REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

MAMBO YA MKWANJA !!!!!! : QUAVO KUTOKA KUNDI LA THE MIGOS, NDIYE RAPPER WA KWANZA KUNUNUA SIMU MPYA YA I PHONE 8 PLUS?

3:16:00 AM Add Comment

Na Baba Juti   
#WatuWaMungu Hatari ya I PHONE 8 PLUS kila mtu anaifahamu sasa hivi, maana watu wameanza kutengeneza historia zao sasa hivi

Katika Historia ya Muziki wa Rap, ama Hip Hop, kuna vingi sana huwa vinatengenezwa na hata kufikia kuandikwa kama sehemu ya Historia. Lakini kama ulikuwa hujui, kuna hii ambayo Quavo kutoka The Migos kaitengeneza aisee

Rapper Quavo, amekuwa ni Rapper wa Kwanza kununua Simu hiyo kali na ya gharama kuliko maelezo, ya I PHONE 8 PLUS

TUMEZINYAKA AISEE !!!! : U-BONGE NDIO UNAOMFANYA MARIAH CAREY ASHINDWE KUIMBA

1:14:00 AM Add Comment

Na Rich Sam    
WAUNGWANA Buana, huwa hawapitwi na jambo hata kidogo. We ficha unavyoweza kuficha lakini mwisho wa siku kila kitu kitakuwa hadharani Tu.

Hatimaye sababu nyingine kubwa inayomfanya Mariah Carey apoteze ubora na kiwango chake cha kuimba na hata kutoa ile sauti Nzuri, imewekwa hadharani safari hii

Kwa mujibu wa Taarifa Halisi bila chenga wala hofu hofu kutoka kwa mmoja kati ya Kitengo cha management cha Mariah Carey, inasemekana kuwa, Mariah amekuwa ni Mtu ambaye anajiachia vya kutosha, kitu ambacho kimekuwa kikimfanya ashindwekufanya majukumu yake hasa ya kimuziki.

Hilo pia limekuja kuthibitishwa na Picha za hivi karibuni ambazo zilimuonesha Mariah Carey akiwa Bonge , wakati akitoka kwenye Birthday ya Miaka 44 ya Jermain Dupri, moja kati ya Producers ambao wamemuweka Mariah Carey katika Ramani nzuri ya Muziki

MNADA BANNER