REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

BOSI WA TANESCO ATIMULIWA MBALI !!!!!

8:30:00 AM Add Comment
Mhandisi Wiliam Geofrey Mhando, Mkurugenzi Mtendaji Wa Shirika La Nishati ya Umeme Nchini TANESCO, aliyetimuliwa Kazi


Nembo Ya TANESCO



MPITA NJIA : MH. MAGUFULI, TAFADHARI TUSAIDIE KATIKA HILI...TUNATESEKA !!!!

8:12:00 AM Add Comment
 Haya Ni Maeneo Ya Manzese ambako Ujenzi wa Bara bara ya Mabasi yaendayo kwa Kasi unafanyika Hivi sasa. Lakini Licha ya Ujenzi huo, Kuna kero kama ambavyo unajionea Mwenyewe, hali ambayo ni hatari kabisa kabisa kabisa zaidi ya kabisa, kwa Maisha ya Kila Mtanzania ama Mkazi wa Dar es salaam anayefika Eneo Hilo. Hiovi Ndivyo "MPITA NJIA" nilivyojionea, na nnaomba na wewe Ujionee Pia....hapo ni Foleni ya kwenda Posta, gari zinapita hadi kwenye Ujenzi.


 Foleni Kutoka City Center (Posta/ Kariakoo) inakuwa ndio mahala pake kuanzia saa Nane Mchana.


 Abiria hawana Sehemu maalumu ya Kusubiri Magari, namaanisha KITUO CHA DALA DALA. Hadi Leo, nimeshuhudia Watu wakiwa Wamesimama Hivi Kimakundi makundi kuanzia Magomeni KAGERA.


 Magari Yenyewe hayasimami Abiria Tukapanda. Tunasubiri mpaka Basi...yaani ni Tafrani Tupu, tunaweza tukaibiwa Simu Zetu na Bidhaa zetu hasa Mida ya Jioni kabisa


 Vumbi  ndio Mahala Pake. Mafua na Magonjwa Mengine ya Kuambukiza kwa Njia ya Hewa hususan Vumbi yanaambukizwa Kirahisi tu....


Haifahamiki Wapi Kwa Watembea kwa Miguu, Watumia Piki Piki na Baiskeli, Magari Makubwa na Madogo Madogo, na Bajaji. Yaani Tafrani Tupu hasa ikiwemo HATARI YA AJALI za Makusudio kabisa. 


Hakuna Kituo Maalum Cha Boda Boda, Hali inayohatarisha Maisha Ya Watoto na Wakazi wa Dar 


WAPIGA DEBE ndo wasumbufu kupita Maelezo...asipolipwa Hela yake, Gari haliondoki, Hali inayosababisha Foleni kupita Kiasi, Wizi hauishi, magari Tugombanie....ili Mradi Tafrani TUPU


 Wapiga Debe wenyewe wamekaa KI-WIZI WIZI.Sasa Kama Huyo(Mwenye Tisheti Nyekundu iliyochanika), anaita abiria?...au anatafuta Kitu kilichokaa Vibaya ili apite nacho?


Magari Yenyewe Tunagombania na Kujazwa kama Matikiti Maji 


Wanafunzi ndio Kwanza Masikini ya Mungu hawajui wakimbilie wapi 
Haya....Licha ya Vumbi, Uchafu, Mirundikano ya Watu, Mikono Michafu, Biashara ya MACHUNGWA ndio Kwanza inachukua Nafasi. Hii si Hatari kwa Afya Yetu Jamani? (Kwanza Hata Maji ya Kuoshea hayop Machungwa yako Wapi?)

MNADA BANNER