REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

UTAFITI: MTUMIAJI WA POMBE ANAWEZA KUJIFUNZA KUTUMIA LUGHA NYINGINE (YA KIGENI) KWA UFASAHA ZAIDI

2:47:00 AM Add Comment

Na baba Juti
UCHUNGUZI umefanyika na kubainika Kuwa Unywaji wa Pombe unaweza kumfanya Mtu akazungumza Lugha za mataifa Mengine

Uchunguzi huo umebaini kuwa, unywaji wa Pombe kiasi fulani (hasa Kidogo) kinaweza kumfanya Mtumiaji akawa na ujuzi wa Lugha Nyingine hasa kutoka mataifa Mengine

Team ya Utafiti Kutoka Liverpool Uingereza, Vyuo Vikuu vinavyofahamika kwa Majina ya MAASTRICHT UNIVERSITIES,  Na KING'S COLLEGE zilitoa taarifa kuwa, unywaji wa Pombe husababisha athari ama hudhuru sehemu kadhaa za binadamu ikiwemo Nguvu ya Kufanya kazi kwa Ubongo, na Nguvu ya Mwili.

Tofauti na hayo, Ilidaiwa kuwa kupoteza kumbu kumbu, kukosa nguvu na uwezo wa Kufikiria, lakini pia uvivu wa kimwili, husababishwa na Unywaji wa Pombe

Ila sasa, kuna faida mpya ambayo imebainika safari hii, kuwa kunywa Pombe kunaweza kumfanya Binadamu akatumia Lugha zaidi ya Moja hasa zile kutoka Nje ya Nchi ambayo binadamu husika anatumia Lugha yake Mama au ya kitaifa.

Pia watafiti hawa Wapya wameongeza kuwa, Pombe hujenga Ujasiri Binafsi kwa Mtumiaji na hata kutumia Fursa hiyo kuzungumza na mwenzake ama wenzake ama Wenyewe Lugha Nyingine za Kigeni zaidi kuliko hata Lugha yake Mama

Hivyo, kwa utafiti wa Awali, imegundulika kuwa, Mtumiaji wa Pombe kwa kiasi fulani, hata kama hajui, huweza kukusanya hata maneno mawili matatu licha ya kuchapia katika lugha ya kigeni, lakini atazungumza na kueleweka kwa kiasi Fulani


Pia Mtumiaji wa Pombe, hupendelea mara kwa mara kutumia Lugha Nyingine tofauti na ile ambayo huizungumza siku zote katika Majukumu yake ya kila siku

Mmoja kati ya Watafiti, Dr. Inge Kersbergen kutoka Chuo Kikuu cha Liverpool, taasisi ya Saikolojia, Afya na Jamii alisema Hivi, tunamnukuu
" Utafiti wetu unaonesha kuwa unywaji wa Pombe, unaweza kuwa na manufaa katika kutamka maneno ya Kigeni hasa kwa wale ambao anagalau wameshajifunza Lugha hiyo. Hii pia husaidia ama huleta faida ya kujifunza zaidi hasa ukiizungumza ukiwa na wale ambao wanaifahamu lugha husika kwa ufasaha zaidi"

SIKU YA HESHIMA DUNIANI: VANESSA MDEE ANASHUKURU KUIMALIZA VIZURI NA WANAFUNZI WA AGAKHAN MZIZIMA SECONDARY SCHOOL (PICHA)

2:05:00 AM Add Comment

Na Insta Cop  
SIKU ya jana, October 18, ilikuwa ni Siku ya Heshima Duniani (Global Dignity Day) ambayo hufanyika Kila Mwaka katika Mataifa Mbali mbali

Lakini kwa Mwaka huu, Mahali fasaha pa kuiadhimisha , ilikuwa ni katika Shule mbali mbali Duniani, ili kutoa hamasa kubwa na heshima kubwa kwa wanafunzi mbali mbali ambao wamekuwa wakijituma zaidi katika masomo na malengo yao ya Baadaye.

VANESSA MDEE, maarufu kama Vee Money, alikuwa katika Shule ya AGA KHAN MZIZIMA SECONDARY SCHOOL iliyoko Dar Es Salaam kwa ajili ya kujumuika na wanafuzni wa Shule Hiyo

Hivi Ndivyo ilivyokuwa








NICKI MINAJ: "NITATOA $ 100,000 KWA ATAKAYENIPA USHAHIDI JUU YA HILI"

1:45:00 AM Add Comment

Na Rich Sam   
WAUNGWANA wameamua kumfanya Nicki Minaj apate Hasira za kutosha mpaka kutangaza Dau la USD 100,000 kwa yeyote atakayempatia Ushahidi ambao mpaka hivi sasa umemuweka katika wakati mgumu hapa Duniani aisee

Hitmaker Huyu wa "ANACONDA" alijikuta akimiminiwa "Ndimu" za Kutosha ikiwa ni baada ya kudaiwa kuwa aliropoka kwamba yeye ndiye kawafanya Wasanii Wote wa Rap kwa Jinsia ya Kike wawe katika Ramani ya Muziki, kitu ambacho kwa upande wake amekikanusha na kuamua kuandika walaka Mrefu sana kupitia Instagram account Yake.

Katika Post alioipost bibie huyu baada ya kukutana na janaga hilo, aliandika kuwa, anahitaji kuweka sawa kuhusu kauli hiyo ambayo imenukuliwa Tofauti na Mitandao ya Kijamii na Tv Station mbali mbali, huku akimtaka yeyote yule atakayeona "nukuu" hiyo, basi amcheki na kumpatia USD 100,000.

Tunamnukuu tafadhari
     NICKI MINAJ     
"Ninanona Watu wana-remix maneno yangu, hivyo ngoja nipost kile nilichokisema haswa kwa wale ambao wana uelewa. Sasa, kama utapata Sehemu ambayo nilisema "Nimewafanya Rappers wa Kike kuwa katika Main Stream", nitakupatia USD 100,000. Blogs na Tv shows mbali mbali huwa hawajalishi utafiti, huwa wanajali kuchukua hisia zako. Hebu fikiria mie kusema nimewaweka katika Ramani ya Muziki rappers wa Kike wakati kuna wengi ambao tayari walishaingiza albums zao Platnum kupitia Nguvu zao. Lauryn mpaka nakala Milion 10 ya moja kati ya Albam zake. Eve alikuwa na Nyimbo zilizogusa Pltnum akiwa na Alicia Keys, Gwen Stefani, Tv Show yake na Mavazi yake, Missy Eliot Pia Nyimbo zake. Foxy Brown na Lil Kim walikuwa Album ambazo ziliingia Pltnum na walitengeneza vizuri Sound ya Wasanii wa Kike wanao Rap kutoka New York. Akina Queen Latifah, Trina naye alikuwa na Album ambayo ilifika mpaka Billboard. Ninapenda sana upendo wa watu lakini sijawahi kusema hivyo.........."


I see ppl remixing my words so let me post "exactly" what I said for the intelligent ones in the back. Now, if you can find the part where I said "I made female rappers mainstream", I'll give you $100,000.00. 😅 blogs & tv shows don't care to do actual research these days, they only care about what grabs your attention... at anyone's expense. Imagine me saying I made female rappers mainstream when there were so many women who already had platinum albums under their belts. 🙃 Lauryn sold 10 million off one album, Eve had platinum singles w/Alicia, Gwen Stefani, her own tv show & clothing line. It doesn't get more mainstream/pop than Missy's biggest singles. Foxy&Kim had platinum albums & shaped the sound of NY female rappers, Latifah had her own sitcom, Trina was on billboard with hits, etc-🙂 I appreciate the love but I never said that. 🦄🦄🦄 now what I DID say is right here for anyone w/their own brain to decipher words on their own. I know it's hard in the social media band wagon era, but try. It's fun. 🙈. When I came out, there had been a drought of a few years where NO female rap album had gone platinum, females weren't getting budgets, the industry did NOT believe in the female rapper anymore. They had stopped generating MONEY for labels. Ask any rap historian or just anyone with a brain. These are facts and nothing but the facts. So I "REINTRODUCED" the "successful" female rapper back to POP CULTURE. Showed big business we were major players in the game just like the boys were. ♥️😍😘 love you guys for holding me down but what's true is true & whats not is just simply not. 🙂 update your blogs & tv shows with what I actually said please 🙄🤣. I can't believe this lil interview made it to tv. Haha. See u guys on tour next year. I got a cpl BIG surprises. AHHHHHHHHHH!!!!!!! 😘
A post shared by Barbie® (@nickiminaj) on

MAHABA NIUE !!!: JENNIPHER LOPEZ ANAUZA NYUMBA YAKE KWA SABABU ANAHITAJI KUISHI PAMOJA NA ALEX RODRIGUEZ

1:21:00 AM Add Comment

Na Baba Juti  
JENNIFER LOPEZ kwa Kinywa Chake alitamka Rasmi kuwa mahusiano yake na Alex Rodriguez ndiyo mahusiano yake Ya Kwanza kabisa kufurahia, na hilo limeanza kuthibitika rasmi.

Mahusiano hayo ambayo yameanza mwaka huu wa 2017, yanaonekana kupiga hatua nzuri kadri ambavyo siku na Muda unavyosonga Mbele mpaka kufikia maamuzi ambayo mtu wa kawaida hawezi kuyafanya.

Jennifer Lopez anasadikiwa kuiweka Sokoni Nyumba yake ya Kifahari iliyoko NEW YORK Marekani hivi sasa, maana anahitaji kuishi Pamoja na Mpenzi wake huyo Alex Rodriguez.

Taarifa zinazidi kumiminika kuwa, Uamuzi huo umefikiwa baada ya kuona kuwa kuna uhitaji mkubwa wa wawili hao kuanza kuishi pamoja na kuanza kutekeleza Mipango yao Muhimu zaidi katika Maisha yao, Mapenzi yao, na Kazi zao

Tofauti na Hilo, wawili hao wanatajwa kuwa, wako katika Harakati za kuwekeza pamoja katika Biashara zao za pamoja ambazo zitazidi kuwaweka imra katika Mahusiano na maisha yao kiujumla

NDOA YA BIRDMAN NA TONI BRAXTON HAIPO WAUNGWANA JAMANI !!!!!

1:12:00 AM Add Comment

Na Baba Juti    
#WatuWaMungu kumekuwa na Taarifa ambayo Pia kupitia Sehemu kadha wa kadha zimekuwa zikizungumzwa sana kuhusu "ndoa" ya wapenzi wawili BIRDMAN na TONI BRAXTON ambayo inadaiwa kuwa ni Ya Siri na ilifungwa Miezi miwili iliyopita.

Taarifa hizo pia zilitolewa na chanzo aminifu kabisa ambacho kipo karibu na "wapenzi" hao kwa kudai kuwa Birdman hakutaka kabisa Ndoa yao ijulikane ingawa wapo mbioni kuandaa Sherehe yao maalum hivi karibuni ikiwa ni njia ya kujitangaza Rasmi kuwa tayari ni Mke na Mume

Sasa Siku ya Jana, Taarifa Nyingine zimeibuka na kukana kabisa kabisa kabisaaaaaa !!!...kuwepo kwa Ndoa ya Birdman Na Toni Braxton

Msemaji Maalum wa Toni Braxton alidai kuwa Bibie huyo hajasema "I Do" kwa Rapper Huyo Mkongwe na Mwenye "Mkwanja" mrefu, ila Bado wanadate tu.

Katika kuongezea juu ya hilo, Msemaji huyo alisema kuwa hivi sasa Toni Braxton ana mkwaju unaoitwa "DEAD WOOD" ambao utatoka kwenye Album yake mpya ya SEX & CIGARETTE itakayoachiwa Rasmi 2018

MNAONAJE !!!: HUU NDIO MUONEKANO MWINGINE WA BARAKA THE PRINCE KATIKA SEKTA YA KICHWA

1:00:00 AM Add Comment

Na Rich Sam  
#WatuWaMungu Hakuna Mtu ambaye anapenda kuwa na muonekano wake huo huo tangu alivyoanza ama kwa muda fulani, lazima tu atabadili kidogo ili awe tofauti.

Hii tumekuwa tukiiona kwa wasanii wengi sana hapa Duniani wakifanya hivyo, ili angalau kuwa na mvuto wa aina fulani katika mwili wake  na hata katika biashara yake kiujumla

Nchini Tanzania katika Muziki wa "Bongo Flava" kuna wasanii wengi ambao hubadili muonekano wao mara kwa mara, Mfano Mzuri ni Young Dee, Diamond Platnumz, Janjaro, Harmonize, Young Killer, na wengine wa kutosha

And This Time, Msanii ambaye Origin yake ni MWANZA, Barakah Da Prince au "The African Prince" naye pia katuletea Muonekano wake Mpya kichwani. Kama hujauona, basi hebu utizame tafadhari






HUDDAH : "NIMEKUWA TOM BOY KWA SABABU............"

12:44:00 AM Add Comment

Na Baba Juti   
#WatuWaMungu Socialite kutoka Nchini Kenya, HUDDAH MONROE maarufu kama "Huddah The Boss Chick- Star Girl" ameamua kufunguka upande wake mwingine wa maisha ambao pengine wengi walikuwa hawaufahamu

Kupitia Instagram account Yake, Huddah amedai kuwa, huwa hapendelei kuvaa Magauni kwa sababu huwa hapati nafasi ya kujiachia tofauti na namna ambavyo huwa anajiachia akiwa amevalia Suruali ama Kaptula.

Katika kukazia zaidi, Huddah tangu awali alikuwa akipendelea kuvaa mavazi ya kiume na hata kuitwa TOM BOY kwa sababu hajawahi kuwa na Dada. Hivyo muda mwingi alikuwa akiutumia kuwa na kaka zake, na hata kucheza michezo ya kiume na kaka zake, na ndio maana huwezi kumuona akujitupia mavazi ya Gauni mara kwa mara.

MNADA BANNER