REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

SHABIKI WA MAN U ALIVYOKOJOLEA GARI LA MARIO BALOTELLI

10:56:00 PM Add Comment
 Jamaa akiruka na kuimba juu ya Gari la Mario Balotelli alilokwa amelipaki pembeni

 Khaaaa....kudaadeki...si akaamua kulikojolea sasa

Mario Balotteli akipaki Gari lake

 SHABIKI NA MPENZI wa Clab ya Uingereza "Mashetani wekundu" Machester United (MAN U), ametoa kali ya Mwaka baada ya Kulikojolea Gari la Mchezaji wa MAN CITY, Mario Balotelli

 Jamaa huyo alifanya kituko hicho katika gari hilo aina ya Bentley Amid Rumours lenye thamani ya EURO 160,000 na kisha kushusha Suruali yake huku makalio yake yakiwa nje, na kupanda juu ya gari upande wa Kioo cha Nyuma, huku akipiga kelele za kutokumkumbuka Striker huyo hata kama ataondoka kwenda AC Milan.

Tukio hilo limetokea nje ya Mgahawa wa Indian, katika Mji wa Manchester, wakati Balotelli alipokuwa akipata chakula na Rafiki zake



CONFIRMED. RICK ROZAY APATA AJALI AKIJARIBU KUMKWEPA MPIGA RISASI

10:20:00 PM Add Comment
 Gari la Rick Ross "rozay likifanyiwa utaratibu wa kuondolewa katika eneo la Tukio, ambako Rozay alipata ajali kumkwepa mtu anayesadikika kuwa anataka kumpiga Risasi

 Rick Ross 



Eneo La Tukio Rick Ross amepata maswahibu hayo
 
Eneo la Tukio likiwa Limezungushiwa Mkanda wa Tahadhari

Kioo ca Jengo ambako Rick Ross amepata mswahibu hayo leo, likionesha Alama ya Risasi iliyokwa inamlenga Rick Ross

Jitihada za Kuliondoa Gari hilo


 Kwa Mujibu wa Jeshi la Polisi, Rapper The Big Baus Rick Ross "Rozay", amerparamia ukuta wa Jengo katika Mtaa wa Ft. Lauderdale maeneo ya Florida Nchini Marekani asubuhi ya leo, na gari lake aina ya Rolls-Royce, akijaribu kumkimbia mtu ambaye alikuwa akilirushia Risasi gari lake

Katika Ajali hiyo ambayo ililkumba gari hilo kali la msanii, Big Baus huyo wa MMG ambaye alikuwa amempakia Msichana aliyetambulika kwa jina la Shateria L. Moragne ambaye ainasadikika kuwa hivi sasa ndo wako katika mahusiano, wote waw3ili hawakuweza kudhurika kwa Risasi pamoja na Ajali hiyo


FACEBOOK WALL YANGU LEO : Lizzle, The African Lady I will always appreciate

6:28:00 AM Add Comment

Nimesoma Naye Ordinaly Level "O- Level" Pale St Anne Marie Academy mpaka 2007 ambapo tulihitimu.

Though nilianza kumzoea hatua za Mwisho, But nilipata kufahamu mambo mengi kupitia yeye, na hatimaye kujifunza Mengi kupitia urafiki wetu. 

Though tumekuwa Marafiki kwa muda wote huo, we never had any conflict kias kwamba najivunia kuishi na watu vizuri, hasa marafiki zangu.

Since 2007, nimekuja kukutana tena na Lilian Lucian Kikoti "Lizzle" mwaka 2012, wakati nipo katika hatua za mwisho kuhitimu Taaluma yangu ya Habari.

I miss Her, and I love her coz she do the same to me too as Her Friend and Old School Mate.

HAPA HUNIDHURUMU KITU....

12:09:00 AM Add Comment
Kazi na Dawa Bhana...Eti nani alisema hata sisi wauza Samaki wa Uswazz hatuwezi kumiliki ma-Touch ya Kishua kama hayo?

Sasa kwa taarifa yenu, Mizigo hiyo inaweza kumilikiwa hata na "MAKABWELA" kama sisi bhana.

Nyie kama mnajipa ma-Flag kwa kuyamiliki au kuyatumia mkiwa kwenye magari yenu hasa mbele za Masista Duu, basi kimpango wenu

Sisi wengine tunazitumia "Ifektivule" hasa katika Biznes kama hivi. Hapa kama kawa, nawatonya wadau Mzigo Mpya nilioshusha, Nachat Facebook na Twitter kama kawa, pia kama ukija na 10,000/=, unataka Fish wa 470/=, napiga Kalikuleisheni kama kawa...Haina kumbwanda hapa...haumbuki mtu, wala hatoi boko Mtu hapa.

MNADA BANNER