REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

SIKU MOJA YA KUZALIWA, SIKU MOJA YA UMAARUFU, SIKU MOJA YA KUINGIZA DEAL LA MILIONI 50. NI MTOTO WA DIAMOND PLATNUMZ, LATIFFAH

6:54:00 AM Add Comment

blacktouchez.com
LATIFFA, Ndiye Mtoto wa Chibu Dangote-Diamond Platnumz na Zari, ambaye amepata Umaarufu ghafla, huku akiingiza Mkwanja baada ya kuzaliwa Tu.

PRINCESS TIFFA, amepata Deal kali, kama ambavyo Diamond Platnumz ameandika:


“Napenda kumtangulizia Allah shukrani zangu nyingi kwa Barka na Mapenzi mengi anayozidi kuyapata Binti yangu@princess_tiffah toka kwenu wapendwa wangu... Napenda kuwajulisha kuwa@princess_tiffah amebahatika kupata 50Million Endorsement toka#BABYSHOP ya @Msasani_city_mall &@pugu_mall Mkataba ama makubaliano hayo ni ya kuwa Balozi wa #BABYSHOPiliyopo @Msasani_city_mall &@pugu_mall
kwa Muda wa mwaka mmoja....Ubora wa bidhaa zilizopo katika #BABYSHOP ya Mall hizo ndio sabau kubwa ya mimi na mama ake @zarithebosslady kukubali Binti yetu kuwa Hilo ndio duka Pekee litalomvalisha na kumpatia Nyenzo zote za watoto... Ningependa ifahamike kuwa Chochote utachomuonanacho@Princess_tiffah kimetoka duka lililo kwenye Mall hizo...Napenda kutoa shukrani za dhati kabisa katika uongozi Mzima wa @Msasani_city_mall &@pugu_mall kwa kuwa Mfano Bora
#ProudDad”

BABA LEVO AMEPASUA..SASA KUGOMBEA UDIWANI HUKO KIGOMA KUPITIA ACT.

6:32:00 AM Add Comment

blacktouchez.com
MSANII mwenye Vituko Kuliko Balaa, BABA LEVO, hatimaye amefanikiwa kupasua katika Nafasi ya Ugombea wa Nafasi ya Udiwani kupitia Chama kipya cha ACT.

Akifyatuka kwa Furaha , baba Levo alithibitisha hilo kupitia Instagram account Yake, na hivi sasa anasubiri kuchuana na Vyama Pinzani ili kuhakikisha anachukua nafasi ya Udiwani katika kata Husika.

Aliandika Hivi.

ASANTE SANA MUNGU WANGU KWANI HAIKUWA RAISI LAKINI UMENIWEZESHA MUNGU WANGU... NESHINDA KWENYE KURA ZA MAONI NA MIMI NDIYE NITAKAYE PEPERUSHA BENDERA YA ACT WAZALENDO KATA YA MWANGA KASKAZINI KATIKA NGAZI YA UDIWANI..
.. ASANTE by BABA LEVO

HAPPY BIRTHDAY NIKKI WA PILI. HIZI NDIZO SABABU ZILIZOMFANYA AMUITE RAIS KIKWETE NI SHUJAA

6:30:00 AM Add Comment

Blacktouchez.com
SIKU Ya Jana, wasanii na wadau Mbali mbali Nchini Tanzania, walipata nafasi ya kujumuika na Rais anayemaliza Muda wake Nchini Tanzania, JAKAYA MRISHO KIKWETE, Ikulu.

NIKI WA PILI ni Moja kati ya wasanii ambao walihudhuria, huku akitoa Speech Nzuri na yenye Nguvu.

Lakini Sababu ambazo zimemfanya Niki, ameziorodhesha katika account yake kama Ifuatavyo

Tunamnukuu

Hizi ni sababu kwa nini leo najumuika na wasanii kukuaga
1.2005...uliwapandisha wasanii katika jukwaa la kampeni yako ingawa chama kili pinga sana..kusema hawa ni watu wa hovyo

2.ulilipia utafiti mkubwa wa world intellectual property rights organisation....kufanyika tanzania kujuwa mchango wa sanaa kiuchumi

3.utafiti huu ndio ulitowa ushahidi wa sanaa,miliki bunifu kutambulika katika katiba inayopendekezwa

4.kuhidhinisha mitambo ya ku monitor nyimbo zinapopigwa tv na redio..ili wasanii walipwe....na mchakato uko ukingoni

5.kushinikiza malipo ya rbt kutoka 7% mpaka sasa kufika 30%

6.mfumo wa kulinda movie wa stika za TRA..ingawa bado unachangamoto nyingi.na sasa umeamrisha TRA..kuwajibika
7.kushiriki mambo ya kijamii ya Cassini
Wewe ni shujaa wa tasnia hii

MNADA BANNER