REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

MUNGU TUOKOE: Muimbaji Huyu wa Gospel Ameimba Wimbo Unaoitwa "NIPE NYONYO"

1:08:00 AM Add Comment

Na Baba Juti
SASA, Sijui ndio muelekeo wa Gospel, sijui Yuko Sawa..au Lah
Msanii Chipukizi wa Muziki wa Injili Kutoka Nchini Kenya, anayefahamika kwa Jina la SBJ, ameachia Track ya Gospel inayoitwa Nyonyo.

Kama hujakutana na audio au Video hiyo, Msanii huyo ambaye ameonekana kukosolewa Vikali kwa Wimbo huo ambao unaonekana ni kama kuanza kuudhalilisha na kuunyima Muziki wa Injili Heshima, anamuomba Mungu ampe Nyonyo, huku akisisitiza pia kuwa anamuomba Yesu ampatie Nyonyo nay eye ashibe

Pia katika Track Hiyo Msanii huyo analalamika kuwa, kuna wengine wamepewa Nyoyonyo wakanyonya kasha Wakavimbewa. Na Kuna wengine walipewa Nyonyo, kasha wakalala
Mstari mmoja wapo ni kama ifuatavyo:

“Eeh Baba nipe nyonyo oh Yesu niko tayari eeh..nijue jinsi ya kamua, nielewe mi kunyonya.


Comments zinasema hivi
  • Bienaime Alusa Baraza: Pewa nyonyo mbili hapo kwa bill yangu
  • Sheelah Kenis : what the fuck is this????
  • Njeri PaulineThe lyrics oh my word, is he for real..this is sooo wrong in every way
  • james kiarie : This video should be removed from You Tube. What the hell !!
  • peter nganga "Holy crap" this guy shld come read the comments and try another field
  • sherry kamondo : i cant believe my ears, gooosh. inauthi
  • Joshua Kembero: I wasted two precious minutes of my life
  • Douglas Kigotho : the name first of all is a disgrace ati s......BJ.what tha hell is wrong with this guys
  • njoroge gatitu: I blame the producer for producing this kind of a song, try something else other than singing
  • Mary njengahThis is crazy....Jeez what kind of a gospel is this....Lord have mercy on us
  • Shizney winko I know we're not supposed to judge but this is madness, is it a must for everyone to sing gospel in Kenya? shame shame. Mungu atusaidie

WATANZANI: KWAKWELI MUNGU ANAWAONA. SIO KWA MATUSI NA KUPUYANGA HUKU KATIKA AKAUNTI YA KUMPIGIA KURA MISS WORLD 2016

12:59:00 AM Add Comment


 Na Baba Juti
KWAKWELI , kama ikija Tuzo ya Matusi , Madongo, Kutokuelewa, na kukurupuka katika Mitandao ya kijamii, hasa Instagram, Bongo Tunaweza kuchukua nafasi ya Kwanza

Kama ulikuwa hujui, tofauti na kufanyiana Mafyongo katika account zetu sisi Wenyewe, na hata kutukana wasanii wetu ama watu Maarufu, safari hii Bongo tumeamua kuwavamia Washiriki wa Miss World kunako Account zao za Instagram, sambamba na account ya MISS WORLD ambayo huwa tunaitumia kupiga Kura kumpata Mshiriki.

Sasa Ili kudhihirisha kuwa sie ni Vichwa Ngumu, Takwimu za Madudu yetu katika Instagram account ya Miss World, inayotumika kupiga Kura
MISS NORTHEN IRELAND
  • MATUSI-29
  • MABIFU YA UTIMU-14
  • KUPUYANGA- 67
MISS RUSIA
  • MATUSI-18
  • MABIFU YA UTIMU-45
  • KUPUYANGA- 78
MISS SINGAPORE
  • MATUSI-2
  • MABIFU YA UTIMU-0
  • KUPUYANGA – 45


MISS US VIRGIN ISLAND
  • MATUSI-01
  • MABIFU YA UTIMU- 0
  • KUPUYANGA- 24
MISS UKRAINE-
  • KUPUYANGA 17
MISS GUINEA BISSAU
  • MATUSI-07
  • MABIFU 02
  • KUPUYANGA- 45

AT: NILIMTAFUTIA RIHANNA BAIBUI, LAKINI MEDIA HAIJALITAMBUA HILO

12:47:00 AM Add Comment
Na Baba Juti
AT Jana alitia timu katika Ofisi za 93.7 Jembe Fm-Mwanza, na kupiga Story Nyingi sana, lakini kuna hili moja ambalo sijui tuliamini ama tulipe Uzito Gani.

Mkali huyu wa “Vifuu Tundu” ambaye huwa hapendi kuitwa Mzanzibar, amedai kuwa, Media Nyingi Nchini Tanzania zimekuwa zikijikita zaidi kuzungumzia na Kupost Kuhusu masuala ya Skendo Skendo tu, lakini wanasahau kuwa kuna mambo Mengine ya Msingi kuzungumzia.

Katika Kuliweka Hilo Jambo sawa, AT amedai kuwa, amewahi kufanya Mambo makubwa Matatu lakini Mpaka hii Leo, Media haijawahi kuzungumzia Masuala hayo

Katika  Kufafanua zaidi, AT anadai kuwa, Wimbo wake mmoja uliwahi kuchukuliwa na kutumika Kimataifa katika Ngazi za Juu. Lakini Pia, kushauri katika Vazi la Baibui ambalo alivaa Rihanna

Msikilize

VICTORIA KIMANI: SINTOFANYA TENA KOLABO NA MSANII WA KENYA

12:20:00 AM Add Comment

Na Baba Juti
MSIMTAFSIRI kama amevimba kichwa, no, ni Msimamo wake jamani, na mwingine anaweza kuamua hivyo hivyo.

Victoria Kimani kutoka Nchini Kenya, amedai kuwa hana mpango wa kufanya “Kolabo” na msanii mwingine yeyote Kutoka Nchini Kenya Bali ana matarajio makubwa zaidi

Akifafanua Vizuri kuhusu Hilo, Kimani ambaye hivi sasa yuko Chini ya Chocolate City ya Nchini Nigeria, amedai kuwa, awali alitamani kufanya kazi na baadhi ya Wasanii Nchini Kenya na Tayari, hivi sasa hana plan Hiyo

Nukuu:
“Nilitaka kufanya Kazi na Wyre, nilifanikiwa, nikatamani kufanya kazi na King Kaka, nikafanikiwa. Muda huu, siwezi kumfikiria mtu yeyote tena, ambaye natamani kufanya naye kazi. Kwa upande wa Wasanii wa Kenya, nadhani nimeshamaliza, na hao ambao nimefanya nao Kazi.”

Pia Katika hali Nyingine, Victoria Kimani amedai kuwa anahitaji kufanya Kazi na Kanye West kutoka Nchini Marekani.
Pia amefichua kuwa, yuko tayari kuolewa sasa hivi, na anatamani kuwa Rafiki wa Beyonce.

SHOGA NCHINI KENYA: NINAMTAKA NAHREEL WA NAVY KENZO

12:12:00 AM Add Comment
Na Baba Juti
KAMA Mtakuwa mnakumbuka Vizuri kuna kipindi Nahreel na Mpenzi wake Aika ambao wanaunda Kundi la Navy Kenzo, walitia Maguu Nchini Kenya kwa Ajili ya Shughuli moja Tu, Kazi Kunako tuzo za Video za Pulse- PULSE MUSIC VIDEO AWARDS 2016

Lakini kwa Mujibu wa Info ambazo mpka hivi sasa Team Hit Zone tunazo, ni Kwamba kna jamaa mmoja ambaye anasifika Nchini Kenya kwa Kushiriki Mapenzi ya Jinsia Moja, yaani "Shoga" alilazimisha kuingia kunako upande wa VIP kwa nia Moja tu, anamtaka Navy Kenzo

Pia Taarifa zinazidi kueleza kuwa, Jamaa huyo, alilazimisha kupiga Picha na Nahreel Peke yake, lakini hali haikuwa hivyo, badala yake Nahreel alimkamatilia Vizuri Aika na wakapiga Picha na Shoga Hilo.

Lakini Kama Haitoshi, Jamaa huyo alisisitiza zaidi kuwa anataka kumpatia Kitu Spesho Nahreel, akiwa Peke yake Bila Aika, kitu ambacho kiliwalazimu mabaunsa wamtoe upande wa VIP kwa Nguvu kubwa, lakini bado jamaa aliwajibu Baunsaz kuwa, bado tu atampata Nahreel hata wambanie vipi

MNADA BANNER