REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

HIVI NDIVYO P. DIDDY ALIVYPOATA AJALI SIKU YA JANA....

6:15:00 AM Add Comment
 Msanii wa Kundi La Dirty Money na Boss Wa BAD BOY ENTERTAINMENT nchini Marekani, Sean Combs P.Didy akiugulia Maumivu baada ya Kupona katika Ajali iliyotkea Jana Mchana

 Askari Polisi wakiwa Kwenye eneo la Tukio ambako Didy alipata Ajali

 Utaratibu wa Kuliondoa Gari katika Eneo la Tukio Ukifanyika.

 P. Didy akionekana Kutembea kwa Kuchechemea.

 Akipata Huduma ya Kwanza Mara baada ya Ajali

 Gari La P. Diddy lililopata ajali likiwa Nyang'a nyang'a kama unavyoliona

 Diddy akijikagu kama namajeraha katika Mkono wake

 P. Diddy akiwa na Askari Polisi mara baada ya Kufikishiwa Taarifa

 Polisi wakichukua Melezo ya Ajali hiyo

 Utaratibu wa Kulichukua gari hilo kutoka katika eneo la Tukio ukiendelea

Didy akiwa Amepata Ahueni baada ya Ajali hiyo

LIBYA HAKUKALIKI

4:48:00 AM Add Comment

BAN WALID, Libya
Serikali ya Libya imetangaza kuwa makundi ya wapiganaji wanaoiunga mkono serikali yameudhibiti mji wa magharibi wa Bani Walid uliokuwa ngome ya wafuasi wa Kiongozi wa zamani wa nchi hiyo Muammar Gaddafi. 

Wapiganaji wanauinga mkono serikali wengi wao wakitoka mji wa Misrata wamekuwa wakikabilina na wafuasi wa Gaddafi kwa siku kadhaa, mapigano ambayo yamewalazimisha maelfu ya watu kukimbia mji huo mwezi huu. 

Serikali ya Libya imesema mapigano yamesitishwa na kwamba vikosi jeshi la nchi hiyo vitadhamini usalama wa mji huo na kusimamia operesheni ya kutoa misaada. Omar Baoughdad kamanda wa wanamgambo wa Misrata amesema, vikosi vyake vitaendelea kubakia Bani Walid kwa lengo ya kuyafukuza magenge ya wafuasi wa Gaddafi.

Mji huo uliopo umbali wa kilomita 140 kusini mashariki mwa mji mkuu Tripoli ulikuwa ngome ya mwisho ya dikteta Muammar Gaddafi aliyepinduliwa na kuuawa nchini Libya mwaka uliopita.


SUDAN : UN TAFADHARI......

4:43:00 AM Add Comment

KHARTOUM, SUDAN.
Sudan imelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kulaani hatua ya Israel ya kukiuka ardhi yake na kushambulia kiwanda cha silaha mjini Khartoum.

Waziri wa Habari wa Sudan Ahmed Bilal Osman jana alisema kuwa, ndege nne za kivita za Israel zilishambulia kiwanda cha Yarmouk Jumanne usiku na kwamba watu wawili waliuawa.

Daffa-Alla Elhag Ali Osman Mwakilishi wa Sudan katika Umoja wa Mataifa amesema shambulizi hilo ni ukiukwaji wa wazi wa makubaliano ya umoja huo ya  kuimarisha amani na usalama duniani na ametaka hatua hiyo ilaaniwe kimataifa.


CONFIRMED: H.BABA AMFANYIA KWELI FLORA MVUNGI

3:59:00 AM Add Comment
 H.Baba akimvalisha Pete ya Uchumba Mpenzi wake wa Muda Mrefu Flora Mvungi
 
 H.Baba akipeana Mkono wa Pongezi sambamba na Kusalimiana na Ndugu na Jamaa waliohudhuria katika Tukio hilo Muhimu na la Kipekee
 
 Flora Mvungi kabla ya Kuvalishwa Pete ya Uchumba na H. Baba
 
 Ndugu Jamaa na Marafiki waliohudhuria katika Tukio hilo muhimu
 
Mkono wa Pongezi na Salam ukiendelea

(Picha zote kwa Hisani ya Mpekuzi)


HAYA HAYA...KWANI ILIKUWAJE?



ULE uchumba uliodumu kwa muda mrefu kati ya mastaa filamu na muziki wa Bongo Fleva nchini, Hamis Baba ‘H. Baba’ na Flora Mvungi umefikia pazuri baada ya H – Baba kumtolea mahari na kumvalisha pete ya uchumba.
Tukio hilo lililokuwa na mvuto wa aina yake lilichukua nafasi siku chache zilizopita, katika Ukumbi wa The Atriums Hotel, Sinza – Afrika Sana, Dar na kuhudhuriwa na ndugu wa pande zote mbili.

 SASA H.BABA SI NDO HUYU ANAFUNGUKA SASA?

“Namshukuru sana Mungu kwa kuniwezesha kufanikisha tukio hili, japokuwa gharama ilikuwa kubwa lakini niliweza kujitutumua mwenyewe bila kuomba mchango kwa mtu yoyote.....Alisema H baba  na kuongeza kuwa....

“Jambo kubwa ninalotamani litokee na ninaamini litafanikiwa ni kufunga ndoa na Flora wangu. Ninampenda sana na nina uhakika na uchaguzi wangu.”H-BABA


 NA MASTAA WALIOHUDHURIA JE?

Baadhi ya mastaa waliohudhuria ni pamoja na Baby Madaha, Kulwa Kikumba ‘Dude’,  Hisani Muya ‘Tino’, Jacqueline Dustan ‘Jack wa Maisha Plus’, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, Husna Idi ‘Sajenti’ na Wilson Makubi aliye Katibu wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF).

MNADA BANNER