REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

An apple a day could keep obesity away: Granny Smiths promote friendly bacteria helping us feel fuller for longer.

3:02:00 AM Add Comment





 HEALTH, Black Touchez Blog
An apple a day keeps the doctor away, goes the saying.
But a new study has found more specifically, that a Granny Smith a day could be the key to preventing obesity.
The bright green, crisp variety helps people feel full, inhibiting the urge to eat.

They were found to promote friendly bacteria, which invokes the feeling of being full. 

The study, published in the journal Food Chemistry, revealed that the non digestible compounds in the fruit, which include fibre and polyphenols, do not get broken down by stomach acid.

When they reach the colon they are fermented by bacteria in the colon which helps friendly bacteria in the gut to grow. 

Scientists at Washington State University tested several different varieties of apple on mice, to see which caused the most growth of friendly bacteria.


Granny Smiths worked better than Golden Delicious, Gala, Braeburn and other popular varieties, they discovered. 

The variety, known for its slightly tart flavour, had a particularly high fibre content and compounds like polyphenols which do not break down when eaten, they reported. 

The team analysed mouse droppings after feeding the animals, some of which were obese, different types of fruit.
They discovered the balance of bacteria in the colon of obese people is often 'disturbed' in a way that can disrupt the metabolism and make people feel hungry.

It was revealed that the faeces of overweight mice that had eaten Granny Smith apples had changed and become similar to that of slim mice.
The discovery could lead to future treatments for weight problems.
Professor Giuliana Noratto, from Washington State University said: 'We know that, in general, apples are a good source of these non digestible compounds but there are differences in varieties.

'Results from this study will help consumers to discriminate between apple varieties that can aid in the fight against obesity.

'The non digestible compounds in the Granny Smith apples actually changed the proportions of fecal bacteria from obese mice to be similar to that of lean mice.'

The discovery could help cut disorders linked to obesity, including low grade inflammation.
'What determines the balance of bacteria in our colon is the food we consume,' said Professor Noratto.



AKAUNTI FEKI ZINAZIDI KUWATAFUNA WASANII WA BONGO INSTAGRAM

2:46:00 AM Add Comment





INSTACOP, @instacoptz
MNAMO mwezi uliopita TTM tulikupa Mtonyo kuwa, Kuna Mtu kunako Mtandao wa INSTAGRAM anatumia Jina la WEMA SEPETU kuweza kufanya Utapeli wa hali ya Juu…

Sasa This Time Yule Presdaa wa wa Masharobaro, BOB JUNIOR, amekutana na Noma Hilo hilo, ambapo kuna Tapeli anatumia Jina lake katika Mtandao huo wa Instagram , kufanya Utapeli wa Nje Nje.

Rafiki wa Karibu wa Bob Junior, KITALE, ndiye ambaye amebombulua noma hilo, baada ya kutoa Info kuwa, tapeli huyo anajiita SHAROBARO BOB JUNIOR (@sharobarobojunior) akitumia uhalisia wa BOB JUNIOR TZ (@bobjuniortz).


Kitale ameongeza Kuwa, mtu huyo hivi sasa anafollowers wengi sana, na mara Nyingi amekuwa akitumia Picha na kila kitu anachokifanya Bob Junior, ili kuwafanya Bandugu waamini kuwa Ni Yeye.

Aidha jambo ambalo limemshtua sana KITALE, ni baada ya Bob Junior Feki kumtumia Meseji katika INSTAMESSAGE, na kumwambia amtumie 70,000 sababu amekwama, na yuko Kahama katika Show.

Tofauti na hilo, Bob Junior Feki amekuwa akiwatukana Mashabiki wa Bob junior hasa pale wanapocomment jambo fulani

ASAP ROCKY..NA JANGA LA LUMPIGA SHABIKI WAKE WA KIKE

2:40:00 AM Add Comment



INAWEZEKANA kabisa Asap Rocky ambaye ni Mkali wa PROBLEMS, akatema USD 75,000 endapo atabainika kuwa alimpiga Mwanamke mmoja amabaye ni Shabiki wake, mnamo Mwaka 2013.

TTM tumepata Mtonyo kuwa, JULY 13 kunako tamasha la MADE IN AMERICA, lililofanyika Kule Philadephia, Asap Rocky alionekana akimchapa Kofi kali Mwanamke huyo, hali ambayo ilimfanya afungue Mashtaka (Yaani Huyo Mwanamke)

Licha ya kukana vikali kumpiga Shabikia yake, Muathirika ambaye anatambulika kwa jina la LISAMARIE WADE, hakushindwa wala kukata tama kufungua Mashtaka Dhidi ya ASAP ROCKY, huku madai makubwa ikiwa ni kumsababishia maumivu, pamoja na kukiuka haki za Raia wa Nchi ya marekani, kwa Kumjeruhi ama Kumdhuru pasipo Kosa lolote, na tena HADHARANI


Pi a Wade ameongeza kuwa, Asap Rocky hakumpiga Kofi tu, bali alimsukuma kwa Nguvu na kuanguka Chini hasa alipokuwa akitafuta Njia ya kuwafuata mashabiki

Wade kwa hasira na machungu, ameongeza kuwa, hiyo huwa ni tabia ya ASAP, ukizingatia kuwa aliwahi

FRENCH MONTANA NA SUALA LA TALAKA…NATAKIWA KULIPA KIASI HIKI CHA MKWANJA

2:32:00 AM Add Comment



BAADA ya Kutemana na Khloe Kardashian, French Montana amekamilisha suala jingine lilikowa likimkabili kwa Muda Mrefu sasa, yaani Talaka.

French Montana alikuwa katika Mchakato wa Talaka na Mkewe NADEEN KHARBOUCH ambaye wamefanikiwa kupata mtoto mmoja


Mnamo mwaka 2007 , French Montana alifunga Ndoa na Nadeen, na mpaka kufikia mwaka 2012, wawili hao walishindwa kuendelea na safari yao ya Ndoa, na badala yake mchakato wa Talaka Ukaanza

SASA, kwa Mujibu wa info ambazo tayari TTM tumeshakutana nazo, ni kwamba Talaka imeshakamilika tayari kwa wawili hao, na mpaka hivi sasa French Montana maarufu kama COKE BOY anatakiwa kutema Mkwanja unaogonga thamani ya USD MILIONI 2


NADEEN ambaye officially tunamtambua kama EX WIFEY wa French Montana, anatarajiwa kukaa na Mtoto huyo kwa malezi zaidi, na Siku ya juzi, Montana alipata nafasi ya kumtembelea Mtoto wao.

MAHAKAMA YAAMURUU IPTL ISIBUGUDHIWE

12:07:00 AM Add Comment



DAR ES SALAAM, Tanzania
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, imeiamuru Benki ya Standard Chartered ya Hong Kong  (SCBHK) na Shirika la Usambazaji Umeme Tanzania (Tanesco) kuacha kuingilia utulivu, umiliki, usimamizi na utawala wa mitambo ya ufuaji umeme ya Harbinder Singh Sethi iliyopo Tegeta, na kusubiri uamuzi wa mwisho wa kesi ya msingi.

Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Pan African Power Solutions Limited (PAP) zilifungua kesi kwa kuhoji uhalali wa maamuzi ya Kituo cha Kimataifa cha Kutatua Migogoro ya Uwekezaji (ICSID) dhidi ya Benki ya Standard Chartered ya Hong Kong (SCB-HK) na Martha Renju (anayedaiwa kuwa msimamizi wa mali zake), iliyotolewa katika kesi ya ICSD namba ARB / 10/20.

Katika hukumu hiyo iliyoandikwa na Jaji Dk. Fauz Twaib na kusomwa kwa niaba yake na Jaji Amri Msumi Hamisi, Jaji Twaib aliamuru Tanesco kutofanya biashara yoyote na SCB-HK au Martha Renju kwa niaba ya IPTL / PAP bila ya idhini ya kimaandishi kutoka IPTL / PAP.

“Wadaiwa kwa pamoja wanazuiliwa kufanya utekelezaji wa maamuzi iliyotolewa katika chombo cha kimataifa ya ICSD yenye namba ARB / 10/20 na kusambazwa kwa wahusika Februari 12, 2014, kwa namna yoyote ile, na kusubiri uamuzi wa mwisho wa kesi yao ya mdai, ” ilisomeka sehemu ya hukumu hiyo.

Tanesco pia imezuiwa kutolipa kwa SCB-HK na Martha Renju malipo yoyote wanayostahili IPTL / PAP bila ya idhini ya maandishi kutoka kwa IPTL / PAP.

Mahakama pia imeizuia Tanesco kutotekeleza au kukubaliana na au kuyatekeleza maamuzi ya ICSID, na kusubiri uamuzi wa mwisho wa kesi yao ya msingi.

Pia mahakama hiyo ilitupilia mbali hoja ya mwanasheria wa SCB-HK, Charles Morrison, ambaye alisema Mahakama Kuu ya Tanzania haipaswi kusikiliza na kutoa maamuzi juu ya ombi hilo sababu Tanzania ni mwanachama wa ICSID ambayo pia inajulikana kama Washington Convention au ICSID .

Kwa mujibu wa Jaji Twaib, Wakili Morrison alionya kuwa kama Tanzania haitotii wajibu huo, itajiweka sehemu mbaya katika nyanja ya kimataifa.

MNADA BANNER