REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

ZIMETUFIKIA: CHRIS BROWN IS OUT

6:46:00 AM Add Comment
LA, Marekani
Mwanamuziki Chris Brown ametolewa jela chanzo hicho kimesema.

Pamoja na kwamba alihukumiwa kwenda jela kwa siku 131 tarehe 9 may ,chris alikuwa akiota na kuzunguka zunguka tu usiku wa manane baada ya kutumikia jela kwa siku 108.

Breezy alihukumiwa mwaka mmoja kwenda jela ,ila alipata msamaha wa kutumikia siku 116 rehab na 56 jela

Brown alihukumiwa kwenda jela baada ya kukutwa na hatia yakukiuka muda wake wa majaribio katika kesi yake na Rihanna ambayo angeweza kuukumiwa mpaka miaka minne.

Hata hivyo bado anakesi yake ambayo itaanza miezi michache ijayo

MNADA BANNER