REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

MUNGU WANGU: NICKI MINAJI AKIRI KUVUNJA AMRI YA SITA NA RAPPER MEEK MILL..

8:24:00 AM Add Comment

Na Frank Joachim/ Black Touchez
NICKI MINAJI KUMBE ALIVUNJA AMRI YA SITA NA MEEK MILL
UGOMVI Wa Nicki Minaj na Aliyekuwa Boy Friend Wake SAFAREE SAMUELS, unazidi kuibua Jipya Hadi Jipya, na hili ni jingine ambalo TTM tumeweza kulinyaka na Tunalishusha kwako rasmi.

Rapper Nicki Minaj amekiri Mwenyewe kuwa, ni Kweli “alidandiwa” na Meek Mill kipindi ambacho alikuwa yuko katika Mahusiano na Bioyfriend Wake huyo, Safaree


First lady Huyo wa YMCMB, alifikia hatua ya Kukitri kufanya Kitendo Hilo, kupitia majibishano ya Message na Ex wake, ambapo alimthibitishia kabisa kuwa alifanya usaliti huo na Rapper Meek Mill kutoka MMG, Miezi 9 iliyopita.

Malalamiko ya Nicki Minaj kwa Safaree ni kwamba eti jamaa alikuwa akimfanyia Visa kadhaa, ikiwemo kugombana naye mara kwa mara, na amevumilia mengi sana katika Mahusiano hayo.


Nicki Minaj na Safaree Samuels wamedumu katika Mahusiano kwa Muda wa Miaka 12

HATIMAYE SHEDDY CLEVER AMEOMBA MSAMAHA

7:08:00 AM Add Comment

Na Frank Joachim/instagram
Tunajua Kuna Mambo mengi ambayo kila Mtu anayafanya na yasimpendeze Mtu ama yakamkwaza Mtu kwa namna yoyote

Hiki Ndicho alichoshtukia Producer Kutoka Burn Records , SHADDY CLEVER, na hatimaye kuamua kuomba Msamaha kwa wale Wote aliowakwaza.


Kupitia account yake ya INSTAGRAM, Sheddy ameomba Msamaha kwa Yeyote Yule ambaye alikwaza na kile alichokifanya kwa Mwaka Mzima wa 2014.. na hiki ndicho alichokiandika:



INSTACOP: AUNT EZEKIEL- IKO WAPI (MIMBA) MBONA HIVYO LAKINI?

6:31:00 AM Add Comment

Na Frank Joachim- @babajutibebe
KABOOOOM!!!!…haya SASA, Sawa, kumekuwa na Tetesi kuwa “Kali la Muvi” hapa Bongo hasa klwa upande wa akina Dada, AUNT EZEKIEL ameanasa “Kibendi bin Ujauzito kama sio Mimba” kutoka kwa Mwanaume ambaye sio Yule Husband tunaye Mfahamu..(Wa Dubai)

Sasa, Leo Kunako Instyagram, Mamito huyu ambaye ukimpa Scene yeyote anaichinja, amepost Picha huku akiwa amepigilia gauni Refu, Jekundu na Kubwa, huku akiuliza Kuwa Huo, mnaouita Ujauzito uki wapi?


Soma hapa:


ROMA ANAJIPANGA KWA AJILI YA 2015?..AMA NDO ANAFUNGA 2014?

6:02:00 AM Add Comment

Na Frank Joachim-@babajutibebe
WENGI this Time wamekuwa kama hawako karibu sana na Mikwaju ambayo Rapper Roma amekuwa akiachia ikiwa ni kuanzia 2030.

Ikiwa ni baada ya kuachia Mkwaju wa Mwanakondoo, Hatimaye Roma ameamua kustua Hisia za Mafanz  wake na hasa wanaokubali Muziki wake tangia kipindi kile anaanza kutesa Air Waves na Mzigo wa TANZANIA.

Kupitia account yake ya Instagram, Roma amepost Video Clip ambayo inamuonesha akiwa Studio, kunako Session ya mkwaju ambaio unaweza kuwa ni Mpya kwa namna moja ama Nyingine.


Kuna Uwezekano mkubwa kabisa, Mzigo Huo Ukapwa Unapikwa TONGWE RECORDS, na Producer ambaye anasuka kila Kitu, inawezekana akawa Ni J RYDER, ambaye alipika mikwaju Mingi sana ya rapper Huyo, ikiwemo MATHEMATICS, MECHI ZA UGENINI na Nyinginezo kadhaa

ANNIE KANSIIME NDIYE TU MWENYE NGUVU NA USHAWISHI NCHINI UGANDA-2014

5:55:00 AM Add Comment

Na Black Touchez/Satisfashion Ug.
TTM Tunaamini Kabisa Kuwa Jina La Annie Kansiime Ni Moja Kati Ya Mvuto Hasa Katika Kucheka Kwa Watu Wengi Ambao Wanapenda Comedy Za Aina Mbali Mbali.

Sasa Kama Ulikuwa Hujafahamu, Mtandao Mmoja Wa Masuala Ya Mitindo/Fashion  Nchini Uganda, Unaofahamika Kwa Jina La Satisfashion Ug Umemtangaza Rasmi Kuwa “Mvunja Mbavu” Huyo Ni Mtu Ambaye Ameonekana Kuwa Na Nguvu Kubwa Ama Ushawishi Mkubwa Sana Kwa Mwaka 2014 , Nchini Uganda.

Kwa Mujibu Wa Taratibu Zao, Mtandao Huo Umesema Kuwa, Annie Alipigiwa Kura Na Wadau Wengi Sana, Na Hatimaye Kuwalaza Chini Washiriki Wengine 39 Ambao Pia Wana Majina Yao Tu Na Wanajihusisha Na Masuala Kadha Wa Kadha Ikiwemo Fashion, Burudani, Na Hata Mitindo Na Maisha Nchini Humo


Waliokuwa Wakichuana Na Kansiime Ni Pamoja Na Bebe Cool, Eddy Kenzo, Juliana Kanyomozi, Na Wengineo Kadha Wa Kadha

ROAD TO 2015: LIL WAYNE AMEMWAGA WINO MWINGINE KATIKA SURA YAKE

5:50:00 AM Add Comment

Black Touchez
Lil Wayne Ni Moja Kati Ya Rappers Ambao Wanapenda Sana Kuchora Tattoo Katika Sehem Kadha Wa Kadha Za Mwili Wao.

Na Hivi Sasa Unaweza Kukubali Kabisa, Katika Rappers Duniani Ambao Wana Tattoo Mwilini Mwao Ni Pamoja Na Lil Wayne Ambaye This Time Ameamua Kuongeza Another Tatoo

Kupitia Account Yake Ya Instagram, Lil Wayne Amechora Tattoo Nyingine Mbili Ambazo Zinaonekana Kuwa Na Maana Tofati..

Katika Upande Wa Kidevu, Wizzy F Baby Ambaye Hivi Sasa Haijulikani Kama Ni Tayari Kashapigana Chini Na Cash Money Records Ama Lah, Amechora Tatto Ya Jicho Ambayo Tunaamini Very Soon Ataachia Maana Ya Tatoo Hiyo.

Na Katika Upande Wa Juu Ya Nyusi Zake , Weezy Amechora Tattoo Ambayo Ina Maandishi Fulani Hivi Yaliyo Katikan Lugha Ya Kiarabu, Inayomaanisha Mumm’as Boy.


Jombaa Amabye Alihusika Katika Uchoraji Wa Tatto Za Lil Wayne, Anafahamika Kwa Jina La Spider, Na Alienjoy Sana Kumpiga Tattoo Hizo Rapper Huyo Mkali Na Mwenye Tittle La Aina Yake Ulimwenguni.

MUACHENI MTOTO WANGU TAFDHARI- TYGA

5:45:00 AM Add Comment

Na Black Touchez & Tyga Tweet
Siku Ya Jana Kunako Mtandao Wa Kidaku Ulimwenguni, Tmz, Kulikuwa Na Taarifa Kuwa, Rapper Tyga Yuko Katika Mchakato Wa Kumshtaki Blac Chyna Ambaye Ni Mzazi Mwezake, Kwa Madai Eti Anatafuna Bat Asana, Hali Ambayo Sio Nzuri Kwa Mtoto Wao King Cairo

Ishu Hiyo Imeweza Kubadilishwa Na Mhusika Mwenyewe Yaani Tyga Ama T-Raw Baada Ya Kukutana Nayo Katika Mtandao Huo, Huku Ikionesha Kumkwaza Kwa Namna Kubwa.

Tyga Ametweet Kuwa Tmz Wana Mpango Wa Kutaka Kumfanya Aonekane Mbaya Kwa Blac Chyna Na Hata Watu Wengine, Jambo Ambalo Ameona Halina Tatizo Kwa Jina Lake Na Maisha Yake.



Lakini Kitu Ambacho Kamwe Hataki Kiguswe Na Wala Kuhusishwa Katika Maisha Yake Na Kila Linalomsibu, Ni Mtoto Wake King Cairo, Ambaye Hivi Sasa Analelewa Na Mama Yake (Blac Chyna)

MNADA BANNER