, kitu ambacho kiliamsha Hasira kwa washkaji na kuanza kumtukana , huku wakirusha Makonde-mtindo na kuzua Taflan.

Na kama unavyofahamu, watoto wa kike walianza kuleta Nyodo za hapa na Pale, na washkaji kuamua kuwavaa wenyewe, lakini ASAP aliamua kuwakinga, kitu ambacho kilisababisha ngumi za Wana zim fikie Asap Usoni.

hata Hivyo, mmoja kati ya Washkaji hao, aliweza kukamatwa na kutupwa Jela.

NIMEKULETEA TWEET AMBAZO ZIMEPATIKANA KATIKA ACCOUNT YA PETER OKOYE WA P SQUARE, KUHUSU KUMFUKUZA KAZI MENEJA WAO, AMBAYE PIA NI KAKA YAO-JUDE OKOYE

1:27:00 AM Add Comment
PETER OKOYE
Na Baba Juti
ACCOUNT ya PETER OKOYE, Moja kati ya Members wa P Square, jana Ilijaa Tweets Nyingi ambazo zinaonekana kumpinga Kaka Yao, JUDE OKOYE, kuendelea kuwa Meneja Wao.

Tweet Hizo ambazo zimeanza kupostiwa February 16, zinalenga Pia kutahadharisha watu kutokufanya Kazi hasa Maombi ya Show, kupitia kwa Meneja Wao Jude, ambaye amekuwa akiwasimamia tangia Kundi hilo linaanza kupata Umaarufu.
PETER OKOYE & PAUL OKOYE (P SQUARE)

Katika Tweet Hizo, Peter amedai, Yeye Binafsi hana Matatizo na PAUL (pacha Wake), bali ana Tatizo na Management , ambayo moja kwa moja inamgusa JUDE OKOYE.

Inagawa kumekuwa na Mashaka kuwa, anayeandika hayo Yote sio Peter, labda account Hiyo Imekuwa Hacked, bado Tweet zimezidi kumiminika na kuonya kuwa, yeyote atakayefanya Malipo na JUDE OKOYE kwa niaba ya P Square hasa Katika Malipo ya Show, basi Imekula kwake, maana hawatahusika.
JUDE ENGEES OKOYE (Meneja wa P SQUARE)

Mpaka Hivi sasa, Sip PAUL OKOYE wala Sio JUDE ENGEES OKOYE ambaye ametoa kauli Kuhusu Hili. Tutazidi kukupa Updates.
Soma Tweet Hizo

NEW VIDEO: MIRROR FEAT BARAKAH DA PRINCE- NAOGOPA

12:26:00 AM Add Comment

Na Baba Juti
UNAWEZA ukawa ni Mwaka  Mpya kwa Mirror aambaye ameachia Video yake Mpya ambayo inafahamika kwa Jina la NAOGOPA akiwa amemshirikisha Baraka Da Prince

Mirror ambaye Yuko Chini ya ENDLESS FAME, amerecord audio ya NAOGOPA katika Studio za MJ RECORDS, na Video imefanywa na KWETU STUDIO. Enjoy Mzigo !!!!

HII NDIYO KAULI YENYE HASIRA ALIYOITOA PAPA FRANCIS BAADA YA KUSUKUMWA NA KUMUANGUKIA MLEMAVU:

10:45:00 PM Add Comment

Black Touchez Team & Daily Mail
PAPA FRANCIS wa Kanisa la Roman Catholic, aliweza kudhuru Nchi ya Mexico na Kukutana na Waumini wengi ambao walijitokeza Kumlaki na hata Kumsikiliza

Katika Hali isiyo ya Kawaida, wakati akisalimiana na Waumini wa Kanisa analoongoza Mpaka Hivi sasa, Walijitokeza baadhi ya Watu na Kumvuta kwa Mbele, hali iliyomfanya amuangukie Mwanaume Mlemavu kwa bahati Mbaya

Katika Kuonesha Kuwa amechukizwa na Kitendo Hicho, Papa Francis alitamka maneno ambayo yalionesha kuwqa, hakufurahishwa na Kitendo hicho, na kwa namna moja ama nyingine, alikwazika kiasi fulani

Tukio Hilo Lilitokea katika Uwanja wa MORELLA, Huko Nchini Mexico

''No seas egoísta. Qué te pasó, no seas egoísta'', akimaanisha "Msiwe Wabinafsi, Msiwe wabinafsi"

Tizama Video Hiyo

PICHA: CIARA KATIKA UBARA WAKE KWENYE TUZO ZA GRAMMY

10:42:00 PM Add Comment





RIHANNA ASHINDWA KUPERFORM KATIKA TUZO ZA GRAMMY

10:20:00 PM Add Comment

INASEMEKANA kuwa, Rihanna alienda Mpaka Kwenye Reheasal, lakini Dakika za Mwisho Kabisa, alitweet kuwa hatohudhuria wala kuperform katika Tuzo hizo.

Mpaka Hivi sasa, Sababu iliyomfanya Rihanna kushindwa kupanda Jukwaani, inasemekana kuwa, ni Onyo alilopewa na Daktari, kuwa anaweza akajikuta anapata tatizo la Mapafu, endapo atapanda Jukwaani na kupiga Live Perfomance.

Rihanna alilazimika kuondoka baada ya Rehealsal, na hata alipofika Ukumbini hapo, hakupita katika Upande wa Red Carpet.

Hata Hivyo, Badgal Riri aliomba Radhi kupitia account yake ya Twitter.

KANYE WEST KAMRITHISHA MTOTO WAKE?, TIZAMA ALIVYOKATAA KUPIGWA PICHA NA MAMA YAKE !

10:10:00 PM Add Comment

Na Baba Juti.
"No Picture!!!" Hiyo ilikuwa Ni kauli ya Mtoto wa Kanye West, NORTH WEST ambaye alikuwa akimzuia mama Yake asimpige Picha, na kisha akaamua kugeukia Pembeni na Hata Kuondoka.

Hii Imekuwa ni Mara Ya Pili Kwa North West Mwenye Umri wa Miaka Miwili, kugoma kupigwa Picha, ambapo tukio la Awali lilitokea mbele ya Paparazzi, kwa kuwaambia, "I said No Picture"

KANYE WEST amekuwa ni Moja kati ya Rappers ambao waliingia katika Ugomvi na Paparazi kadhaa, ambao walikuwa wakimpiga Picha, ili hali yeye hataki.

Tofauti na Familia ya Kardashian, ambao wameathirika na kupiga Picha, yaani wanapenda picha Balaa, North West amefuata kwa Baba Yake, Ingwa siku hizi , Kanye amekuwa akikubali kupigwa picha na hata Kuongea na Paparazzi.

Tizama Video Clip Hiyo !!!

PICHA: TEKNOMILES NA SAY SHEY (KUTOKA NIGERIA) WALIPOKUWA JEMBE FM 93.7 MWANZA KATIKA INTERVIEW NA KIPINDI CHA HIT ZONE

6:32:00 AM Add Comment

Na Baba Juti & Jembe FM
LEO katika Kipindi Cha HIT ZONE katika 93.7 Jembe Fm-Mwanza, Kulikuwa na Ugeni Kutoka Nchini Nigeria, nawazungumzia ALHAJI "Teknomiles" MILES Pamoja na DEBORAH OLUWASEYI JOSHUA "Say Shay" , ambao walihudhuria maalum kwa ajili ya Mahojiano

TEKNO na SAY SHAY wapo Jijini Mwanza kwa ajili ya kuwapagawisha wakazi wa Jiji Hili la Miamba katika Show ya MUZIKA FESTIVAL itakayofanyika Jumamosi Hii February 13.

Kipindi Cha Hitzone, Hurushwa Kila Siku ya Jumatatu Mpaka Ijumaa, Kuanzia saa 7:00 Mchana mpaka Saa 10:00 Jioni, chini ya Vichwa Vitatu, Edna Elisha "Natty E Brandy", Frank M.Joachim "Baba Juti" na Chriss The Dj



















NIVA KWA NAY WA MITEGO: JIONI YA LEO NDIO WATU WATAJUA ....

5:42:00 AM Add Comment

Na Baba Juti
BAADA ya Siku ya Jana Kuandika Waraka Mrefu kweli Kweli kwenda Kwa NAY WA MITEGO, hatimaye Leo Pia Niva ameonesha kuzidi Kukerwa na Kilichotamkwa Na Nay Juu yake.

safari Hii NIVA ameamua "Kumchana " Live Nay Wa Mitego Kuwa, hana cha Kukubukwa, tofauti na Yeye ambaye Likitajwa JUMBA LA DHAHABU, wengi wanakumbuka Kuwa, Niva aligusa Maisha ya Wengi.

Nukuu
Jioni ya Leo ndio watu watajua. Kama natafuta Kiki kwako au wewe @naytrueboy umeamua kuipata Kiki kwangu coz ney watu wameanza kukujua 2013... mimi watu wameanza kunijua tangia elfu mbili na sita kupitia tamthili ya jumba la dhahabu kipindi hiko wewe upo manzese unatafuta kutoka.. mwenzio nikitajaga tamthili ya jumba la dhahabu uwa nawaumizaga watu wengi Sana coz uwa nawakumbusha kumbukumbu za maisha Yao ya kipindi icho wengine wenzao wamesha wazika walio kua wakiangalia nao. Sasa wewe @naytrueboy unakipi cha kuwakumbusha mashabiki zako.

MPIGA DEBE: YAMESEMWA HAYA KUHUSU "SHIKA ADABU YAKO" YA NAY WA MITEGO

5:23:00 AM Add Comment
Nay Wa Mitego
Na Baba Juti
MPIGA DEBE Katika Kipindi cha HIT ZONE ya 93.7 JEMBE FM-Mwanza, Leo imetizama namna ambavyo wadau Wameupokea Mkwaju Mpya wa NAY WA MITEGO-Shika Adabu yako.

Wasikilize

KUMBE SHILOLE ALIKUWA BARANI ULAYA KWA AJILI YA LIKIZO FUPI.

3:15:00 AM Add Comment

Na Baba Juti
JUZI Black Touchez tulikutupia Picha kama 9 Hivi za Shilole akiwa Paris-Ufaransa akila Bata, ingawa kwa akili zetu tulihisi kuwa ameenda kwa ajili ya Project aidha ya Video Mpya au Audio.

Lakini Kumbe Shishi alienda Likizo Fupi, na hivi sasa amesharejea Bongo... Hiyo ni kwa Nujibu wa POST yake katika account yake ya Instagram

NUKUU 
Baada ya kuwa barani ulaya kwa likizo fupi.. Shishi nimerudi salama salmin. Watu wangu wa Bangaore kaeni mkao wa kupata show KABAMBE. ☕☕🍮

MNADA BANNER