REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

SKENDO 3 HATARI ZA BONGO KATIKA MWAKA 2014 KWA UPANDE WA BURUDANI

6:48:00 AM Add Comment

·        MISS TANZANIA NA SITTI MTENVU
Sitti Mtemvu alichaguliwa kuwa Miss Tanzania, na kamati ya Hashim Lundenga kama waandaaji wa mashindano hayo. Lakini watanzania wengi hawakukubaliana na Uteuzi huo, jambo ambalo liliwafanya kufanikisha Uwongo na Uozo wa Sitti Mtemvu ;
  • ·        Sitti Mtemvu alikutana na madai yafuatayo.
  •    Kudanganya Umri
  • ·        Rushwa/Kufahamiana/Nepotism Baina ya Lundenga na Abas Mtemvu-Baba Mzazi wa Sitti (Inasemekana hivyo ingawa hatuna uhakika na haijathibitika)
  • ·        Kuwa na Mtoto

Lakini hayo yote yalimalizika baada ya Bibie huyu Kuvua taji hilo na Kukabidhiwa Miss namba Mbili, Lilian…lakini Mashindano hayo yamepigwa Stop na Serikali kwa Miaka Miwili.
Hata Hivyo Sitti alikanusha Taarifa hizo


·        LAVEDA KUJICHUWA:
Laveda, Mshiriki wa Big Brother Africa Hotshots aliyekuwa akiiwakilisha Tanzania, aliingia kunako Hot Skendo, kwa madai kuwa alijichuwa “Yaani Masturbation” katika Jumba hilo

Tukio hilo liliweza kuvuma sana kwa Mwaka 2014, huku wengi wakionekana kumlaumu sana Laveda kuhusu Ishu Hiyo, kuwa amelidharirisha taifa





·        FAMILIA YA MBASHA:
FAMILIA Emannuel Mbasha na Mkewe Flora Mbasha, iliingian katika Skendo kali ikiwa ni Baada ya Kutokea tuhuma za Ubakaji zilizofanywa na Emanuel Mbasha

Emannuel Mbasha: alidaiwa kumbaka Shemeji yake (Mdogo wa Flora Mbasha), Jina lake tunalihifadhi na kuanza kusakwa Mara kadhaa na jeshi la Polisi.

Emannuel alifunguliwa Kesi yenye Kumbukumbu Na. TBT/RB/3191/2014 na Jarada la Kesi TBT/IR/1865/2014 na kudaiwa kufanya ubakaji huo mara Mbili (ijumaa na Jumapili) Nyumbani kwake Tabata Kimanga DSM

Flora Mbasha alijikuta akizama kunako skendo hatari ya kuishi kwa Mchungaji wake, Mchungaji Gwajima, huku ikisemekana kuwa, wamekuwa “Wakidandiana”, hali ambayo ilimfanya Emmanuel Mbasha, Mume wa Flora amsihi Mchungaji huyo aachane na Ndoa yake

Tunamnukuu:
“Nimesika mke wangu baada ya matatizo yetu amehamia nyumbani kwa Gwajima. Nataka mumwambie Gwajima aniachie mke wangu, mbona ananifanyia hivyo?”


Lawama nyingi zilitoka kwa Emmanuel kuhusu Flora “Kudandiana” na Mchungaji Gwajima, madai ambayo Flora Mwenyewe aliyakataa na kusema mumewe huyo anafanya hivyo maksudi

BAADHI YA CELEBRITIES WA BONGO WALIOPATA WATOTO 2014

6:08:00 AM Add Comment

Na Frank Magnus Joachim, BLACK TOUCHEZ
KWA UPANDE mmoja, kuna wasanii hapa Nchini Tanzania ambao walifanikiwa kuongeza Furaha katika Ndoa ama Mahusiano yao baada ya kufanikiwa kupata watoto


·        MWEZI OCTOBER: NAY WA MITEGO
NEY WA MITEGO na Mchumba ake SIWEMA, walifanikiwa kupata Mtoto wa Kiume, na alivujisha Mtonyo huo kupitia account yake ya Instagram
Mtoto huyo alizaliwa tarehe ambayo mama wa Nay Wa Mitego, alizaliwa Pia.


·        MWEZI OCTOBER: LAMECK DITTO
Msanii Lameck Ditto alifanikiwa kupata Mtoto wa Kiume ambaye Mkewe alijifungua salama kunako Hospitali ya SANITAS, iliyoko Jijini DSM
Dotto alimuita mtoto huyo LAMECK


·        MWEZI MAY: MWISHO MWAMPAMBA
Mwisho Mwampamba pamoja na Mkewe Merly , Raia wa Namibia, walifanikiwa kupata Mtoto wa Kiumea ambaye aliongeza Idadi ya watoto wawili kwa wanandoa hao
Mtoto Huyo walimuita King David, na alipatikana Mwishoni mwa Mwezi May.

MWISHO na MERLY walikutana katika Jumba la BIG BROTHER, kunako Mchakato wa BBS ALL STARS 2011, na kufunga Ndoa.
Mtoto wao wa Kike, walimpata 2012.


·        MWEZI MARCH : SUMA MNAZALETI
BAADA ya Mke wake Kuteseka Kwa Uchungu kwa Muda wa Siku tatu, rapper Suma Mnazaleti aliweza kutoa Taarifa Kuwa, My Wife wake amefanikiwa kushusha  Mtoto wa Kike.

Mtoto Huyo alikaribishwa Vyema Duniani, kupitia Hospitali ya Palestina, iliyoko Sinza, DSM


·        MWEZI  FEBRUARY : LUCCI
Producer Lucci pamoja na Mkewe Lisa, walifanikiwa Kupata Mtoto wa Kiume, kipindi hicho Lissa akiwa ni Mchumba wake
Mtoto huyo alipewa Jina la LEEROY KING TSERE, na Producer Lucci alionekana kufurahia sana uwepo wa Ninja hilo kunako familia.


·        MWEZI FEBRUARY: SOGGY DOGGY
Rapper na Mtangazaji wa radio, Soggy Doggy, alifanikiwa kuongeza Mtoto Mwingine wa Kike kunako Mwaka 2014, akiwa na mpenzi wake LEAH CHOMA

Soggy aliweza kuonesha Furaha yake kupitia Face book, na kubainisha kuwa, mtoto huyo anaitwa ABIGAILI


·        MWEZI FEBRUARY: PIPI DOREEN
Mrembo aliyefanya Vyema sana kunako Mkwaju wa Njia Panda, PIPI, naye alifanikiwa kuongeza mtoto wa Pili wa Kiume kwa Mwaka 2014
BRANDON alipatikana kunako Hospitali ya KAIRUKI, iliyoko Jijini DSM.


MNADA BANNER