REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

TAARIFA KUHUSU PICHA ZINAZOSAMBAA MITANDAONI ZIKIMTUHUMU TYGA KUSHIRIKI MAPENZI NA MWANAUME MWENZAKE.

2:50:00 AM Add Comment

KUPITIA Mtandao wa Twitter, Kuna picha ambayo imekuwa ikisambazwa na watu mbali mbali wakidai kuwa zinamuonesha Tyga akishiriki Tendo la Ndoa na Mwanaume Mwenzake.

Ingawa Ulimwengu wa Burudani na Mashabiki wa Tyga walipata Mshtuko na kuanza kujiuliza nini Kinachoendelea, Tyga alionekana kama ni mtu ambaye hakuwa na Mshtuko sana, badala yake alipost kuwa “Shetani Mwingine ameanza kazi”

Lakini baada ya muda kadhaa, ushahidi Mwingine ulitoka ukithibitisha kabisa kuwa, Kijana aliyeonekana katika picha hiyo, sio Tyga, na wala hana uhusiano na tyga, bali ni watu ambao wanaelekea kufanana.


Aidha, Fan Huyo wa Tyga, alipost Picha halisi ya Kijana ambaye alionekana katika Picha hiyo, na kuwafanya wengine wapumue na kuamini kuwa Ni Kweli sio Tyga

PICHA: JAGUAR NA SIZE 8 WANAPOMCHEZESHA STYLE YA "MATEKE" MAKAMU WA RAIS-WILLIAM RUTTO

1:38:00 AM Add Comment

MAKAMU WA RAIS NCHINI KENYA- WILLIAM RUTTO akicheza Style ya "Mateke" katika Jukwaa na Msanii jaguar pamoja na Size 8.

Jaguar alizindua Foundation(Taasisi ) yake inayoitwa JAGUAR YOUTH EMPOWERMENT FOUNDATION maalum kwa ajili ya Vijana.


TIZAMA PICHA NYINGINE





VIDEO: NIMEKULETEA MNYOO AMBAYE ANAWEZA KUKUPA PESA NDEFU SANA-KENYA

12:53:00 AM Add Comment

CITIZEN TV.
UNAWEZA Ukadhani labda Mnyoo huyu anaweza kuleta Pesa kupitia Njia Fulani hasa za Kishirikina, lakini Ni Tofauti Kabisa.

Nchini Kenya, Mnyoo hatari anayetambulika kwa Jina la GUINEA WORM, anasakwa Vibaya sana na Wataalamu wa Afya Nchini humo kwa ajili ya Kumuangamiza hara iwezekanavyo.

Kwa Mujibu wa CITIZEN TV, Wizara ya Afya nchini Kenya imekuwa katika harakati za kumsaka na kumwangamiza Mnyoo huyo, lakini kumekuwa na udanganyifu wa Hali ya Juu.

Dr. Sammy Mahugu-Afisa Uhamasishi (MOH) amefafanua kuwa, hivi sasa wameanzisha kampeni ya “Pata Pesa na Guinea Worm” ambayo itadumu kwa Miezi Mitatu.

Endapo utafanikisha kumpata Mtu ambaye ana Mnyoo huyo, basi utaweza kujishindia Ksh 100,000 kwa Wewe Mkazi wa Kenya.

Dr. Mahugu ameongeza kuwa, Mnyoo huyo ni Mrefu sana, na huwa anaingia katika Sehemu mbali mbali za Mwili kama vile Mguuni, Kichwani, Tumboni na hata Mkononi.

Kwa Urefu alionao Mnyoo huyo, na ili kumtoa Mzima mzima bila kubaki Mwilini, inaweza kugharimu Muda wa Wiki Nzima, huku maumivu yakiwa makali sana.


TIZAMA VIDEO HIYO HAPA:


(VIDEO)-MKE WA MTU NI SUMU:UUME WAKE UMEBAKI KUSIMAMA BAADA YA KULA URODA NA MKE WA MTU

12:03:00 AM Add Comment

Hii Imetokea Nchini Kenya

JOHN KAZUNGU ana historia ambayo hatoweza kuisahau katika maisha yake, ikiwa ni baada ya kujikuta akikutwa na Hisia za tendo la Ngono Bila kupungua, kwa Siku 14.

Sababu ambayo ilimfanya hata Uume wake usimame muda Wote, ni baada ya Kufanya mapenzi na Mke wa Mtu.


TIZAMA HALI HALISI ILIVYO HAPA:

MNADA BANNER