REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

ET H.BABA, HAYA NI MALAPA YA AINA GANI?

6:16:00 AM Add Comment

HII nimekutana nayo katika Post yake ya Asubuhi, Kiasi kwamba natamani kufahamu aina ya Malapa ambayo H. BABA amevaa

INASEMekana muuaji wa mama wa kanye ni cousin wa kanye

3:20:00 AM Add Comment

BAADA ya kumfanyia Upasuaji, Siku iliyofuata, mama Wa Kanye West Alifariki, huku Daktari akibaki katika Wakati Mgumu hasa na Kupokea lawama za Kusababisha mauaji ya Bibi Huyo DONDA WEST

Hivi sasa Daktari Huyo, anamlaumu Binamu wa kanye West kwa Kusababisha mauaji hasa kwa Kumpatia Dawa ziszostahili


JB: MAREHEMU KUAMBIANA ALIKUWA CHADEMA..SITAKI UTOTO NIKITANGAZA KAZI ZANGU…

2:37:00 AM Add Comment

INAWEZEKANA Mashabiki wakawa wanakosea sana hasa pale wanapoamua kutengeneza kitu ambacho kiujumla hakitakiwi kuwapo katika mchakato mzima wa kuhusisha Burudani, na shughuli Nyinginezo.

Mkali kutoka Bongo Muvi, amejikuta “akijaa Povu” baada ya Mashabiki kadhaa kumfika pabaya na kudiriki kuhusisha Kazi zake na Suala la Siasa.

Mashabiki wa Soko la Filamu Nchini Tanzania, wamejikuta wakishindwa kwenda sawa na Jacob Steven, ikiwa ni baada ya Big Bos Huyo wa JERUSALEM FILM kupost Muvi Mpya ambayo Marehemu Adam Kuambiana ameshiriki, na Filamu hiyo inaitwa MAHABUSU.

Sasa, kilichotokea ni Watu Kuanza kumuambia kuwa, akauze Kazi Hiyo kwa Wana-ccm, ukizingatia kuwa Jb Yuko CCM.

Baada ya Kukerwa sana na hayo, JB aliwaka na kudai kuwa, Marehemu Kuambiana alikuwa Mwanachama wa CHADEMA Kuliko Wengi wao.

Pia ili kukazia Zaidi, JB amesema hataki UTOTO akitangaza Kazi zake, na kama haupendi , Piga Kimya

JB aliandika Hivi

NARUDIA TENA SIASA SIO VITA...MAREHEMU ADAM ALIKUWA CHADEMA KULIKO WENGI WENU..MPAKA ALIKUWA CAMPAIGN MANAGER WA MKEWE JANET KULE KAWE KWENYE UDIWANI...MBONA TULIKUWA TUNASHIRIKIANA???WASANI MBONA WENGINE WAKO UKAWA LAKINI BADO NI MARAFIKI...NINA NDUGU AMBAO WAKO UKAWA NA NYINYI PIA MNA NDUGU WAKO CCM MNAGOMBANA NAO????HAMSHIRIKIANI NAO????AU MME ONA SINEMA ZETU TU...VITU VYOTE MNAVYO NUNUA MADUKANI VIMETENGENEZWA NA UKAWA???ACHENI SIASA ZA KIJINGA..SITAKI UTOTO NIKITANGAZA KAZI ZANGU...KAMA HUPENDI PIGA KIMYA...

TIZAMA PICHA ZA MTOTO WA WILL SMITH, JADEN SMITH, AKIWA KATIKA MAHABA MAZITO NA KISHTOBE CHAKE

1:53:00 AM Add Comment








MUONEKANO MPYA WA KARRUECHE TRAIN, BAADA YA KUPIGANA CHINI NA BREEZY

1:31:00 AM Add Comment
 AWALI tulizoe Kumuona Karrueche Tran, ambaye ni Ex-Girlfriend wa Chris Brown akiwa na Muonekano wa Nyewle Nyeusi.

Lakini Ikiwa Imepita Muda Kadhaa baada ya kupigana Chini na Weezy, hatimaye amebadilisha Muonekano wake hasa wa Nywele


LIL WAYNE MAJANGA?. ANATAKIWA KULIPA DOLA MILLIONI MBILI.

1:17:00 AM Add Comment

blacktouchez.com
BAADA ya kudaiwa kuwa amepigana chini na Mpenzi wake Christina Millian, Leo Hii tunashusha Info Mpya ya Lil Wauyne Kuhusu kudaiwa “Mpunga” Mrefu ikiwa ni baada ya kuwepo kwa Kesi Dhidi yake, kuhusu Private Jet (Ndege Binafs)

Mnamo Mwezi August, kampuni ya Ndege Binafsi Nchini Marekani, SIGNATURE GROUP, walifungua Kesi dhidi ya Lil Wayne ikiwa ni kulipwa Mkwanja Wao ambao walikuwa wanamdai Mkali huyo aliyejiengua CASH MONEY RECORDS.

Kampuni Hiyo Ilimkodisha Lil Wayne Private Jet Hiyo kwa ajilio ya Matumizi yake, huku akitakiwa kulipa Mkwanja waliokubaliana, na Mwisho wa Siku mpaka July 2014 Wakati Kesi inafikishwa Mahakamani, Weezy alikuwa anadaiwa USD Mill 1.

Lil Wayne hakulipa Chochote, na Kadri Muda Ulivyozidi Kwenda, Ndivyo alivyokuwa akizidi kuongeza Deni Mpaka kufikia USD Milioni 1.8 (hiyo Ilikuwa ni kufikia August ya Mwaka Huu)

USD 200,000, ambazo zinakamilisha Idadi ya USD Million 2, ni ya kumlipa Mwanasheria.

Ingawa Weezy analalamika kuwa Hakukuwa na Mkataba wala makubaliano wakati wa Kukodishiana Ndege Hiyo, Bado hakimu kayatupilia Mbali Madai yake, Hivyo Piga , ua, Lazima Weezy “Atapike “ Mkwanja Huo bila Ubishi


LIST YA WATAKAOCHUANA KATIKA TUZO ZA BET HIP HOP AWARDS 2015 HII HAPA

12:16:00 AM Add Comment

HATIMAYE BET HIP HOP AWARDS 2015 imeweza kumimina List ya maninja ama Wasanii kutoka Nchini marekani, pamoja na wadau mbali mbali wa Muziki wa Hip Hop, watakaowania Tuzo hizo, ikiwa ni katika Vipengele Tofauti.

Safari Hii itakuwa ni Msimu wa 10 Kwa BET Awards, tangia wameanzuisha Utoaji wa Tuzo hizo, na Mwaka huu, atakayehost Mchakato Mzima, ni The Dog Father-Snoop Dogg.

“Best & Hot Female Rapper” Kutoka YMCMB-Nicki Minaj, ameonekana Kuwa Tishio zaidi hasa kwa Kutokea Takribani Mara Tisa Katika Category Mbali mbali ambazo zimepangwa.

Drake, Big Sean, Kendrick Lamar, Kanye West, na Wengineo, wameonekana kuingia katika Mchuano Mkali hasa Ukizingatia kila Mtu ana Uzito wa Kutosha Katika Mainstream.


Pia Djs, Na Website ambazo zimeweza kusupport Muziki wa Hip Hop, nazo zimewekwa kunako Mchakato Huo.
List Hiyo ni kama Ifuatavyo:

BEST HIP HOP VIDEO
  • Big Sean featuring 
  • Chris Brown & Ty Dolla $Ign - "Play No Games"
  • Big Sean featuring Drake & Kanye West - "Blessings"
  • Fetty Wap - "Trap Queen"
  • Kendrick Lamar - "Alright"
  • Nicki Minaj featuring Beyoncé - "Feeling Myself"


BEST COLLABO, DUO OR GROUP
  • Big Sean featuring Drake & Kanye West - "Blessings"
  • Big Sean featuring E-40 - "Idfwu"
  • Fetty Wap featuring Monty - "My Way"
  • Nicki Minaj featuring Beyoncé - "Feeling Myself"
  • Nicki Minaj featuring Drake & Lil Wayne - "Truffle Butter" 

BEST LIVE PERFORMER
  • Drake
  • J. Cole
  • Kanye West
  • Kendrick Lamar
  • Nicki Minaj


LYRICIST OF THE YEAR
  • Big Sean
  • Drake
  • J. Cole
  • Kendrick Lamar
  • Nicki Minaj


VIDEO DIRECTOR OF THE YEAR
  • Alan Ferguson
  • Benny Boom
  • Chris Robinson/Lil Chris
  • Colin Tilley
  • Director X


DJ OF THE YEAR
  • DJ Drama
  • DJ Envy
  • DJ Esco
  • DJ Khaled
  • DJ Mustard


PRODUCER OF THE YEAR
  • DJ Mustard
  • J. Cole
  • Kanye West
  • Mike Will Made-It
  • Pharrell Williams
  • Timbaland


MVP OF THE YEAR
  • Big Sean
  • Drake
  • Future
  • J. Cole
  • Kendrick Lamar
  • Nicki Minaj


TRACK OF THE YEAR
  • "Alright" - Produced By Pharrell Williams & Sounwave (Kendrick Lamar)
  • "Blessings" - Produced By Boi-1da & Vinylz (Big Sean FEATURING Drake & Kanye West)
  • "Commas" - Produced By Dj Spinz & Southside (Future)
  • "Idfwu" - Produced By Dj Dahi, Dj Mustard, Kanye West & Key Wane (Big Sean FEATURING E-40)
  • "Trap Queen" - Produced By Tony Fadd (Fetty Wap)


ALBUM OF THE YEAR
  • Big Sean - Dark Sky Paradise
  • Drake - If You're Reading This It's Too Late
  • J. Cole - 2014 Forest Hills Drive
  • Kendrick Lamar - To Pimp A Butterfly
  • Nicki Minaj - The Pinkprint
  • Wale - The Album About Nothing


WHO BLEW UP AWARD
  • Bobby Shmurda
  • Dej Loaf
  • Fetty Wap
  • Rae Sremmurd
  • Tink 

HUSTLER OF THE YEAR
  • Dr. Dre
  • Drake
  • J. Cole
  • Jay Z
  • Nicki Minaj


MADE-YOU-LOOK AWARD (BEST HIP HOP STYLE)
  • A$Ap Rocky
  • Dej Loaf
  • Drake
  • Kanye West
  • Nicki Minaj


BEST HIP HOP ONLINE SITE
  • Allhiphop.Com
  • Complex.Com
  • Hotnewhiphop.Com
  • Rapradar.Com
  • Worldstarhiphop.Com


BEST CLUB BANGER
  • Big Sean featuring E-40 - "Idfwu" (Produced By Dj Dahi, Dj Mustard, Kanye West & Key Wane)
  • Dej Loaf - "Try Me" (Produced By Dds)
  • Fetty Wap - "Trap Queen" (Produced By Tony Fadd)
  • Future - "Commas" (Produced By Dj Spinz & Southside)
  • Rich Homie Quan - "Flex" (Ooh, Ooh, Ooh) (Produced By Dj Spinz & Nitti Beatz)



BEST MIXTAPE
  • Future - 56 Nights
  • Future - Beast Mode
  • Future - Monster
  • Lil Wayne - Sorry 4 The Wait 2
  • Travis Scott - Days Before Rodeo
  •  

SWEET 16: BEST FEATURED VERSE
  • Drake - "Blessings" (Big Sean Featuring Drake & Kanye West)
  • Drake - "My Way Remix" (Fetty Wap Featuring Drake)
  • E-40 - "Idfwu" (Big Sean Featuring E-40)
  • Kendrick Lamar - "Classic Man Remix" (Jidenna featuring Kendrick Lamar)
  • Lil Wayne - "Truffle Butter" (Nicki Minaj featuring Drake & Lil Wayne)


IMPACT TRACK
  • Big Sean featuring Kanye West & John Legend - "One Man Can Change The World"
  • Common & John Legend - "Glory" (From The Motion Picture "Selma")
  • J. Cole - "Apparently"
  • J. Cole - "Be Free"
  • Kendrick Lamar - "Alright"


PEOPLE'S CHAMP AWARD
  • Big Sean featuring Drake & Kanye West - "Blessings"
  • Fetty Wap - "Trap Queen"
  • Future - "Commas"
  • Kendrick Lamar - "I''
  • Rae Sremmurd - "No Type"
  • Rich Homie Quan - "Flex (Ooh, Ooh, Ooh)"

MNADA BANNER