REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

CHAMELEON: MIMI NA DIAMOND NI MARAFIKI, MEDIA NDIZO ZILITENGENEZA BIFU LETU.

2:51:00 AM Add Comment

BAADA ya Chameleone Kuandika Ujumbe Mzito kuhusu Bifu lake na Diamond, Manyangumi tumemnasa Chameleone akizungumzia Kinaga Ubaga hasa kuhusu Chanzo cha Yeye kutajwa kuwa na Bifu na Chibu Dangote.

Akizungumza kwa "Konfidensi", Hitmaker huyo wa TUBONGE amedai kuwa, Kiukweli kabisa, yeye na Diamond ni Marafiki na huwa anamchukulia kama Mdogo Wake, hata wakikutana katika Maeneo tofauti, husalimiana na hata kupiga Story.

Lakini Kitu ambacho kilikuja kutengeneza Story za Bifu ndani yao, ni MEDIA ambazo zimekuwa zikifanya kitu Kibaya sana, yaani kuchuanisha nani mkali kati ya Chameleone na Diamond.

Pia Chameleon ameongeza kuwa, Diamond ni Msanii ambaye amepata mafanikio haraka sana, na ana jina kubwa katika Himaya yake ambayo ni TANZANIA, ili hali Chameleone ana himaya Yake pia ambayo ni UGANDA.

MNADA BANNER