REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

BOBBY BROWN" NATAMANI NICK GORDON ANGEFUNGWA MAHALI AMBAKO KUNA MTU ANAMLAWITI

2:31:00 AM Add Comment

Na Hezron Munisi  
WatuWaMungu Bado Bobby Brown ana hasira na NICK GORDON, kijana aliyesababisha mauaji ya binti yake BOBI KRISTINA, ambaye alizaa na Marehemu Whitney Huston.

Kama utakuwa unakumbuka Vizuri, Mwaka 2016, Nick Gordon ambaye pia ni mtoto wa Kuasili wa Whitney Huston, aliamuliwa na mahakama kulipa USD Milioni 36 kwa familia ya Bobi Kristina baada ya kubainika kuwa ana hatia juu ya hilo, lakini bado Biby Brown ni kama hajaridhikia.

Hali hii inatokana na kauli yake ya kusema kuwa anaona kabisa kuwa bado mahakama haijatenda haki juu ya Marehemu mwanaye sababu bado Nick Gordon anazidi kuzurura mitaani tena akiwa huru kabisa, kitu ambacho kinamuuma kwa asilimia kubwa sana

Kilichokuja kudhihirisha zaidi kuwa Bado Boby Brown ana hasira juu ya Kijana huyo, ni kauli yake nyingine ya kudai kuwa Kijana huyu alitakiwa awe jela sasa hivi analawitiwa na wafungwa wake..lakini bado yuko huru.

Namnukuu
"Ni Kwa Sababu yuko Huru mtaani na anazunguka tu. Haki?. Kama angekuwa amefungiwa sehemu ambako mtu yeyote angekuwa anamlawiti. Hivyo ndivyo ninavyohisi. Alinilawiti kwa kunichukulia mtoto wangu"

HATIMAYE ASHANTI KATHIBITISHA KUWA NELLY ALIMSALITI

1:58:00 AM Add Comment


Na Rich Sam  
WATU Wa Mungu ni nani ambaye anabisha kuwa "Mapenzi" yanauma kuliko kawaida na hata inaweza ikasababisha madhara makubwa sana

Na Tunaimani kabisa, ukishaingia katika mahaba na mtu fulani hata kwa miaka kadhaa, halafu ikatokea mkakatisha safari yenu ya mahusiano, lazima kuna mmoja ataumia kidogo, na kuna mmoja ataumia sana

Hii ndiyo inayooonekana hivi sasa kutoka kwa mamito Ashanti ambaye kipindi cha nyuima alikuwa katika "Mahaba Mazito" na Rapper NELLY ambaye ni Hit Maker wa Track ya Dillema. Wengi tunajua kuwa Kila mtu ana maisha yake ya kawaida na mahusiano pia, ila kipindi cha nyuma walikuwa ni kama Kumbi kumbi

Si Ashanti wala si Nelly ambaye amewahi kuzungumzia kile ambacho kimewahi kutokea baina yao na hata kuvunja mahusiano yao, lakini Leo Tumefanikiwa kumnyaka mmoja wao ambaye ni Ashanti akikiri moja ya chanzo cha kuvunjika kwa mahusiano yao.

 Akiwa jukwaanini wakati anapiga Perfomance yake, Ashanti aluthibitishia umma kuwa amewahi kusalitiwa (Huku akimlenga Nelly ambaye sasa hivi ana mahusiano mapya) hivyo anayafahamu maumivu ya kusalitiwa na kuumizwa kimahusiano.

Ili kuthibitisha kuwa alikuwa anamlenga Nelly, shabiki mmoja alipiga kelele na kusema "F***CK NELLY" na kisha ASHANTI pale pale akajibu "WORD" yaani "Hilo Nalo Neno"

MNADA BANNER