REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

HALELUYA : CANNIBAL KUTOKA NCHINI KENYA KAAMUA KUOKOKA

3:17:00 AM Add Comment

Na Baba Juti  
#WatuWaMungu kuna tarrifa kuwa Rapper CANNIBAL kutoka Nchini Kenya Hivi sasa ameamua kuokoka kabisaaaaaaaa

Kupitia kenyan-post.com, Cannibal alidai kuwa wengi walibaini ukimya wake katika Soko la Muziki wa Kizazi Kipya Nchini Humo, lakini hivi karibuni watamsikia katika Ulimwengu wa Muziki wa Injili, maana anahisi huko ndiko anakostahili kuwa

Tunamnukuu
"Sababu kubwa ya Mie kuwa Kimya, ni kwa sababu nimekuwa nikifikiria sana Kuokoka. Nimekuwa nikigombana sana na nafsi yangu kwa muda Mrefu.  Nafsi yangu imekuwa ikitaka kumjua Mugu, wakati huo, inataka Mambo ya Kidunia"


WALLAH WAKENYA MKO VIZURI- HII NI COVER NYINGINE YA DESPACITO

3:04:00 AM Add Comment

Na Sambuli Joseph 
#WatuWaMungu tunafahamu vizuri kabisa kuwa Mkwaju wa DESPACITO kutoka kwa LOUIS FONSI umekutana na Covers Nyingi Sana

Sasa, kutoka Nchini Kenya , huyu hapa ni Binti ambaye Pia ametukuna. Anaitwa VIOLA KARURI

JAMANI" BINTI ALIYEMUUA MDOGO WAKE KWA AJALI YA GARI, KISHA AKAMREKODI KUPITIA INSTAGRAM, AMESEMA ALIFANYA HIVYO KWA SABABU ALIHITAJI FEDHA (VIDEO)

2:44:00 AM Add Comment

Na Baba Juti  
#WatuWaMungu sijui hii hatua tuitafsiri kama ni kitu kizuri ama kama ni kitu kibaya, maana inachanganya kwa kweli

OBDULIA SANCHEZ , Binti mwenye Miaka 14, aliingia Hatiani baada ya Kusababisha Ajali ambayo ilichukua Maisha ya Mdogo wake mwenye Miaka 14 na kumjeruhi binti Mwingine

Jeshi la Polisi lilitoa Taarifa kuwa, Obdulia alikuwa akiendesha gari hilo akiwa amelewa, huku akiwa amefungulia Muziki kwa Sauti kubwa sana, na akiwa Live Kupitia Instagram, hali iliyosababisha apate ajali katika Eneo la LOS BANOS huko Califonia, Marekani

Pia Taarifa za Kiuchunguzi zilidai kuwa, Gari ilikosa Mwelekeo na kugonga Uzio kisha Kupinduka, na Mdogo Wake JACQUELINE kupitia Dirishani (Maana hakuwa amefunga Mkanda) na kisha Kufariki alipotua Chini

Jambo la ajabu ni kwamba, Obdulia aliendelea kuwa Live Instagram huku akionesha watu zaidi 5000 waliomfollow katika Account yake, namna ambavyo mdogo wake akifariki, huku akisema "NIMEMUUA MDOGO WANGU, LAKINI SIJALI"

Wakati akijitetea katika Maelezo yake, Obdulia anadai kuwa, alifanya hivyo na hata kuruhusu watu washuhudie akifa, kwa ajili ya kuchangisha Fedha za Mazishi ya Mdogo wake huyo, maana familia yake isingeweza

Pia anaongeza kuwa, asingefanya hivyo kwa mdogo wake kwa nia mbaya, ila alijua kabisa kuwa amemuua mdogo wake, na familia yake isingeweza kuhimili gharama za mazishi

"Nilifanya Hivyo kwa sababu ninafahamu nina followers zaidi ya 5000. Ilikuwa ni njia pekee ya kumsaidia Mdogo wangu apate Mazishi Mazuri. Nisingeweza kumuanika Mdogo wangu kiasi hicho. Samahani kwa kuachia Video hiyo. Ninaonekana katili wa ajabu. Lakini nilifanikisha Nia yangu. Nilishawishi Umma unichangie Fedha maana familia yangu sio Tajiri"
R.I.P : JACQUELINE SANCHEZ Mdogo wake Obdulia, ndiye alifariki katika Ajali hiyo maana hakuwa amfunga Mkanda wa Gari

Familia hiyo ilifanikiwa kupata USD 12,630

OH MY GOD JAMANI !!! : PINK ASIMULIA NAMNA BINTI YAKE ALIVYOJIHISI NI MBAYA WA SURA !!!!!

2:16:00 AM Add Comment

Na Samuel Richard "Rich Sam" 
#WatuWaMungu kwa Wale ambao Mna watoto, tunaamini kabisa huwa mnakutana na Maswali Mengi kutoka kwa Watoto wenu.

Katika Maswali hayo, kuna yale ambayo huwa yanavutia, yanafurahisha, yanachekesha, yanashangaza, yanaduwaza, na hata mengine huiwa yanaumiza sana

PINK ni moja kati ya Wazazi ambao wamekutana na kitu kama Hicho kutoka kwa Binti yake ambaye anaitwa WILLOW ambaye ana umri wa Miaka 6 kwa Hivi sasa

Kupitia Tuzo za MTV VIDEO MUSIC AWARDS 2017, Hitmaker Huyo wa "Family Potrait" aliweka wazi kuwa, kuna siku alikuwa akimpeleka Binti yake huyo shule, na wakiwa kwenye Gari, Binti yake alimuuliza kuwa ni kweli yeye ni Binti mbaya Duniani?, maana amekuwa akikutana na Ukosoaji mwingi kuwa anafanana na Mvulana.

Pink anadai kuwa, aliumia sana kukutana na kitu hicho, na ndipo alimuambia kuwa, licha ya yeye kutokuonesha mabadiliko yoyote katika Mwili wake kuanzia Nywele, mwili na mengineyo, lakini Bado anavutia na ana mafanikio makubwa sana

Huyu Hapa

DUDE: WENGI WANADHANI NILIFARAKANA NA MRISHO MPOTO KUHUSU BONGO DAR ES SALAAM (VIDEO)

1:47:00 AM Add Comment

SOURCE: SASA TV  
#WatuWaMungu tunafahamu Vizuri kabisa kuwa Igizo la BONGO DAR ES SALAAM lilikuwa likisababishwa na DUDE pamoja na Mrisho Mpoto, lilikuwa kivutio na Elimu kubwa sana kwa Wageni na wakazi wa Jiji La Dar Es Salaam

Watanzania Wengi waliokuwa wakilifuatilia kwa ukaribu sana kupitia kituo cha Televisheni TBC 1, walikuja kushtushwa na hata kuumia baada ya Igizo hilo kusitishwa Ghafla, wakati bado watu wanalihitaji.

Igizo hilo liliwapatia Umaarufu Sana Dude, Flora Mvungi, na wengineo kadha wa Kadha, lakini nini kilikuwa Nyuma ya kusitishwa Kwake?

Wengi walikuwa wakiamini kuwa, Mrisho Mpoto na Dude wameshindwa Kuelewana na mpaka kufarakana na Bongo Dar Es Salaam kuvunjika, lakini Dude huyu hapa anasimulia


MUNGU OKOA JAHAZI !!!: YULE MSANII WA R&B AMBAYE ANADAIWA KUTOA HARUFU, SASA YAMEMSHINDA

1:38:00 AM Add Comment

Na Baba Juti  
#WatuWaMungu mnamkumbuka yule Msanii wa R&B Nchini Marekani ambaye tuliwahi kukuambia kuwa Wengi wanalalamika kuwa "anatoa Harufu mbaya?"...sasa kuna hili jipya kuhusu yeye

Yes, anaitwa  KEHLAN ambaye safari hii kaamua kuachana kabisa na masuala ya Kutinduana na Wanaume kutokana na lawama za kutoa Harufu Nzito, na ameamua kujikita katika Mapenzi ya Jinsia Moja

Kwa Mujibu wa Taarifa ambazo tumezipata mpaka hivi sasa, ni kwamba Kehlan amekuwa akikutana na changamoto ya wanaume kudumu naye katika Mahusiano, huku sababu kubwa ikiwa ni kutoa Harufu Nzito, hasa katika Sehemu kadha wa kadha za Mwili wake
MAHABA: Kehlan (Kulia) akiwa na Mpenzi wake Mpya (Jina halijapatikana)

Hivyo Kutokana na hilo, Kehlan ameamua kujitosa katika Mahusiano ya Jinsia moja, maarufu kama Usagaji

MNADA BANNER