REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

WANAWAKE WA NYERI, KENYA: "HATUTOTOA UNYUMBA KWA WAUME ZETU MPAKA WAMPIGIE KURA UHURU KENYATTA"

2:10:00 AM Add Comment

Na Nyangi Kimani  
Kenya kuna Mambo Mengi sana yanatokea lakini kuna hili ambalo tunaomba mulisikie ili kuweka hali halisi wazi wazee wa kazi

Wanawake kadhaa kutoka Nyeri, Nchini Kenya, wamesema kuwa hawatotoa "Unyumba" kwa waume zao kama hawatompigia Kura Uhuru Kenyatta .

Wanawake hao wamefikia uamuzi huo baada ya kubaini kuwa Waume zao wengi wamekuwa wakipeana taarifa za kutokumkubali Uhuru Kenyatta na kupanga kutokumpigia Kura hata kidogo, kitu ambacho kimewafanya na wenyewe wafikie maamuzi mazito ya kuwanyima "unyumba" waume zao hao kama Tarehe 26 hawatoweka "Tik" kwenye jina la UHURU KENYATTA

Kauli hizo zilitoka katika Mkutano wa wanawake hao na Mwakilishi wao ambaye ni Mbunge Pia, RAHABU MUKAMI, ambapo waliapa kuwa, ifikapo Tarehe 25 Usiku, wanawake hao watabania "NUNU" zao ili waume zao wakione cha moto na hata kuamka mapema ili wakapige Kura Tarehe 26 na wampigie Uhuru Kenyatta.

ALICHOKISEMA THE GAME KUHUS KUMPA UJAUZITO BINTI WA MIAKA 15 KIKO HAPA

1:42:00 AM Add Comment

Na Baba Juti   
#WatuWaMungu kama mko "active" sana katika Mitandao ya Kijamii, mtakuwa mmekutana na Skendo mpya tena ambayo inamkabili Rapper The Game, maana mzee huyu amekuwa ni mwingi wa Majanga lukuki.

Kama hukufahamu, ni kwamba, kumekuwa na taarifa ambazo zinazagaa sana kuwa The Game amemjaza Ujauzito Binti mwenye Umri wa Miaka 15, kitu ambacho kilishtua sana kiukweli.

Lakini baada ya kukutana na "Ndimu" nyingi sana kunako Twitter hasa zikimlaumu sana The Game kumjaza ujauzito Binti huyo mwenye Umri Mdogo ukizingatia imekuwa ni mara kwa mara akionekana kumendea Vibinti vidogo Vidogo, hatimaye The Game kaamua kutoa Jibu Sasa

Akifafanua kuhusu hilo, The Game alidai kuwa, hakuna ukweli wowote na wala hajawahi kukutana na binti huyo ambaye kwake bado ni kinda sana

Tunamnukuu:
Taarifa hii ni Uwongo Mtupu, ambao umeandaliwa na kitoto ambacho hata sijawahi kukutana nacho au kuongea nacho maishani mwangu. Natamani Media kubwa zingacha kabisa kutoa taarifa za uwongo na uchochezi,maana zinaharibu Brand zao, na kuonekana kama ni uchafu tu"


KESI YA UBAKAJI INAYOMKABILI KAKA YAKE NA NICKI MINAJ, MAMBO BADO NI MOTO !!!!... SAFARI HII IMEFIKA PABAYA ZAIDI

1:20:00 AM Add Comment

Na Rich Sam  
KESI ya Ubakaji ambayo inamkabili Kaka wa Nicki Minaj, Jelan Maraj, imeendelea kusikilizzwa na safari hii kumeibuka madai mapya ambayo kila mtu ameonekana kushtushwa nayo kiukweli

Kwa Mujibu wa Jelan Maraj, inasemekana kuwa, Familia ya Binti anayedaiwa kubakwa akiwemo mama yake mzazi, walitumia kesi hiyo kwa ajili ya "kuitikisa" familia ya Nicki Minaj hasa Nicki Mwenyewe, ili kuvuna mkwanja.

Akifafanua zaidi kuhusu Madai Hayo, Mwanasheria wa Jelani Maraj, DAVID SCHWARTZ ambaye haukwa na ugumu kuliweka wazi jambo hilo mbele ya mahakama, alidai kuwa Mama wa Mtoto huyo ambaye ni wa Miaka 12, alimpigia Simu Nicki Minaj na kumwambia kuwa anatakiwa amlipe USD Milioni 25.

Mwanasheria huyo aliongeza kuwa, Mama wa Mtoto ambaye anadai kubakwa, alikuwa ni Mke wa Jelani Maraji kwa Takriban Miezi minne, hivyo aliunda kila aina ya Mbinu kuhakikisha kuwa anapandikiza Kesi ya Ubakaji kwa Kaka wa Nicki Minaj ili kuweza kuvuna mkwanja huo na ndio maana alitumia kila mbinu kuwasiliana na Nicki minaj, huku akitoa vitisho kuwa, endapo Mkwanja huo hautotolewa, basi atatoa Taarifa kwa watu kuwa alimbaka Binti yake

Mwanasheria huyo alidai hivi:
"Haitengenezi mantiki yoyote kwa mzazi kumtumia mtoto wako kutengeneza Pesa hata Kidogo> Mama huyu alifikia mpaka hatua ya kuchukua mbegu za mumewe na kuziweka katika Nguo ya ndani ya Mtoto wake ili aonekane amembaka"

MAHAKAMA
Baada ya kusikiliza Malalamiko ya Pande zote mbili hasa Utetezi uliofanywa na Mwanasheria wa Jelani Maraji, Mahakama ilitoa Taarifa kuwa, licha ya hayo yote kusemwa, bado inaonekana kuwa Jelani alianza kumrubuni Binti huyo wa Miaka 12 kipindi ambacho Ndoa yake na mama wa Mtoto ilikuwa katika wakati mgumu kutokana na Ugomvi wa hapa na Pale pamoja na Ulevi wa kupindukia ndani ya Nyumba
 Mwanasheria Msaidizi wa Jimbo la Nassau kwa ngazi ya Wilaya,  EMMA SLANE aliiambia Mahakama kuwa, Maraj alianza kuwa karibu na binti huyu kwa kuanza kumbusu, kumtomasa tomasa mara kadhaa na hata kuingia naye chumbani (kwa binti)

"  Alikuwa akimchukua na kumpeleka Chumbani kwake, kisha anamuinamisha na kupitisha MDENGE wake katika Uke wa Binti Huyo. Hata Hivyo, binti huyo pamoja na mdogo wake wa miaka 8, walikuwa wakimchukulia mtuhumiwa kama baba yao mzazi. Lakini mambo yalibadilika baada ya Mdogo wa Binti kuingi chumbani kwa Maraj na kumkuta baba yake wa kambo akifanya tendo la Ndoa na Dada yake. Baada ya maraj kuona hivyo, alimpiga Mtoto huyo wa Kiume makofi na kumtishia kumfanyia jambo baya kama angemwambia mtu yeyote"

Pia Slane aliongeza kuwa, Mpaka Kesi inakuwa Kubwa kiasi hicho ni baada ya Mtoto wa kiume kutoa taarifa katika Kitengo cha Kulinda haki za watoto kuhusu kitendo alichofanyiwa Dada Yake

MNADA BANNER