REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

HEBU TUAMBIE !!! : ET HUYU NDIYE VIDEO VIXEN MBAYA KULIKO WOTE BONGO? (PICHA 12)

7:48:00 AM Add Comment

Na Hamis Ally   
#WatuWaMungu Tunajua Vizuri kabisa kuwa Soko la "Video Vixens" ama "Video Queens" limetufichulia Mambo Mengi sana katika Soko la Muziki na hata katika Maisha ya Dada Zetu ambao wanapenda Lifestyle ya aina Fulani

Wengi sana wanafahamika na kazi zao zinaonekana kabisa mfano Mzuri ni akina Hamisa Mobeto (Mama Dully), Giggy Money, Amber Lulu, Nai Huddah, Na Wengineo Wengi sana ambao tunawaona wanatokea Mara kadhaa kwenye Video mbali mbali

Sasa, Hivi Majuzi lilikuja kutopkea la Kutokea baada ya Kutokea Video Vixen Mwingine, anayefahamika kwa jina la AMBER RUTT.

Wengi tulikuwa hatumfahamu, lakini tulikuja kuanza kumsaka baada ya kuona "Kichambo" alichokipokea toka kwa watu mbali mbali akiwemo JACQUELINE WOLPER na wengineo, baada ya kusambaza Picha za Takriban Nusu Utupu.

Sasa Kama mlikuwa hamumfahamu, inasadikika kuwa Ndiye Video Vixen "Mbaya" kuliko Mavideo Vixen wote Bongo (Sio Maneno Yetu Lakini)

Comments Nyingi katika Instagram account Yake, zinamtukana haswa na hata kumuita majina ya Wanyama kama Vile Paka, n.k

Sasa, Tumeona Tumlete Kwenu, ili na nyie Mseme, kama Kweli ni Hivyo anavyotuhumiwa, ama Vipiu?

Picha zake Hizi hapa  











HAYA SASA !! : WAKULIMA WA KARANGA NA WAFANYA BIASHARA WA KARANGA, DILI HILI HAPA KUTOKA KWA DIAMOND PLATNUMZ

7:28:00 AM Add Comment

Na Baba Juti  
AISEE !!, kuna Mtu Wa Mungu yeyote ambaye ni Mkulima wa Karanga? (Amabzo ni Malighafi ). Basi kama Upo, na kama pia unamfahamu , aidha ni Ndugu, Rafiki, ama Jamaa, Kuna Dili hili hapa Kutoka Kwa Msanii wa Kizazi Kipya Nchini Tanzania, DIAMOND PLATNUMZ

  SOMA:  
FURSA KWA NDUGU ZANGU WAKULIMA WA KARANGA.... sasa waweza kutuuzia karanga mbichi nyeupe zenye rangi ya kwenye picha hapo, Maarufu kama Super Quality Small size....kuna nafasi ya kununua hadi Karanga Tani mia moja (Tani 100) kwa kila Mwezi... Usafi na Ubora wa karanga zako ndio nguzo ya kwanza sisi kuweza kuzinunua karanga zako....Wasiliana nasi kwa namba hizi +255714993724 @diamondkaranga#NogewaJirambe ðŸ‘…👅 MAZINGATIO:
1. Karanga ndogo Nyeupe (Super Quality Small Size)
2. Ziwe Safi sana sana.
3. Zifungwe katika ujazo wa kilo 20 kwa kiloba.
4. Tunanunua kwa Bei kati ya tsh 2300 - tsh 2700 kwa kilo.
5. Maitaji yetu ni tani 100 kwa mwezi.
5. Piga simu: +255-714-993-724

BACK IN THE DAY !: LEO NIMEISHUSHA KWENU HII VIDEO YA CIARA AKIWA NA 50 CENTS

7:20:00 AM Add Comment

Na Baba Juti  
#WatuWaMungu Mnafahamu Vizuri Kabisa kuwa 50 Cents ni mwanaume wa 4 "kukujuka" na CIARA 

Wawili hao walianza mahusiano ya Kimapenzi mwaka 2007 mpaka 2010 ambapo kila mmoja aliamua kuchukua lake na kuishi maisha yake.

Mkwaju wa CANT LEAVE EM ALONE ulirekodiwa Rasmi Mwaka 2006 Katika Records Label ya LA FACE chini ya Producer DARK CHILD

Mkwaju huu uliachiwa Rasmi JUNE 12, 2007 huku Ciara akidai kuwa, aliamua kumshirikisha 50 Cents ili kupata Ladha Tofauti katika Muziki wake. Lakini kama ulikuwa hufahamu, original Jina la Mkwaju huu ilikuwa ni DOPE BOYS

Chukua Takribani Dakika zaidi ya 4, kutizama Video Hii, kupitia "Back In The Days"


THURSDAY PROFILE : THIS IS VANESSA MDEE

6:53:00 AM Add Comment

Vanessa Hau Mdee (born 7 June 1988 in Arusha, Tanzania),[1] also referred to as Vee Money, is a Tanzanian recording artist, songwriter, youth activist, TV and radio host.[2] Mdee is popularly known for being the first ever Tanzanian MTV VJ. She later rose to prominence as a radio and TV host, hosting Epic Bongo Star Search and Dume CHallenge for ITV Tanzania before signing to B'Hits Music Group in late 2012. After joining B'Hits Music Group, Mdee collaborated with Tanzanian rapper A.Y. on a record '’Money'’ and Ommy Dimpoz, a Bongo Flava artist on a record Me and You that was later voted Song of the Year during the 2013 Kilimanjaro Music Awards.[3] She received an even bigger buzz with the release of her first solo single "Closer", which in its first week was downloaded over 30,000 times, a feat achieved by no other Tanzanian artist. "Closer" remained on the charts for over 13 weeks.[4] Vanessa has had the chance to interview many artists, such as K'Naan, Kelly Rowland, French Montana, Trey Songs, Mac Miller, Rick Ross, Ludacris, Miguel, Donald, Nazizi, Xtatic, Stella MwangiCamp Mulla, Tay Grin, Teargas, Dr. Sid and many more African and international acts. In 2015 and 2016 she released three singles Nobody But Me, Never Ever and Niroge which were also received well.

Early life and education  
Vanessa Mdee was born on 7 June 1988, in Arusha, the third-largest city in Tanzania; located in Northern Tanzania. Mdee became familiar with various cultures after growing up in New York, Paris, Nairobi and Arusha. She obtained her secondary and high level education at Arusha Modern High School. Mdee attended university at the Catholic University of Eastern Africa to pursue a Law degree. Mdee quickly became familiar with many different forms of creative and performing arts.

Career  
2007: MTV VJ Search
In early 2007, Mdee got the chance to audition for The MTV VJ Search in Dar es Salaam. Afterwards, she joined Carol and Kule to host the Coca Cola Chart Express. By 2008, Mdee had established herself in Tanzania and around the continent, hosting shows in Nigeria, South Africa, Kenya, Mozambique, Angola, Uganda, and the Democratic Republic of Congo. She also became known in the United States and Brazil. 

2008: MTV Staying Alive
In 2008, Mdee worked with the Staying Alive Foundation on a project close to her heart. She got to visit the Uwanja wa Fisi with then-Staying Alive Foundation Special Ambassador Kelly Rowland. Mdee also joined Malaria No More in their Z!nduka Campaign, a campaign aimed at the eradication of malaria.

2009
In early 2009 Mdee hosted Senses, Sounds and Wisdom with Zantel during the annual Sauti Za Busara International Music Festival, showcasing the ever-growing Swahili culture. Mdee's fashion sense has made her the go-to girl at every MTV Africa Music Awards. She hosted the red carpet event for three years in a row.

2011: Choice FM Tanzania and other media projects
In 2011, Mdee's became the host of 102.5 Choice FM's The Hitlist. As host, Mdee played R&B, Hip-Hop, and Pop. She also interviewed many artists, such as K'Naan, Kelly Rowland, Mac Miller, Rick Ross, Ludacris, Miguel, Donald, Naazizi, Xtatic, Stella Mwangi, Camp Mulla, Tay Grin, Teargas, Dr. Sid and many more African and international acts.

Along with her pan-African weekly TV show, MTV's Base Select 10 and daily radio gig, Mdee blogged as a roving reporter on behalf of MTV Staying Alive and UNAIDS on her Dynamites Mission website. She was MTV's voice at the 2011 UNAIDS Mali Youth Summit in Bamako and the subsequent High Level meeting in Cape Town, South Africa, She participated in the International Conference on HIV and STI's in Addis Ababa, Ethiopia, and cofounded (along with M. K. Asante) STANDWIDTH, under the UNAIDS umbrella.

2012: MTV Base Meets and music premier
In 2012 Mdee hosted MTV Base Meets, a show geared towards empowering young Africans from around the world by giving them the rare opportunity to sit down with an influential leader. MTV Base Meets brought her in the company of Russell Simmons, Alek Wek, former President of Nigeria Hon. Olusegun Obasanjo, football star Emmanuel Adebayor and Akon. Mdee also hosted the Kili Music Awards (Tanzania's music awards) as well as Tanzania's nationwide talent search Epiq Bongo Star Search (EBSS). Mdee is currently working on her new web series Vee World Wide, about her travels and encounters with various celebrities from around the world. People who have appeared on Vee World Wide include Keke Palmer, Carol Rodrigues, Da Internz, Keyshia Knight Pulliam, Letoya Luckett, DWoods, GOOD Music's D'Banj and many more. Mdee was asked to audition for BET's 106 & Park, although she did not get the gig.
Also in 2012, Mdee was awarded at a gala in New York City by the UNA-YP (United Nations Association of Young Professionals) for being an African change maker. In the same month[when?] she was awarded by the GAVI Alliance for her support in the initiation of free vaccinations for Tanzanian children. In May 2013, Mdee was invited to speak at the World Economic Forum for Africa in Cape Town, South Africa on behalf of the GAVI Alliance on the announcement of the new record low price for the Human Papillomavirus (HPV) vaccines. Later that same month, Mdee again spoke on cervical cancer at the Global Forum for Cervical Cancer Prevention in Kuala Lumpur, Malaysia on behalf of Global Health Strategies. Mdee officially became a GAVI Ambassador and an active voice against cervical cancer.
Mdee launched her music career in 2012, working on the single "Me and You" by Ommy Dimpoz. A month later 13 January 2013 – she released her first single "Closer". These scored her four nominations at Tanzania's Music Awards (Kilimanjaro Tanzania Music Awards), including "Bongo Pop Song of the year", which she won.[5] She also won Collaboration of the Year.[6]

2013
In, 2013 Mdee got added to the Dar es Salaam hub of the World Economic Forum as a Global Shaper. In October 2013 Mdee joined the GAVI Alliance again at the UN General Assembly where she spoke on a panel with Yoweri Museveni, President of Uganda. This trip ended with Mdee closing the NASDAQ by ringing the ceremonial closing bell, along with UNAIDS Executive Director Michel Sidibe and Ibrahim Boubacar Keita, President of Mali. Mdee was in turn awarded by the Global Health and Diplomacy for her work in advocacy.
Mdee hosted MTV Base's Hunters Oasis; a music festival around Africa with appearances from some of the African continents hottest artists and DJs. She also hosted Tanzania's Epiq Bongo Star Search Season 7 and Dume Challenge, seasons 1 and 2.[8] Mdee also released her second single "Come Over" in November, 2013 which has been on charts in Tanzania, Nigeria, Uganda, Kenya etc.

2014: Music, Awards, Airtel, Coke Studio, Crown Paints, Music Tours
In 2014, Mdee was nominated for 3 Kilimanjaro Tanzania Music Awards for Female Artist of the Year, R&B Song of the Year and Female Performer of the Year. On 3 May 2014, she won for R&B Song of the Year for Closer. Mdee released her third single Hawajui on 13 June.
‘Switch On’ Airtel Campaign; Vanessa Mdee is involved in the ‘Switch On’ campaign by Airtel that is about connecting users to the internet and charged according to the kind of device in use.
MTV Africa Music Awards; Vanessa Mdee alongside Nomuzi Mabena presented the Best Collaboration Award and Best Francophone Award. During the trip to Durban, South Africa she as an MTV VJ had an opportunity to sit down and interview Trey Songz, Miguel and French Montana all artists from the U.S.
Coke Studio Africa; Vanessa Mdee features in season II of Coke Studio Africa where she collaborates and performs with Nigeria's Burna Boy.
Kili Music Tour; Vanessa Mdee was among the artists that graced the Kili Music Tour 2014 stage in Mwanza and the finale in Dar es Salaam. Serengeti Fiesta Music Tour 2014 – Sambaza Upendo (Swahili for 'Spread Love'); Vanessa Mdee was on Tanzania's biggest nationwide music tour, covering various regions. The tour final took place on Saturday, 18 October 2014 in Dar es Salaam where American rapper T.I graced the stage; other acts included Diamond, Davido, Waje, Victoria Kimani, Patoranking to name a few.
Vanessa Mdee received an endorsement deal from Crown Paints, to be its brand ambassador in Tanzania. Crown Paints is a number one paint manufacturing company in Eastern Africa.
AFRIMA Awards; Vanessa Mdee nominated for two categories: Best Female Artiste in Eastern Africa and Best African RNB & Soul[9] in the All Africa Music Awards. On 27 December, Vanessa Mdee won Best Female Artiste in Eastern Africa award in Lagos, Nigeria.
On 8 November, Vanessa Mdee joined forces with another Tanzanian songbird Barnaba Elias to release their latest up tempo Afro Pop duet Siri. It tells the tale of a cunning young man who tries to convince a young bride to embark on a love affair with him, with promises of plenty material things. Despite her upbringing the story ends at a crossroads, leaving the listener wondering. Siri is already rising fast on the Tanzania radio charts plus East African charts. Later on 8 December, the much anticipated video for Hawajui was premiered on MTV Base and has gone on to capture the attention of the African continent and beyond.

2015: Samsung, ESSENCE, ONE.org, Awards
Early this year, Vanessa Mdee signed a brand ambassadorship deal with Samsung Tanzania. Vanessa has continued to attract a lot of attention from plenty of corporations due to her enormous talent and continued effort to grow her brand.
On 26 March 2015, Vanessa Mdee released her fifth single Nobody But Me where she joins with heavy hitting South African rapper K.O on. Composed by Vanessa Mdee, Ntokozo Mdluli and Nahreel, the light hearted collabo will transcend from the airwaves to the club. Nobody But Me is already topping charts in various countries in Africa.
On 4 April 2015 – Vanessa Mdee performed in Lagos, Nigeria at the Gidi Culture Festival known to be Africa's biggest beach festival, that was presented by Eclipse Live and Lagos State. The festival was held at Eko Atlantic. Vanessa Mdee shared the stage with some of the continent's top artists like Burna Boy, Awilo Longomba, M.I, Waje, Sean Tizzle, Victoria Kimani, Efya, Skales and many more. Vanessa Mdee was the only artist representing Tanzania at the festival.
Vanessa Mdee is up for three Kilimanjaro Music Awards[10] i.e. Female Artist of the Year, Female Entertainer of the Year and Afropop Song of the Year. The awards are set to take place 15 June 2015 in Dar es Salaam, Tanzania. Vanessa Mdee's also nominated for Favorite Female Artist at Tanzania's People's Choice Awards Tuzo Za Watu that take place on 22 May 2015 in Dar es Salaam.
May 13, 2015 Vanessa Mdee joined forces with arguably seven of Africa’s most popular songstresses for ONE[11] mission and ONE mission only – Celebrating girl power! The campaign is calling on world leaders to put girls and women in the forefront in 2015. This is the year when the new development goals will be set by world leaders at the United Nations. Apart from Vanessa Mdee, the other artists are Victoria Kimani (Kenya), Judith Sephuma (South Africa), Waje (Nigeria), Arielle T (Gabon), Gabriela (Mozambique), Yemi Alade (Nigeria), Selomor Mtukudzi (Zimbabwe) and Blessing Nwafor. The song promotes the Poverty is Sexist Campaign globally, and will be officially launched in Nigeria, Mozambique, Zimbabwe and South Africa during the World Economic Forum for Africa and the African Union Heads of State Summit. The song is released in conjunction with a report by ONE titled, "Poverty is Sexist: Why girls and women must be at the heart of the fight to end extreme poverty". The report shows how unlocking women’s economic potential could improve the lives of everyone in society. It also illustrates the structural nature of the social, economic, political and cultural barriers that militate against women and girls. The campaign has a petition which is calling on world leaders to track the fight against inequality and injustice by investing more in women and girls if the world is to end extreme poverty by 2030.
June 23, 2015 Vanessa Mdee took home two KTMA Awards for Female Artist of the Year and Best Female Entertainer.[12] The awards were held in Dar es Salaam, Tanzania – which takes place every year.
Essence[13] a popular US magazine – hadn't shot a cover in Africa since 1978. They decided it was time. They travelled to East Africa and photographed Erykah Badu[14] in Zanzibar, Tanzania and Nairobi, Kenya for the August issue. Vanessa Mdee features in this Essence issue where she opens up about Tanzania, her music, inspiration and many more.[15]

2016: Music, Mombasa Rocks, One Africa Music Fest, Fiesta Tour
The Mombasa Rocks festival was held at the Mombasa Golf Club - Kenya on October 8, 2016. Vanessa Mdee delivering an electrifying performance[16] was among the headliners that featured international singing sensation Chris Brown, Nigeria's Wizkid, Tanzania's Alikiba and others.
Fiesta Tour: Vanessa among other Tanzanian music artists have been touring various cities in the country. Vanessa has performed in Dodoma, Morogoro, Arusha & is set to perform at the finale in Dar es Salaam.

One Africa Music Festival: Vanessa performed live at the Toyota Center - Houston [17] on Saturday, October 22, 2016. This unforgettable night featured Africa’s finest such as Nigerian afrobeats stars 2Face, Banky W, P-Square, Dbanj, Olamide, Flavour, Kcee, Harrysongs, DR Congolese Fally Ipupa, South African duo Mafikizolo, East Africa’s Vanessa Mdee, and many more

BIFU HASWA?: NI KATI YA JUSTIN BIEBER NA FLOYD MAYWEATHER

3:00:00 AM Add Comment

Na Baba Juti
#WatuWaMungu Kuna Urafiki uliokuwa umenona haswa ambao hivi sasa unaonekana kufikia mwisho  baada ya mmoja kuokoka na mwingine kubaki katika Maisha ya kidunia

Floyd Mayweather Jr amesema kuwa hataki mazoea tena hata kidogo na aliyekuwa swahiba wake, JUSTIN BIEBER baada ya kubaini kuwa amemkata.

Kwa Mujibu wa Info ambazo Team Hit Zone tuko nazo, ni kwamba, mbwadidi kubwa limeanza baada ya JUSTIN BIEBER kuonekana kuwa karibu na Mchungaji CARL LENTZ ambaye hivi sasa anasadikiwa kuwa mshauri wake hasa katika Saikolojia

Taarifa zinazidi kumiminika kuwa Mchungaji huyo ambaye anamiliki kanisa la HILL SONG, alimshauri bwana Bieber kuwa mbali na marafiki ambao kwa namna moja anaonekana kwamba hawana manufaa na wanakaa kianasa Zaidi

Aidha kitendo kilichomkwaza Floyd Mayweather Jr, ni baada ya Kusikia kuwa tayari Justin Bieber ameshatengeneza mipaka na yeye, kwa madai kuwa akiwa karibu naye atamrudisha katika anasa hasa katika zile Club za wacheza Utupu, na mengineyo

NI KAREMBO : KUTANA NA MDOGO WAKE BEYONCE (ALIKUWA AMEFICHWA)

2:42:00 AM Add Comment

Na Baba Juti 
#WatuWaMungu hatimaye kuna mwanafamilia mpya katika Familia ya NMastaa Ulimwenguni ambaye ameamua kuchukua Kila kitu katika Mambo yanayotrend ulimwenguni

Mwanafamilia huyu anaitwa KOI MYCHAEL KNOWLES, mtoto mwingine wa Siri wa Baba wa Beyoncé, Mathew Knowles...sijui kama mlikuwa mnafahamu kuhusu hili

KOI ambaye ana miaka 6 kwa hivi sasa, ni mtoto wa Baba wa Beyoncé ambaye amefahamika hivi sasa kwa kuwa katika Siri nzito, na mama yake ambaye anaitwa TAQOYA amekuwa akipambana peke yake kuhakikisha mwanaye anapata maisha Bora bila hata msaada wa Mzee Knowles wala dada zake.

Kilichokuja kumfanya KOI awe kivutio Zaidi, ni kwamba ni Mrembo kupita Kiasi, na anafanana kabisa na Beyoncé na dada zake wengine, lakini kama haitoshi ni mtukutu na mcheshi haswa

Ukiachilia mbali sifa hizo, KOI ameshaanza shule, na yupo katika soko la Mitindo, wakati huo baba yake hajui lolote

Huyu ni mtoto wa Pili wa Siri kutoka kwa Baba wa Beyoncé, baada ya yule wa kiume kufahamika na kusababisha Talaka itolewe hasa kwa mama Yao Beyoncé, na familia kuvurugika hapo.

MNADA BANNER