REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

KUTANA NA MAMA HUYU, AMBAYE HAONI SHIDA KUKAA MTUPU, YAANI UCHI WA MNYAMA, MBELE YA MTOTO WAKE WA KIUME MWENYE MIAKA 13

3:43:00 AM

LONDON, Uingereza
UKISTAAJABU ya Musa, basi Jianda Kustaajabu ya Filauni Pia, na amini usiamini hii ni Kweli na bado inaendelea kuwa Kweli kwa sababu inatokea..Iko Hivi..

JULES PORMERANCE, ni mama mwenye Ujasiri wa Ajabu ambaye haoni haya wala Shida ya aina yoyote kuonekana kama alivyozaliwa mbele ya mtoto wake wa kiume, JORDAN, mweny umri wa Miaka 13

Mama huyo ambaye ana watoto watatu akiwemo huyo Jordan, kwa kawaida huzunguka Ndani ya Nyumba yao akiwa mtupu kama alivyozaliwa, mbele ya watoto wake hao hasa aJordan, huku Mumewe Pia, akiona ni suala la Kawaida sana.

Mara nyingi Mama huyo pamoja na mmewe NIGEL, hawana muda wa kuvaa taulo pindi wanapoingia na kutoka Bafuni baada ya Kukoga, na mara kwa mara huwa wanacheza kitandani na watoto wao hao akiwemo Jordan, wakiwa watupu haswa

JULES ambaye hivi sasa ana umri wa Miaka 44, kutoka Moyoni kabisa, anakiri kuwa haoni tatizo juu ya hali hiyo hasa kwa Jordan.

Aidha mama huyo amesema kuwa, kwa sababu motto wake hivi sasa ameshaingia katika umri mkubwa unaomruhusu kubarehe, haoni tatizo lolote, kwa sababu hata kama akiwa na mahusiano na binti mwingine nje, hatoona jambo la ajabu kukaa Mtupu.

Kwa ujasiri mkubwa kabisa, mama huyo amedai kuwa kama familia, Mara nyingi huwa wanakuwa watupu hasa mida ya asubuhi wakati watoto wao wanapowafuata Kitandani na Kuanza Kucheza nao.

Pia ameongeza kuwa, hata hivyo, hiyo ni njia Mbadala kwa Jordan hasa asishawishike kufuatilia mambo ya Utupu, sababu kitendo cha kumficha ficha motto wako, ndiko kumsababishia kutafuta simu kubwa na hata laptops ambazo wanajaza Video na picha za Ngono, na kuanza kutizama vitu ambavyo mama zao wanawaficha.


Mama huyo ameacha Swali moja la aina yake kwamba, Kwani kuna athari za Kiafya kwa motto kumuona mama yake akiwa Mtupu katika Umri wowote?...ama kuna muda maalum ambao Mama anatakiwa kuuficha Mwili wake ili motto wake wa Kiume asiuone?

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »

MNADA BANNER