REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

MAANDALIZI YA MISS UTALII HAYA HAPA

10:59:00 PM Add Comment
VIONGOZI WA BARAZA LA SANAA LA TAIFA (BASATA) WAKIWA KATIKA MKUTANO WA  MAANDALIZI YA FAINALI ZA TAIFA ZA MISS UTALII TANZANIA  NA BODI  YA MISS UTALII TANZANIA 2012/2013 ZITAKAZO FANYIKA HIVI KARIBUNI.


BODI  YA MISS UTALII TANZANIA WAKIWA KATIKA KIKAO CHA PAMOJA NA VIONGOZI WA BARAZA LA UTAMADUNI TANZANIA (BASATA)  WAKIENDELEA NA KIKAO.




WAJUMBE  WA BODI YA MISS UTALII TANZANIA WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA VIONGOZI WA BARAZA LA SANAA TAIFA (BASATA) BAADA YA KIKAO CHA MAANDALIZI YA FAINALI HIZO ZA MISS UTALII 2012/2013.



Wakati kambi ya Miss Utalii Tanzania 2012/2013 ikikaribia kuanza katika Hotel ya Ikondolelo Jijini Dar es salaam, juzi tarehe 14.12.2012 Bodi ya Taifa ya mashindano hayo ilifanya kikao na Serikari kupitia Baraza la Sanaa la Taifa katika ukumbi wa Baraza hilo. Katika kikao hicho ambacho  kilijadili maandalizi ya fainali na mpango mkakati wa fainali za taifa za Miss Utalii Tanzania mwaka huu.

Katika kikao hicho Bodi ya Miss Utalii Tanzania iliwasilisha taarifa ya kukamilika kwa maandalizi kwa Serikali ambapo bodi iliitaarifu Serikali kuwa maandalizi ya fainali hizo yamekamilika kwa asilimia tisini 90% ikiwemo katika maeneo ya kambi na mafunzo, ukumbi, Zawadi, wadhamini,Washiriki, Nk.

Bodi ilibainisha kuwa kwamba jumla ya washiriki sitini (60) wakiwakilisha mikoa yote ya Tanzania na Kanda maalum za vyuo vikuu  watapanda jukwaani kuwania taji la Miss Utalii Tanzania 2012/2013. Pia Bodi ilibainisha kuwa zawadi zitakazo tolewa kwa washindi zimelenga zaidi kuwanufaisha washiriki , jamii zao na taifa. Zawadi hizo ni pamoja na Nafasi za masomo za elimu ya juu, mikataba ya kazi ,Safari za kushiriki mashindano ya Dunia na Kimataifa , Tuzo za heshima za kijamii, kitalii, kitamaduni, urembo na mitindo.

Aidha Bodi ilielezea kuwa imejipanga kuzifanya fainali za Taifa za Miss Utalii Tanzania 2012/2013 kuwa tukio kubwa la pekee Kihistoria na kitamaduni kuwahi kufanyika nchini kabla na baada ya uhuru.  Ambapo wakiwa kambini washiriki watafanya shughuli mbalimbali za kijamii pamoja na kupata mafunzo stadi mbalimbali za maisha , uhamasishaji na utangazaji wa elimu , utalii, utamaduni, uwekezaji,mazingira, michezo na afya.

Nayo Serikali ilipongeza Bodi ya maandilizi ya miss utalii Tanzania kwa mpango mkakati na maandalizi yenye kukidhi na kulenga kupromoti utalii uhamasishaji na utangazaji wa elimu , utamaduni, uwekezaji,mazingira, michezo na afya.Akizungumza katika mkutano huo Kaimu Katibu mtendaji wa Baraza la sanaa la Taifda Ndugu. Malimi Mashili alipongeza mpangilio wa zawadi na tuzo kwa washindi pamoja na washiriki ambapo tofauti na mashindano mengine ambapo zawadi zao huwa ni mzigo kwa washiriki na wakati mwingine zisizo na manufaa kwa jamii wala  Taifa."Miss utalii Tanzania katika kipindi cha miaka mitano tangu kuanzishwa kwake  imekuwa ni fahari ya Taifa na kielelezo cha utamaduni wa Tanzania kitaifa na kimafaifa ambapo limekuwa ndilo shindano pekee linalo la tangaza nchi yetu kwa kushinda mataji ya Dunia na kimataifa kila mnapo shiriki". Aidha akiahirisha mkutano huo aliihakikishia Bodi kuwa Serikali inatambua juhudi na mchango wa waandaaji na mashindano ya miss utalii tanzania katika kukuza utalii, utamaduni na michezo nchini na kwamba Serikali  sikuzote ipo bega kwa bega na waandaaji wa mashindano haya katika kuhakikisha kwamba hayakwami na iko tayari kusaidia kwa hali na mali  ili yaweze kufanyika kwa kiwango cha kimataifa.

Imetolewa na,
Mratibu Matukio,
Hamis .A. Mkongowale

TASWIRA YA ISAAC KILALE LEO

9:58:00 AM Add Comment

PATRICK LIEWIG
 
 
TAREHE YA KUZALIWA;-
04.10.1950
UMRI;-
62
UTAIFA;-
UFARANSA
WASTANI WA KUONGOZA TIMU KAMA KOCHA MKUU;-
 
1,97 Years
WASTANI WA KUFANIKIWA AMA KOCHA :
30,77 % Wins
38,46 % Draw
30,77 % Loss
MFUMO WA UCHEZAJI ANAOUTUMIA SANA:
 
                                                                                      
 
FOOTBALL DEGREES (Elimu yake katika soka)
 
KOCHA MKUU – CHAMA CHA SOKA CHA UFARANSA
1)    High Level Diploma for Professional Team and   High Level Diploma (3rd Degree) for Professional Academy delivered by the French National Technical Director : Gérard HOUILLER
2)    Training Courses for PHYSICAL COACH
June 1999- University of Dijon - Professor COMETTI
 
UZOEFU KATIKA KAZI YA UKOCHA
 
1)    KUTOKA 1989-1999 : PARIS SAINT GERMAIN
Kocha mkuu wa kituo cha soka cha PARIS SAINT GERMAIN(PSG)
Katika kipindi chote alifanya kazi kwa ushirikiano na timu ya wakubwa (1989-1999)
Majumu yake katika timu ya PSG:  
   Timu zote za umri chini ya miaka 16,18 na 20 ( katika kombe la French Junior) Gambardella
   Ifuatayo ni orodha ya majina ya makocha wakuu wa timu ya wakubwa aliofanya nao kazi huku yeye akiwa kocha wa timu za vijana;-
1989 - 1990:  kocha mkuu: Tomislav IVIC
            1990 - 1991: kocha mkuu: Henri MICHEL
         1991 - 1994: kocha mkuu : Artur JORGE
         1994 - 1996 : kocha mkuu: Luis FERNANDEZ
         1996 - 1998: kocha mkuu: Ricardo GOMEZ
1998 - 1999: kocha mkuu : Alain GIRESSE
Na kutoka Oct 1998: Kocha mkuu Philippe BERGEROO
 
2)    1999 - 2001: AL WAHDA CLUB (ABU DHABI – FALME ZA KIARABU)
Ø  KOCHA MKUU WA Timu za vijana chini ya miaka18 na 21
Akiwa na timu hizi aliweza kuchukua la kombe la National League na National.
 
3)    2001 - 2003  :CHAMA CHA SOKA CHA FALME KIARABU.
Kocha mkuu wa timu zote za taifa kwa vijana.
  Akiwa anafanya kazi na chama cha soka cha falme hizi za kiarabu alifanya kazi kwa mgawanyo uuatao;-
           (a) 2001 - 2002: kocha mkuu wa timu ya umri chini ya miaka 20
           (b)  January 2003: mwangalizi wa chama cha soka cha falme za kiarabu  katika mashindandano ya kombe la mataifa huru nkwa vijana chini ya miaka 20 nchini BURKINA FASO
            (c)   2002 - 2003: kocha mkuu U20 na pia kocha mkuu timun ya U16 akiwa na Jean Francois JODAR (kocha mkuu wa timu ya taifa)
 
4)    2004 - 2009 : ASEC  MIMOSAS (COTE D’IVOIRE)
             (A)2004–2009: KOCHA MKUU WA TIMU
                i.      Bingwa wa kombe la ligi ya taifa(mwaka 2004–2005–2006)
              ii.      Bingwa wa kombe la taifa(2005 – 2007 – 2008)
            iii.      bingwa wa  Ivorian Super Cup (2005-2007-2008-2009)
              iv.      kwa mara 3amefanikiwa kufika hatua ya robo fainali  kombo la klabu bingwa wa afrika
          v.      kwa mara moja amefanikiwa kufika hatua ya nusu fainali klabu bingwa ya afrika
         vi.      kocha bora wa Cote d’Ivoire (2004-2005 -2006)
      vii.      amewahi kutajwa kama moja wa makocha watatu bora barani afrika  pamoja na kocha wa timu ya taifa ya misri Hassan  shehata na kocha wa AL-AHLY)  katika kuwania nafasi ya kocha bora wa mwaka 2006 (mshindi alikuwakocha wa timu ya taifa ya misri baada ya kuchukua kombe la mataifa huru ya afrika 2006)
 
           (B) kutoka May 2009:
Alipewa majukumu mengine katika timu kama kuunganisha mahusiano na mwenyekiti wa timu,kusimamia na kusimamia ukuaji wa klabu.
 
          (C)June 2009-June 2011 : STADE TUNISIEN: KOCHA MKUU WA TIMU
 
2010 : ½ Finalist National Cup – Third In National League
2011 :  ½ Finalist National Cup – Third in National League
 
          (D) September 2011- June 2012 : CLUB AFRICAIN ( Tunisia )
 
                             i.      mkurugenzi wa ufundi
                             ii.      mkurugenzi mtendaji wa klabu
                       iii.      kocha mkuu wa timu
          
Uzoefu mwingine katika kazi:-
 
1)    February 1994: Alikuwepo katika timu ya kama mtaalamu wa ushauri FC    NANTES

Kocha mkuu: Jean Claude SUAUDEAU
 
2)    June 1995 : mwangalizi wa chama cha soka cha ufaransa katika michuano ya ulaya kwa vijana wa  U17-ufaransa mwaka 1995
 
3)    June 1996 : mtaalamu wa ushauri katika klabu ya SAO PAULO (BRASIL) akiwa na Tele SANTANA (kocha mkuu )

MNADA BANNER