REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

HAKUNA COLLLABLE YA GAGA WALA EMINEM....KUDADADEEEKIII

2:16:00 AM Add Comment
Lady Gaga akiwa na Eminem


Na Frank M. Joachim

Mapema Wiki hii kumekuwa na Mastori zingi kila kona ya Kitaa cha Wapenda Burudani kuwa Mtu mzima Eminem “az nouni az” Slim Shaddy, atagonga Kolabo na Crazzy Girl aliyejipindia kitambo sana, Lady Gaga a.k.a Gagalicious, katika Track ambayo ilipewa Jina la “STREET LIGHTS”, ambapo raia wengi tumekuwa tukiisubiri kinoma noma, baada ya kuzagaa kwa info kuwa wawili hao wamekuwa wakionekana pamoja kunako mitaa ya Studio ambako Track hiyo inapikwa.
Katika Hali isiyo ya kawaida, Meneja wa Eminem, Paul Rosenberg amethibitisha kuwa hakutokuwa na Collabo yoyote ile baina ya “Mother Monster” (Lady gaga) huyo na The Detroit Rapper Eminem.
Mastori Hizo zilianza Kitaambo kimtindo kupitia Site kadhaa za Musics, na maburudani mbali mbali.
So….wadau pigeni Kimmmmyaaaaaaa!!!!

KWA WALE WADADU WA AMBER ROSE NA WIZZY KHALIFA...HII INAHUSU KINOMA NOMA

2:00:00 AM Add Comment







 Amber Rose katika vazi ambalo liliwafanya wadau kuhisi ni Mjamzito

 Na Frank M. Joachim
Baada ya Mapicha kadhaa kumuonesha Mwanamitindo Amber Rose akiwa katika Dalili za kuwa mjamzito, Mchumba wake mpendwa Wizzy Khalifa amekanusha vikali suala hilo na kusema kuwa watu wamemtafsiri  vibaya Amber alivyotoklezea
Hayo ameyadhihirisha mwenyewe Wizy Khalifa alipokuwa kwenye mahojiano na kituo cha Redio cha HOT 107.0 na Q Deezy katika masuala ya ujauzito kuhusiana na Amber wake
“Yeah…ni kweli, nahitaji watoto kiukweli…oh…mnahisi Amber ni mjamzito?...kwa sababu nimeulizwa hilo Swali….si kama ambavyo watu wanatafsiri, hivi sasa tunajipanga na Ndoa ambayo tutafunga muda si Mrefu. Ninasema hivyo kwa sababu watu wanaamini hivyo. Ila, atanipatia mtoto katika maisha yetu. Na watu watafahamu tu endapo atakuwa Mjamzito, ila kwa sasa sio muda muafaka””…alisema Khalifa

MNADA BANNER