REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

KUNA KITU KINGINE KUTOKA KWA DIAMOND PLATNUMZ HIVI KARIBUNI?

2:57:00 AM Add Comment


Na baba Juti.
KUPITIA Instagram account Yake, Diamond ameonekana kufurahishwa sana na hatua ambayo Mkwaju wake wa Nana aliomshirikisha Mr Flavour, umefikia hasa kimataifa.

Video ya Mkwaju huo, ambayo iliongozwa na Director GODFATHER, hivi sasa imeshika Nafasi ya Kwanza katia Chat ya Muziki wa Afrika kunako Kituo Kikubwa Kimataifa, MTV base-Afrika.

Ili Kuonesha Furaha yake, “Baba Tiffa” alizama kunako Instagram na na kuandika Kuwa alitaka kuwataarifu mashabiki wake kuwa, Mkwaju huo umeshika namba Moja, hivyo anawashukuru kwa support yao. Pia wawe tayari kwa ajili Mzigo Mwingine.

TUNAMNUKUU.


Morning... jus wanted to tell you that, your favourite Song #Nanais Number one on the @mtvbaseafrica Official African Chart... thanks alot for your Support🙏 Get ready for Another HIT in TOWN!!!

SERENA APEWA ANAGALIZO KUHUSU DRAKE

2:46:00 AM Add Comment

Na Baba Juti
SIKU ya jana , Ulimwengu wa Mitandao ya Kijamii ulirindima na habari za Rapper Drake kunaswa na Serena Willliams katika hali ya Kimahaba kunako Mgahawa Mmoja Nchini marekani.

Lakini Licha ya Ukaribu huo Kupewa Baraka na baadhi ya wadau na mashabiki wa wawili hawa, bado kuna Onyo ambalo Selena Williams alionekana kupewa, huku akikisitizwa kuwa makini na rapper Huyo.

Kwa mujibu wa taarifa za kiuchunguzi, inadhihirika kabisa kuwa, Rapper drake kwa asilimia kubwa,amekuwa akipenda sana kukunjuka na akina dada wacheza Utupu kunako Night Clus (Strippers), Wapenda Ngono, na hata wanamitindo.

Moja kati ya Rafiki wa Serena, alidaiwa kumshauri Serena kuwa, inabidi asijisahau namna ambavyo Dreezy anafanya mambo yake.


Na Mpaka hivi sasa, Inasemekana kuwa, Mkali huyu wa BEST I EVER HAD, bado anapenda kujihusisha na akina dada wa aina Hiyo, jambo ambalo Serena anatakiwa kuwa nalo makini sana

TYGA: NAJISKIA POA KUFANYA MAPENZI NA BINTI MWENYE UMRI MDOGO

2:38:00 AM Add Comment

KUTOKA BLACK TOUCHEZ
KYLIE JENNER, Girlfriend Wake na Tyga, ana Umri wa Miaka 18 akiwa na Umri wa Miaka 25.

Kitu hicho kimekuwa kikiwafanya Mashabiki wake wengi wajikite zaidi hasa katika Kumkosoa, kwa Kuwa na mahusiano na Binti Mwenye Umri Mdogo, Ukizingatia walianza mahusiano Kylie akiwa na Umri wa Miaka 17.

Sasa, ili kudhihirisha Kuwa, amechoka kauli hizo ambazo kiujumla huwa zinamkwaza, ukizingatia anahitaji kuwa happy, Tyga ameamua kuwajibu kupitia Mkwaju ambao kiujumla unaonekana kabisa kumzungumzia Kylie Jenner ambaye anasakamwa katika Suala zima la Umri.

Katika Mkwaju Huo uliopewa jina la STIMULATED, Tyga anafafanua kuwa hata kama watu wanazungumza sana, ila yeye yuko Sawa na anaenjoy na hata Kuridhika kufanya tendo la Ndoa/ Mapenzi na Binti Mwenye umri Mdogo.

Moja kati ya Mistyari amabyo inasikia kunako Mkwaju huo ambao umejaa 
maneno makali, ni kama Ifuatavyo:

 “They say she is young/ I shoulda waited. She a big girl, dog, when she stimulated/She a big girl dog, I’m puttin’ in. Yeah I’m penetrating,”


Lakini Pia, Melody ya Mkwaju Huo, imechukuliwa kunako wimbo wa CHILDREN wa ROBERT MILES.

ISIKILIZE HAPA (Explicity Content)



MNADA BANNER