REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

INSTAC COP: OOH REALLY?... VANESSA MDEE KAGOMA KUANGALIA KALIO HILI, KISA?

2:39:00 AM Add Comment
 
Na Insta Cop  
Hapa Ndipo Unapokuja kuelewa kabisa kuwa alichokisema ZAIID kupitia Track yake Mpya Mpya Hivi ya ..."WOWOWO" kwa kweli kuna ka utamu fulani huwa kapo hata katika Kutizama wowowo

Bwana Bwana !!!, kumbe hata Wanawake wenyewe Huvutiwa kutizama "WOWOWO kama ambavyo Vanessa Mdee kathibistisha Hilo

INSTACOP imeweza kumnasa Binti huyu ambaye ni Hit Maker wa "kisela" na mikwaju mingineyo kama Vile "Cash Madame" na Nyinginezo Kibao tu, akitizama "Kalio" la Mtu aliyekuwa Mbele yake, na kisha akasema mwenyewe kuwa "Hakuna Kalio la Kutizama Pale"

ANAKUFURU? AU HAKUFURU? : ETI AMBER RUTT ANAMSHUKURU MUNGU KATIKA PICHA HIZI !!!!

2:08:00 AM Add Comment

Na Samuel Richard "Sam Rich" 
#WatuWaMungu Binafsi sijamuelewa Huyu Video Vixen ambaye wengi ni kama hawamuelewi na wanamuita "Mbaya kuliko Wote"

Kitu ambacho kimekuja kunistua asubuhi ya Leo, ni pale moja kati ya wadau wakubwa wa "Baba Juti Blog" kutuambia kuwa uzame kwenye account ya Video Vixen huyu kuona "Upuuzi" alioufanya.

Kinachoshangaza ni kwamba, Wakati Amber Lulu anatuhumiwa kuachia Picha ya Utupu akiwa na Young Dee, bado Amber Rutt anazidi kumimina Picha za kuabisha Zaidi huku akitoa kauli ambayo inaonekana kukufuru

Hebu tuongee vuzri kuhusu hili... Yeye kapost hivi, eti anamshukuru Mungu Kwa Yote (ikiwemo kuonesha hayo mauchafu yake... alistahili kumshukuru Mungu Kweli?)

Tunamnukuu
"Matusi ndo chakula 🍵🍞yangu so ukinitukana ndo unanifanya nizid kuwa mimi ,ahsante mungu kwa yote 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 #umechelewakunijua"

Ni Kweli Tumechelewa kumjua Binti huyu, lakini sio kwa Kufuru hizi halafu anatoa Shukrani kwa Mwenyezi Mungu. Kwann asimshukuru Shetani kwa kumpa akili za kipuuzi na kupost Mauchafu haya?

KUDAAADEKI !!!!! : "HALAFU NYIE MNAOSEMA SINA SHEPU.....!"- NISHA BEBE

1:56:00 AM Add Comment

Na Baba Juti  
GOOD MORNING TANZANIAAAAAAAA !!! And Off Course Kumekucha Upande wa Bongo Movie, maana sio kwa "ndimu" aliyamua kukamua Muigizaji wa Bongo Movie kwa upande wa Mabinti, tunamzungumzia Nisha Bebe

Kama Mtakuwa ni Mashabiki wazuri na wafuatiliaji wazuri kabisa wa Msanii huyu, Week hii mnajua kuwa amesherekea Kutimiza Miaka yake Kadhaa tangu aanze "Kuinusa" Dunia hii

Lakini Katika Hali Nyingine, Binti huyu ambaye pia ni Mjasiliamali Mzuri tu ambaye pia ni mkali zaidi katika "Comedy" aliamua kulimimina la kwake kwa wale wote ambao humchamba kwamba Makalio yake yamepigwa PASI kitu ambacho kinaonekanaga kumkwaza sana bibi huyu

Kupitia Instagram account Take, Nisha aliandika Hivi

  • "Halafu nyie mnaosema nimepigwa pasi sijui sina shepu #MUNIKOME TUKIVAA VIGODORO MANENO,MTU AKIWA ALIVYO MANENO,hemu chunguzeni wanawake wazuri wote duniani na wenye mashepu na status zao,ndo wale wanaoishia kupiga picture za uchi,kujiuza,kuishi kwa kutegemea mabwana n.k.

    Then tazama status za waliofanikiwa wote.

    OMBA MUNGU AKUPE AKILI,AFYA NJEMA,IMANI,HESHIMA,UPENDO,MAARIFA NA KIPATO,SOTE TUMEUMBWA KWA MFANO WAKE.

    KUTENGENEZA SHEPU NI DOLAR 6000 TU (ML.10 NA KADHAA)NI SAWA NA NISTOPISHE KUSAFIRI SAFARI MBILI ZA NJE NINAZOENDA KILA NDANI YA MIEZI MIWILI,NIJIBADILI KWA KUJITENGENEZA HIZO SHEPU ZENU INDIA AU THAILAND.

    NAPENDA MUNGU ALICHONIPA NA NAJIVUNIA,SIISHI KIFEKI FEKI KAMA WEWE BORODOZWA,WE UNAYEKOSOA WATU WKT HUNA MBELE WALA NYUMA SURA KAMA ULOTAPIKWA NAKOBRA.

    MUDA HUO UNAOKOSOA UNGEJIINGIZIA KIPATO USINGEKUWA UNAKOPA BANDO #ISHIMAISHAYAKO B*TCH NAJIKUBALI NA HALI YANGU."


MAJIBU: ALICHOKISEMA MASTER P BAADA YA KUDAIWA KUWA NA MAHUSIANO YA KIMAPENZI NA MKE WA T.I-Tinny

1:23:00 AM Add Comment

Na Baba Juti   
#WatuWaMungu kuliibuka Taarifa za kushtua kidogo kuhusu Mke Wa T.I kuwa Moyo wake na mahaba yake yako kwa Mkongwe wa Hip Hop Ulimwenguni, MASTER P, na sio kwa Mumewe wa Ndoa, T.I

Kwa Mujibu wa SANDRA ROSE, taarifa ambazo zimemenika ni kwamba Licha ya kwamba Tinny ni Mke wa Ndoa wa T.I, hiyo ni kwa sababu ya familia yao ambayo inahusisha watoto watano ndani yake, lakini ukweli ni kwamba, Master P ndiye kila Kitu

Pia Mtandao huo ukatoa Taarifa Nyingine kuwa, Master P humpatia kila kitu Tinny, hasa kile ambacho hupewa na T.I, ndio maana hawezi kuacha kumpenda

Katika Kukazia zaidi, Mtandao huo ukamimina kuwa, MASTER P alimpatia Nyumba Tinny, pamoja na Timu ya Mpira wa kikapu inayoitwa NEW ORLEANS GATORS kitu ambacho eti kinaashiria kuwa wawili wapo katika Mahaba Mazito

Umri pia ukahusishwa kuwa, Master P ana miaka 47 na Tinny ana miaka 42, hivyo ni watu ambao wamekuwa karibu ili kuendeleza mahusiano yao kwa Umakini zaidi

MAJIBU YA MASTER P:  
Baada ya Kukutana na Sereka hilo, Master P akiwa mwenye mshangao Mkubwa, alikanusha Taarifa hizo na kusema kuwa hawezi kufanya hivyo na wala hakuna kitu kama Hicho maana anamuheshimu sana T.I

Tunamnukuu
"Mitandao ya Kijamii ni Zawadi na pia ni chachu ya maumivu na udhalilishaji. Hebu tufutilie mbali hizi fununu za Lugha ya Mwili. Mimi sina mahusiano ya kimapenzi na Tinny. Nilikutana nae katika Mkutano wa waandishi wa habari kuhusu GMGB na ndipo tukapiga Picha. Kwa taarifa yenu ni kwamba sie tunafanya Biashara. Ninamiliki Timu na yeye anamiliki Timu. Watu lazima wawe wamekwazika na kuchukia, pia hawana muda wa kuendekeza hizi tuhuma za Uwongo. Huyo Binti aliyetengeneza hizi Fununu, tafadhari acha. Ukweli utakuweka Huru. Unatakiwa umuombe kila mmoja Msamaha. Ninaheshima kubwa sana kwa T.I. Ninachowaombea yeye na Familia yake sio zaidi ya Mema "


MNADA BANNER