REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

LIL WAYNE: AMESAINI NA JAY Z?

11:52:00 PM Add Comment


BLACK TOUCHEZ
BANANGE, Matumaini ya Birdman kumrudiusha Lil Wayne katika Record Label yake ya Cash Money, huenda ikawa ndo imepotea, baada ya Weezy kufanya jambo ambalo kila mtu hakulitarajia.
Akiwa kwa Stage, Weezy alifanya Vitu  viwili ambavyo kila mtu ilikuwa ni lazima akubaliane na kutafakari kwa namna yake na namna ambavyo anaweza.


Jambo la Kwaza, Lil Wayne akiwa kwa Stage, alitamka yeye kama yeye kwa Kinywa chake kuwa, amesaini Deal na Rapper Mkongwe mwenzake , JAY Z katika kufanya shughuli zake mbali mbali kimuziki, hali ambayo iliashiria kabisa kuwa huenda jamaa uyu sasa akawa chini ya ROCA FELA RECORD LABEL ambayo iko chini ya Jay Z

Lakini katika Hali Nyingine, Weezy alifanya Editingi katika moja ya Wimbo wake ambao awali Rapper huyo alisikika akisema kuwa "I am a Cash Money Bilionaire", lakini akiwa stage, alisema hivi, "I am a Roca Fella Bilionaire" kitu ambacho kinaashiria kuwa, hivi sasa amesaini mkataba na Rapper Jayz

JIBU LA KAKA MENEJA:
Kwa Mujibu wa Taarifa kutoka kwa Meneja wa Lil wayne - CORTEZ BRYANT, amekanusha taarifa hizo na kudai kuwa Mitandao ya kijamii na Blogs imetafsiri suala hilo tofauti, maana halina ukweli wowote. Aliochokimaanisha Weezy ni kwamba ameungana na Jay Z kwa ajili ya kusambaza mikwaju yake kupitia Mtandao wa TIDAL, na sio kusaini mkataba.
hata hivyo jibu hilo halijawapa chochote mashabiki.

MNADA BANNER