REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

KIM KARDASHIAN NI MJAMZITO?...HEBU TAZAMA HAPA !!!

11:30:00 AM Add Comment

Kwa Kuangalia Picha Hii? Je Kim Kardashian Ni Mjamzito?

HIVI NDIVYO WIZZY KHALIFA NA AMBER ROSE WALIVYOUZA UJAUZITO WAO KWENYE MAGAZINE FRONT COVER LA XXL

11:16:00 AM Add Comment

JAY Z AJIBU SWALI KUHUSU UJAUZITO WA BEYONCE

11:04:00 AM Add Comment




 Lile Vuguvugu lilovumishwa Hivi Majuzi kuwa Mwanadada Beyonce ni Mjamzito linazidi kuchukua Sura Mpya.

Baada ya Mama Mkwe wake Jay Z, yaani mama Mzazi wa Beyonce kukana Kuwa Binti yake huyo hana Ujauzito, Mume wake na Msanii Mkali wa HIP HOP pande za U.S of A, JAY Z "JIGGA" mekanusha vikali kuwa "NO PREGNANCY" kwa Mke wake Beyonce
 Kwa Mujibu wa Muzungumzo na Chombo Kimoja nchini humo, Jayz alikataa kata kata kuwa Beyonce hana Ujauzito.

Mazungumzo yao yalikuwa Kama hivi :
 
MDAKU : "Vipi? Unamtoto Mwingine?
JAY Z    : "Unamaanisha Usiku Huu?...Hapana !!"
MDAKU : "Vipi Kuhusu Miezi 9 Ijayo?"
JAY Z    : "Hapana..Sio Miezi 9 Ijayo "
MDAKU : Kabla ya Miezi 9 Je?...yaani Miezi 7 au 8 Ijayo?"
JAY Z    : Hapana !. Sio kabla au baada ya Mwezi Mmoja, Miwili, Mitatu, Minne,
                Mitano, Sita, Saba, Nane au Tisa


"SIKUFANYA MAPENZI NA DIRECTOR WANGU"- CHRISTEN STEWART

10:19:00 AM Add Comment

 Ikiwa ni katika Jitihada za Kumfanya Mpenzi wake Robert Pattinson kumuamin kama Mwanzo, Muigizaji Mdogo aliyekumbana na Skendo la "KU-NINONINO" na Director Wake Rupert Sanders...amekiri kuwa hakufanya Mapenzi na Director Huyo.

Muigizaji wa Filam ya THE SNOW WHITE, Christen Stewart, amemwambia Mpenzi wake kwa kumthibitishia kuwa Hata Siku moja hakuwahi "Kumfunulia Sketi" Director Huyo licha ya kukumbwa na Kashfa Hiyo

"Rupert hajawahi Kuchungulia Undani wangu licha ya kukumbwa na Skendo kali hiyo" Alilalama Mwanadada Christen Stewart.

Aidha imebainika kuwa, licha ya Usaliti uliofanywa na Mwanadada huyo, hivi sasa wamerudiana (Robert Pattinson na Christen Stewart- Katika Picha Hiyo Juu) tena, na Hivi sasa wanaishi Pamoja kama Mwanzo.




CONFIRMED : MAANDALIZI YA VIDEO YA "WANANUNA" YA SALVI MANYIKA NI MOTO WA KUOTEA MBALI....

9:59:00 AM Add Comment
                                           SIMON MANYIKA "Salvy Boy"

Kichwa Matata kunako Muziki Wa Kizazi Kipya "Bongo Flava" hapa hapa U.R. of T (United Republic of Tanzania) SIMON MANYIKA goez by the a.k.a "SALVY MANYIKA" anatarajia kushusha Mzigo mwingine utakaokwenda kwa Jina la WANANUNA.

Hivi karibuni Mkali huyo wa Track ya "YASIKISA" ambayo inang'ara vilivyo kunako Media Kibao hapa Area 255, amepost baadhi ya SCENE zilizokuwa zikifanyika katika Video yake Hiyo Mpya katika Fan Page yake ya FACEBOOK.

MIKWAJU MINGINE YA SALVI MANYIKA.
1. UKO MBALI NAMI- Ft. Nemo
2. TUTASHUKURU.
3. YASIKISA

RICK ROSS IN DA BUILDING !!!!!.HAPA HAPA BONGO

8:03:00 AM Add Comment




MGUU PAAAAAAH......MPAKA CLOUDS TV, Si ndio nikakutana na BO...,BO...BO...BO...BONGE LA PROMOOOO!!!!
Eti kwamba....Wale wakali wa Matamasha U.R. of T. (United Republic Of Tanzania) namaanisha Area 255-Bongo...Clouds Entertainments Group, kupitia SERENGETI FIESTA 2012...BHAAAAAAAAAAAAAAAASSS...watamdondosha "Teflon Don, The Big Bous, Rozay" akifahamainka kama RICK ROSS hapa Bongo.

Unataka Kufahamu zaidi?...Stay In Touch..Hiyo nimekuibia Tu!!!!!!!

SUDAN KUSINI NA SUDANI KASKAZINI ZAFIKIA MAKUBALIANO

2:24:00 AM Add Comment

Sudan Kaskazini na Sudan Kusini zimefikia makubaliano ya usalama wa mpaka na usafirishaji mafuta baada ya mazungumzo ya siku nne katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa.

Rais Omar al Bashir wa Sudan na mwenzake Salva Kiir wa Sudan Kusini ambao wamekutana mara 6 tangu Jumapili iliyopita wanatarajiwa kutia saini makubaliano hayo leo Alhamisi. Makubaliano hayo yatafungua njia ya kuanza tena usafirishaji mafuta ya Sudan Kusini kupitia mabomba ya Sudan.

 Hata hivyo nchi hizo mbili zimeshindwa kuafikiana juu ya masaula kadhaa yanayohusu mpaka. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Sudan El Obeid Morawah amesema masuala hayo yatajadiliwa katika siku zijazo.

Nchi hizo mbili zimekuwa zikishinikizwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kumaliza hitilafu zao.

KENYA WAIPIGA AL-SHABAAB TENA

2:19:00 AM Add Comment
ASKARI WA JESHI LA KENYA AKIWA KAZINI

Kenya imesema kuwa jeshi lake la majini limeshambulia vituo vya waasi wa kundi la as Shabab katika bandari ya Kismayu huko kusini mwa Somalia, kabla ya kufanywa mashambulizi ya nchi kavu dhidi ya waasi hao.


Msemaji wa jeshi la Kenya Cyrus Oguna amesema, kikosi cha majini cha Kenya kimefanya mashambulizi hayo baada ya vikosi vya anga kulenga ghala la silaha karibu na uwanja wa ndege wa Kismayu.

NEMBO YA KUNDI LA AL- SHABAAB

 Oguna ameongeza kwamba, shambulizi hizo linaonyesha jinsi jeshi la Kenya lilivyoshadidisha operesheni zake huko Kismayu na kwamba mashambulizi ya nchi kavu bado hayajaanza. 

Msemaji huo wa jeshi la Kenya amesema, askari wa nchi hiyo wanatarajiwa kuanza kuingia Kismayo wakati wowote mwafaka kuanzia sasa.

KUNDI LA AL- SHABAAB

 Vikosi vya jeshi la Kenya vikishirikiana na askari wa Burundi, Uganda na Djibouti kwa wiki kadhaa vimekuwa vikipambana na waasi wa as Shabab katika operesheni inayofanyika chini ya mwamvuli wa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM. 

Askari hao wamefanikiwa kuwafurusha waasi hao kutoka katika ngome zao.


LAANA YA MWAKA.....HAWA AKINA DADA WANAMAANISHA NINI?...HEBU WAONE WANAYOYAFANYA!!!!!!!

2:06:00 AM Add Comment












Unaweza Ukadhani ni Masihala....lakini hivi ndivyo Swahiba wangu MPEKUZIO alivyowagundua Akina Dada Hawa.

Hii Ni Laana !!!!

MNADA BANNER