REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

SOULJA BOY: MIKONONI MWA POLISI

11:49:00 PM Add Comment


 Na Baba Juti
SASA, Mbwembwe zooooote za kututishia Bunduki, mara kutukana wasanii wenzake, mara kutulingishia kuwaa yeye anapendwa na Mtoto wa Rais Barack Obama, mara yeye ndiye ameanzisha Internet, hatimaye kimya !!!!

Rapper Mwenye Jeuri, Dharau na Kiburi kutoka Nchini Marekani, SOULJA BOY, hatimaye amerushwa Nyuma ya Nondo kwa kosa la kukiuka masharti ya Chini ya Uangalizi

Kwa Mujibu wa Mahaklama Nchini Marekani, Soulja Boy alikiuka Masharti hayo baada ya Kutishia Wasanii Wenzake kwa Kutumia Silaha aina ya Bunduki,.

Na  Baada ya Jeshi la Polisi kuingia Nyumbani kwake kwa Kushtukiza na kufanya Upekuzi, walifanikiwa kukamata Silaha hiyo, na kumfikisha Mahakamani.

MNADA BANNER