REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

BALAA LIKO HAPA !!! JOSE CHAMELEONE, EDDY KENZO & BOBI WINE... HAPATOSHI AISEE

3:25:00 AM Add Comment

  Na Baba Juti  
#WatuWaMungu TUZO za Muziki za Uganda Hizo hapo zinanukia Kwa Hivi sasa, na Tayari Majina ya Wale wanaochuana, ikiwa imeshatolewa tayari

"Jicho Kodo" lipo katika Kipengere cha Msanii Bora Wa Mwaka, ambapo Josee Chameleone, Eddy Kenzo na Bobi Wine wamekutana hapo kutuniashiana Misuli aisee

  ORODHA NZIMA NI KAMA IFUATAVYO  


   Artiste of the year  
1.Eddy Kenzo
2. Sheebah Karungi
3. David Lutalo
4. Jose Chameleone
5. Bobi Wine


 Best Female Artiste 
1. Winnie Nwagi
2. Sheebah Karungi
3. Lydia Jazmine
4. Fille
5. Rema Namakula
6. Irene Ntale

  Best Male Artiste  
1. Eddy Kenzo
2. David Lutalo
3. Ziza Bafana
4. Ykee Benda

  Best Music Video  
1. Banyabo by Rema Namakula
2. Jubilation by Eddy Kenzo
3. Mariana by A Pass
4. Wantegula by Abaasa
5. He Go Down by Irene Ntale

  Best Breakthrough Atiste  
1. Ceaserous – Dangerous
2. Da Agent – Mayi Mayi
3. Moroots – Kings and Queens
4. B2C – Tokigeza
5. Kenneth Mugabi – Naki
6. Ykee Benda – Farmer Remix

   Best Producer  
1. Kuseim
2. The Weezy
3. Danz Ku Mapeesa
4. Diggy Baur
5. Nessim

  Best Ragga/Dancehall artiste  
1. Vampino – Smart Wire
2. Cindy Sanyu – Still Standing
3. Voltage Music – Pull Up
4. Ziza Bafana – Tulimajje
5. Rabadaba – Yo Body

  Best Regional Artiste (Central)  
1. B2C- Tokigeza
2. Ceaserous – Dangerous
3. Eddy Kenzo – Addicted
4. Ziza Bafana – Tulimajje
5. Maro – Nziranago

  Best Regional Artiste (Eastern)  
1. Candy man – Epucit
2. Isaiah Destiny – Mbolele
3. Josh Buxton – Akalimo
4. Mr Oj – Yongayo
5. Mas de rapper

  Best Regional Artiste (Western)  
1. Qreaus – Rukundo
2. Hakamukiga – Enzamba Egambe
3. Sabasaba Atatya Mbeera
4. Kigambo Araali -Tooro k’okasemera

   Best Regional Artiste (Northern)  
1. Gbaraspoken – Kapia
2. Smokie Allan – No Cry/ My loving
3. Judas Rap Knowledge – Last King of Payira
4. Blamo & Laxzy – Kunu
5. MC Wang Jok – Wang Pedding

  Best Traditional  
1. Candy man – Epucit
2. Davie Mex – Motherland
3. Winnie Nwagi – Kano koze

  Best Urban  
1. Eddy Kenzo – Jubilation
2. Naava Grey – Ndi
3. Abaasa – Wantegula
4. Sitenda – Nze Naawe
5. Moroots – Kings and Queens

  Fans Choice Award  
1. Nina Roz – Mekete
2. Lydia Jazmine – Cherry
3. Juliana Kanyomozi – I’m Still Here
4. B2C – Tokigeza
5. Ceaserous – Dangerous

  Gospel Artiste of The Year  
1. Levixone – Esaala
2. Coopy Bly ft Wilson Bugembe – One Body
3. Exodus – Nyinimu
4. The Collective – Amen
5. Brian Lubega – Wakitibwa


  Song of The Year  
1. Eddy Kenzo – Jubilation
2. Rabadaba – Yo Body
3. Sheebah Karungi – Akuuse
4. Navio – Njogereza
5. Jose Chameleone – Agaatako
6. Ziza Bafana – Tulimajje

  Best Afro Fusion  
1. Navio – Njogereza
2. Kenneth Mugabi – Naki
3. Rema Namakula – Banyabo
4. Afrie – Yodi Yodi
5. Naava Grey – Ndi

  Best Artist in the Diaspora  
1. Ang3lina – Go Down
2. Tindy Twyla – Secret Lover
3. Mark Stel – I like
4. Ferida Rose – Njabala
5. Ganda Boys

 Best Dance Crew  
1. Ghetto Kids
2. H2C
3. Clay Dance Company
4. Tabu Flo Dance Company

  Best Hip Hop  
1. Da Agent – Nkalabuka
2. Byg Ben – Nzokuse
3. Gravity Omutuju – Musomesa
4. St Nellysade ft Keko – Tukomyewo
5. Ruyonga – God NDA

  Best Reggae  
1. A Pass – Mariana
2. Juliana Kanyomozi – I’m Still Here
3. Bruno K – One for The Road
4. Jah Brixman – Mwagala
5. General Czar-bu – Engeri Yokukwana

  Best Kadongokamu Artiste  
1. Mathias Walukagga
2. Kazibwe Kapo
3. Fred Sebatta
4. Fred Sebbaale
5. Willy Mukabya

  Best Instrumentalist  
1. Kitanda Micheal
2. Joseph Sax
3. Kiracho Njoroge
4. Charmant
5. Roy Kasika


 Best Afro Pop 
1. Maro – Nziranago
2. Bobi Wine – Aidah
3. GeoSteady – Owooma
4. Jose Chameleone – Agatako
5. Fille Mutoni – Mbeere eno
6. Sheebah Karungi – Wadawa


JAMANI NYIE !!!!: BLACK CHYNA ANAFANYA NINI KWA EX HUYU WA LIL WAYNE?

2:06:00 AM Add Comment

  Na Baba Juti  
#WatuWaMungu Mzazi Mwenzake na Rapper TYGA, BLAC CHYNA, naye angalau kaifunga Week Hii kwa kuashusha Kituko chake ambacho ilikuwa ni lazima Tukizungumzie tu, maana na chenyewe kinajionesha Kabisa

Katka Usiku wa “SWANKY PARTY” huko Nchini Marekani, Blac Chyna alikutana na Christina Milian ambaye ni Ex wa Rapper Lil Wayne (Kama utakuwa unakumbuka Vizuri kuhusu Weezy na Milian)

Tofauti na kula Bata, Blac Chyna alionesha kitu kingine ambacho kilibaki kuwa topic kwa Watumiaji wa Mtandao wa Kijamii unaofahamika kwa Jina la SNAP CHAT.
Wawili hao walionesha hali ya kutamaniana kabisa, na kisha Blac Chyna kuanza “Kulamba” Titi la Christina Milian

Tofauti na Picha ambazpo zilikuwa Posted, Pia Video Clip inaonesha kabisa kuwa Blac Chyina hakuwa analamaba kawaida, bali ilikuwa ni Kama Mithili ya Kunyonya Lollipop


Christina Milian ambaye ana Mtoto Mkubwa tu, alionekana kuwa “Kawaida” na kufurahia tukio hilo, licha ya Wengi kumkosoa kuwa hakutakiwa kufanya Hivyo sababu anamfundisha Picha Mbaya Binti yake Mdogo

KUDADADEKI !!!!: FLOYD MAYWEATHER ANAJISIKIA KUNANILIU KATIKA KIPINDI HIKI NA BINTI HUYU ALIYEJIPENDEKEZA MWENYEWE….

1:52:00 AM Add Comment

 
  Na Baba Juti  
#WatuWaMungu FLOYD MAYWEATHER amahitaji kuhakikisha kuwa haukosi utamu wa Mahaba kutoka kwa Bibie huyu kabla Mwezi huu wa 5 haujakata aisee….

Mwanamasumbwi huyu ambaye anamiliki Mkwanja mrefu na kuwa na Majanga kadha wa Kadha, aliamua kuweka wazi kuwa anatamani “Kumtindua”  Binti mmoja ambaye anafahamika kwa jina la KEYSHA LUV

Mwanamitindo huyu ambaye huuza Nyago katika Matangazo kadha wa kaddha ya Bidhaa huko Marekani na kwingineko, alipost Picha yake “Tanu Si Mchezo” na kuandika kuwa 

“Ninajihisi kama FLOYD katika Hali ya Hewa ya Mwezi May (May Weather)”

Lakini Muda Mfupi baada ya kupost Hivyo, Floyd ambaye ni Mwanamasumbwi Mstaafu anayemiliki Kampuni ya TMT yenye kufanya Mishe Nyingi alijibu kuwa, anahisi “Kumtindua” katika Mwezi huu May

“Niniahisi Kukutindua katika hali Ya Hewa ya May”

Lakini kama Ulikuwa Hufahamu, Mwaka Huu, Binti huyu alihudhuria katika BIRTHDAY PARTY ya Floyd Mayweather, na inasemekana kuwa huwa anajiweka sana ili anase katika “Kumi na Nane” za Floyd


So, unadhani Mrembo huyu atamnyaka MayWeather?




MNADA BANNER