REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

JAMANI !!!: MWANAMKE ALIYEPIGA PICHA ZA UJAUZITO WAKE UKIWA UMEZUNGUKWA NA NYUKI 20,000, AMETOA TAARIFA YA KUUMIZA !!!!

12:58:00 AM Add Comment

Na Rich Sam   
#WatuWaMungu jumatatu inabidi ianze na Story hii ambayo inashtua lakini sijui ni nini kimesababisha mpaka ikafikia hapa ilipofikia.

Kama utakuwa ni mfuatiliaji mzuri, utakuwa umekutana na hii taarifa ambayo iliwaacha kinywa wazi watu wengi baada ya mwanamke mmoja kutoka OHIO , marekani , anayefahamika kwa jina la EMILLY MUELLER (33), kuamua kupiga Picha, yaani Photoshoot ya Ujauzio wake, akiwa amezungukwa na Nyuki zaidi ya 20,000 katika Tumbo lake, yaani katika ujauzito wake.

Mwezi August, Bibie huyo ndipo aliweza kusambaa katika vyombo mbali vya habari kwa kitendo hicho, ukizingatia yeye ni mfugaji mzuri tu wa Nyuki

Lakini jambo ambalo limekuja kutokea, ni kwamba kupitia Facebook account yake, Emilly alipost taarifa kuwa Mtoto ambaye alikuwa tumboni kipindi ambacho wanapiga Picha, hakutoka Hai kama ambavyo walikuwa wametarajia, kitu ambacho kiliwauma sana yeye na mume wake

Emilly aliandika kuwa, awali yaani ndani ya week 28, hakuhisi mtoto akicheza tumboni, lakini alihisi labda amelala. lakini hali ikaendelea hivyo hivyo, na ndipo walipoamua kwenda Hospitali. Licha ya madaktari na manesi kujitahidi kwa kadri wawezavyo, hali haikubadilika na ndipo alipozaliwa mtoto akiwa amefariki.

Ingwa haijawekwa wazi kama Nyuki wale walizua tatizo lolote kwa Mtoto aliyekuwa tumboni, bado Emilly anaamini kilichopangwa na mungu ndicho hicho hicho.

Hata hivyo ana watoto watatu.



UPO HAPO!!!!? : ETI DADA YAKE NA SERENA WILLIAMS, VENUS, ANA MKOSI NA WANAUME, SAFARI HII KAANGUKIA KWA "BWABWA"

12:18:00 AM Add Comment




Na Baba Juti  
#WatuWaMungu Kuna fununu Tumezinyaka kuhus Dada Yake na Serena Williams ambaye pia ni msakata Tenis kwamba linapokuja suala la wanaume kwake, ni kama kuna ka-mkosi hivi maana huwa anaangukia pabaya 

VENUS WILLIAMS (37) ambaye anashikiria namba 5 katika Ubora wa Tenis kwa wanawake inasemekana amekuwa na kasumba ya kupata Boyfriend ama Mpenzi ambaye  anakuwa kamili na yuko serious katika suala zima la mahusiano

Sasa Kali zaidi imeibuka baada ya kubainika kuwa safari hii yupo katika mahusiano na jamaa ambaye ni "Shoga" kitu ambacho kimewastua watu wengi sana, ingawa haifahamiki kama Venus anafahamu hilo ama kuna namna ambavyo imekuwa.

Katika Shughuli a.k.a Harusi ya Mdogo wake , Serena Williams ambaye ameolewa hivi majuzi na kufunga Ndoa Rasmi, Venus alionekana akiwa na jamaa huyo na alimtambulisha kama "Mpenzi" wake mpya, huku baadhi ya watu ambao wanamfahamu vizuri, wakianz kunong'ona kuwa yule jamaa sio RIZIKI

MNADA BANNER