REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

#DakaHiiFasta: TIZAMA PICHA 6, UJIONE JINSI "KITUMBO" CHA ZARI KILIVYOJICHOMOZA TAYARI

2:46:00 AM Add Comment

Na Baba Juti.
HAYA sasa, Diamond Platnumz Mwenyewe Kaomba Mumchagulie Jina la Mtoto Ajaye, maana Ujauzito Wa Zari Ndi Huoooooo, Ushaanza Kuchomoza.

Kama alivyofanya Mwaka Jana wakati Zari, ana Ujauzito wa Mtoto Tiffah, Chibu Dangote ameomba Mumtafutie Tena Jina la Mtoto Ajaye.

Tizama Kitumbo Cha Zari:









MPIGA DEBE- SELFIE

2:16:00 AM Add Comment

Na Baba Juti.
HIVI kweli kuna Mtu anayechuklia Selfie?, au Kuna Mtu ambaye hatamani kufyatua Selfie Japo Moja?, au Kuna Mtu ambaye anachukia sana Kitu kinachoitwa Selfie?.

Kupitia "Mpiga Debe: ya HIT ZONE  kuptia 93.7-Jembe Fm Mwanza, Mambo yako Hivi Kuhusu Selfie. SIKILIZA


#DakaHiiFasta: ANACHOKISEMA NIKKI WA II KUHUSU RECORD LABEL ZINAZOANZISHWA NA WASANII NCHINI TANZANIA

2:06:00 AM Add Comment

Na Baba Juti
HIVI sasa Tunafahamu Fika Kuwa, Pengine "Label" za Muziki Zimekuwa Ni Deal, na Ndio maana zinachangamkiwa sana na Wasanii Kadha Wa Kadha, ama Huenda kakawa Ndio ka Njia ka kuzuga kuwa na wewe Una Label.

Lakini Hii Imefumuka Ghafla na kwa Mfuatano Mkubwa, ambapo ukifanya Uchunguzi wako, utabaini kuwa, Wasanii zaidi ya 20 Tanzania Nzima, wana Record Label Zao Binafsi (Wakiwa wametangaza au hawajajitangaza), na wanawasimamia wasanii kadha wa kadha.


Lakini Hii Inaweza kuwa na Faida kwa wasanii Wachanga hasa katika Soko la Muziki , au Ikawa ni Hasara Kubwa Sana Katika Soko la Muziki, hasa pale Tunapobaini kuwa wasanii waliohitajika katika Label Fulani, hawawezi kupewa yale mahitaji yanayohitajika.

NIKI WA PILI, Msanii wa Muziki wa HIP HOP Nchini tanzania, na Mwanafamilia wa WEUSI, ana hili la Kusema Kupitia Kipindi #Imekaaje Ya HIT ZONE kupitia 93.7 Jembe FM-Mwanza:

#DakaHiiFasta: ALICHOKIJIBU NUH MZIWANDA, BAADA YA JAMAA KUJITOKEZA NA KUDAI KUWA NAWAL, AMBAYE NI MPENZI MPYA WA NUH MZIWANDA, ALIKUWA DEMU WAKE

1:54:00 AM Add Comment
Nuh Mziwanda na Mpenzi Wake Wa Hivi sasa-Nawal, anayedaiwa kumkimbia Valle Welle
Na Baba Juti
Siku Si Nyingi Sana, Kulizagaa Taarifa japo hazikupewa Uzito sana, Kuwa Kuna Msanii Chipukizi katika Muziki wa Kizazi Kipya, anayefahamika kwa Jina la VALE WELLE, amedai kuwa, Mpenzi Mpya Wa Nuhu Mziwanda, alikuwa "Mpenzi" wake ingawa hakufahamu ni Kwa Nini aliamua Kumuacha na kumfuata Nuh Mziwanda ambaye ni Hit maker wa Jike Shupa (Inayofanya Poa Katika JEMBEKA 20 za Jembe Fm-93.7Mwanza).
Valle Welle
Vale Wele ambaye ameamua kuandika Mkwaju wa "TEA" ikiwa ni Maalum kwa Umma kufahamu kuwa hiyo nji Story ya Kweli na Inamlenga Mchumba wa Nuh Mziwanda, ameongeza Kuwa, kitu ambacho anahisi Kilimfanya , ndicho ambacho amekizungumzia katika Mzigo huo, na aliumia sana

MSIKILIZE HAPA:

NUH ANASEMAJE.
Katika Kujibu Tuhuma Hizo, Nuh Mziwanda anasema kuwa, ni Kweli amesikia Tuhuma Hizo, na Vale Welle analenga Kutafuta "Kiki", sababu hakuona sababu ya Yeye kujitokeza katika Kipindi Hiki.
Nawal
Pia Nuhu hakuishia Hapo, ameongeza kuwa, Jamaa alkilazimishwa sana Picha Zake ziwekwe katika Gazeti la Udaku.

MSIKILIZE HAPA:

MNADA BANNER