REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

50 CENTS ATOKA NDUKIIIIIIII

5:59:00 AM Add Comment

Na BLack Touchez
KABOOOOM !!. Wengi tunamfahamu Rapper Jackson Curtis ama 50 Cents kama Mbabe wa Ma-beef, na endapo utajaribu kumchezea , basi itakula kwako kwa atakachokufanyia.
Lakini This Time, amejikuta akitoka “Nduki” mbaya baada ya kukutana na Mbabe wake katika Mtandao wa Instagram, ambaye aliamua kuchana Fif kuhusu suala zima la Malezi.

PICHA LILIVYOANZA:
Fif alipost Picha ya Mtoto wake wa pili ambaye bado ni Mdogo, aliyemzaa na mwanamitimndo maarufu DAPHNE JOY katika account yake hiyo ya IG, hali ambayo ilimfanya fan wake mmoja wa kike kucomment kuwa anamuonea huruma Mtoto wa Kwanza wa 50 ambaye ni MARQUISE JACKSON mwenye Umri wa Miaka 16.


Shabiki huyo aliashilia kuwa, ama alimaanisha kuwa Muda Mwingi 50 amekuwa akionesha upendo wa dhati nje nje kwa Mtoto huyo Mdogo, na kumsahau kabisa Mtoto wake huyo wa Kwanza, jambo ambalo halipendezi kwa mzazi kama 50.

Baada ya Bibi huyo ku-comment Hivyo, 50 alionekana kukaa kimya na hata kutokujibu chochote juu ya Maoni ya Fan wake Huyo

UKWELI UKO VIPI?.
Inawezekana kabisa 50 haoneshi mapenzi ya Dhati kwa Mtoto wake huyo wa Kwanza, ukizingatia hata kipindi cha Nyuma ameshawahi kulalamikiwa, hasa kwa kutohudhuria mahafali ya Mtoto wake huyo wakati akihitimu High School.


MNADA BANNER