REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

MFUNGWA MREMBO KULIKO WOTE NCHINI KENYA, HATIMAYE KAEMA UKWELI KUHUSU KUMUUA BOYFRIEND WAKE KWA KISU

2:31:00 AM Add Comment

Na Baba Juti  
Kama utakuwa unakumbuka Vizuri, Kipind cha Nyuma, Mwaka 2016, tulikupatia Taarifa kuhusu Binti Mrembo anayetumikia kifungo Cha Maisha Nchini Kenya kwa kosa la Kumuua Boyfriend wake kwa kumchoma kisu mara kdhaa mwilini.

Binti huyu Mrembo ambaye alishinda taji la MISS LANG'ATA PRISONER 2016 nchini Huo, anaitwa RUTH KAMANDE na alimuua boyfriend Wake FARID MOHAMME mwaka 2015 huko nyumbani Kwao BURU BURU

Baada ya kutokusikia lolote kutoka kwake, hatimaye Binti huyu kaweka wazi kuwa ni kweli alimchoma kisu boyfriend wake huyo mpaka kufa, ikiwa ni baada ya kubaini kuwa boyfriend wake huyo alikuwa ni muathirika wa HIV

Akiwa mahakamani hapo jana, Ruth anadai kuwa, alikuta kipimo cha Ukimwi chumbani kwao kikionesha kuwa jamaa yuko HIV POSITIVE ,

Tunamnukuu  
"Farid aliniambia kuwa angeniua mie na yeye kujiua kuliko kujitangaza kuwa ni muathirika wa HIV. Nilimchoma mara kadhaa kwa kutumia kisu cha kukatia vyakula, ambacho kiliangukia kifuani mwangu kutoka mikononi mwake, ikiwa ni baada ya kumzidi nguvu alipotaka kuniua."


MARIAH CAREY: "SIWEZI KUIMBA BILA MKWANJA"

2:11:00 AM Add Comment

Na Hezron Munisi   
Watu wa Mungu hata kama kafulia kimuziki au sauti imekuwa ni ya kuzingua, ila bado hatoi huduma za Bure Bure hata kidogo

Ingawa tafsri ya haraka itakuwa ni kwamba alifanya Masihala, lakini kama hukufahamu, Mariah Carey alitamka hadharani kuwa hawezi kuimba bila malipo ya aina yoyote.

Kauli hiyo ilitokea katika Birthday party ya Bondia Mstaafu mwenye mkwanja mrefu, FLOYD MAYWEATHER JR ambapo alikuwepo pia Muigizaji Jammie Fox aliyemuomba Mariah Carey aimbe japo Kidogo kwa ajili ya kuifanya Bata hiyo iwe na utamu wake.


Kupitia Microphone hiyo hiyo, Mariah Carey akiwa pembeni pia ya Floyd Mayweather Jr alitamka kuwa hawezi kuimba bila kupewa Check ya mkwanja

NAMNUKUU   
"Nipeni Cheque kwanza ndio nitaimba"

AKON ANATAKIWA KULIPA DENI LA ENEO ALILOPANGA

1:52:00 AM Add Comment




Na RICH SAM  
Watu Wa Mungu mambo sio mazuri kwa upande wa Mkali wa Muziki wa Pop Nchini Marekani ambaye asili yake ni SENEGAL, hapa tunamzungumzia AKON

Hit Maker huyu wa DONT MATTER anatakiwa kuilipa kampuni ya GTFM Dolari za kimarekani 164,786.99, pesa ambazo anadaiwa kushindwa kuzilipa ikiwa ni baada ya kupanga katika Jengo lao kwa ajili ya matumizi ya biashara yake

Kwa Mujibu wa Vielelezo kutoka katika Kampuni hiyo, ni kwamba, Akon alienda katika Jengo la EMPIRE STATE (Empire State Building) akiomba kupangishwa Floor ya 66  kwa ajili ya Biashara yake ya masuala ya Fashion kupitia mavazi yake ya ALIAUNE MILANO.

Katika makubaliano yao, Akon alikubali kulipa USD 25,000 kwa mwezi, na alikuwa akilipa vizuri kuanzia JULY 2012 mpaka JULY 2015 ambapo inasemekana aliacha kulipa ghafla.

Kampui husika ikaongeza kuwa, AKON hakuwahi kulipa tena mpaka alipoondoka January 2016 akiwa anadaiwa deni la Takribani miezi saba.

Hata Hivyo, mahakama imebaini kuwa Akon ana makosa katika hilo na anatakiwa kulipa mkwanja anaodaiwa







WIKI HII !! : ABIRIA ASABABISHA NDEGE KUTUA KWA DHARURA , KISA...ANAJAMBA SANA

1:32:00 AM Add Comment

Na Hezron Munisi   
WENGI tunafahamu kuwa kujamba Ni Afya....kwani kuna mtu anapingana na hilo?, maana hata Hospitali, kuna muda Ushuzi wako unahitajika sana ili kujua masuala ya kiafya kwa upande wako

Ndani ya Wiki Hii, kimetokea kituko cha ajabu ambacho kilimfanya kila mmoja aliyekiskia kustaajabu na kujiuliza maswali mengi juu ya tukio hilo.

Abiria mmoja Raia wa Ujerumani ambaye hajafahamika jina mpaka hivi sasa, alisababisha Ndege ya Shirika la TRANSAVIA kutua kwa dharura katikauwanja wa ndege wa VIENNA kutokana na kitendo chake cha kujamba sana akiwa ndani ya ndege

Kwa Mujibu wa taarifa kamili kutoka jeshi la Polisi kutoka Vienna, inasemekana kuwa Binti huyo aliyekuwa na dada yake, alikuwa akijamba ndani ya ndege hiyo inayopiga safari kutoka DUBAI kwenda AMSTERDAM hali iliyosababisha mzozo mkubwa ulioambatana na ugomvi kwa vijana wengine wawili waliokuwa wamekaa pembeni yao wakidai kukereka na tukio hilo

Inasemekana kuwa, Vijana hao walianza kulalamika kuhusu kitendo cha Binti huyo kuachia ushuzi mara kwa mara bila kutulia na kusababisha harufu nzito iliyowasumbua, lakini bado hakukuwa na heshima wala nidhamu ya kuwasikiliza

Pia Rubani wa Ndege hiyo alitoa Onyo kuhusu Tukio hilo na ugomvi huo lakini bado hali haikuwa shwari , na ndipo alipoamua kutua kwa dharura huku polisi wakiwa wameshafika eneo la tukio.

Hata hivyo, Shirika hilo linadai kuwa, liliwaandalia njia nyingine ya usafiri katika ndege yao ambayo ingeondoka kesho yake

Kwa upande mwingine, Ndugu hao wawili wamepanga kufungua mashtaka dhidi ya shirika hilo la ndege.

KARUDI KUNDINI !!: HATIMAYE HITMAKER WA "CHOKOZA", MARYA, NAYE AMEAMUA KUOKOKA

1:12:00 AM Add Comment

Na Rich Sam  
#WatuWaMungu Halelluyaaaaa !
Hii ni kutokana na namna ambavyo idadi ya kondoo wanaoamua kurudi katika Kundi inavyozidi kuongezeka kila kukicha na hii inaashiria kuwa upako umeanza kutawala mioyo ya Watu mbali mbali maarufu.

Nchini Kenya, kama utakuwa unaufahamu vema mkwaju wa CHOKOZA uliomuhusisha Bibie Avril pamoja na Marya, basi itabidi uendelee kuuenjoy maana nadhani itakuwa ndiyo last HITSONG ya Muziki wa kidunia kutoka kwa MARYA.

Bibie huyo ambaye pia ni Ex wa Colonel Mustafa, ameamua kubwaga manyanga ya masuala ya kidunia na kuamua kumrudia mungu ...yaani kuokoka.

Kama utakuwa unatembea sana katika masuala ya mitandao ya kijamii, utakuwa umeshakutana na video Clip ambayo inamuonesha Marya akiwa katika kanisa la Mchungaji maarufu Nchini Kenya, Pastor Burale, na kukiri kuwa ameamua kumrudia mwenyezi mungu na huo ni uamuzi wake

Hii imetokea ikiwa ni baada ya Juma moja tangu amani atangaze rasmi kuwa yeye ameokoka bila kificho na hivi sasa anamtumikia mungu moja kwa moja na wala hayuko kibiashara

Kama utakuwa unakumbuka vizuri, awali Marya aliwahi kukumbana na kashfa ya Usagaji, kisha akatiwa Dosari na kuvunjika kwa mapenzi yake na Colonel Mustafa huku akirushiwa tuhuma nyingi na Ex wake huyo, na hivi sasa tayari yupo katika Maisha yake ya kifamilia na boyfriend wake mpya

NI MCHEPUKO?: TREY SONGZ KAFUNGULIWA MASHTAKA KWA KOSA LA KUMPIGA MWANAMKE USONI...KISA CHAKE SASA !!!!

1:47:00 AM Add Comment

Na Hezron Munisi  
INAWEZEKANA ukawa ni mmoja kati ya Watu ambao mnachepuka sana, na kwa bahati kuzingatia "usiri" wa uchepukaji wako, ukawa hutaki kila mtu ajue kuwa unatabia hiyo, lakini cha ajabu ni pale ambapo wivu wako kwa mchepuko wako ndiyo unaokuja kukuumbua bila kificho

Wengi tunamfahamu vizuri TREY SONGZ ambaye husifika vyema kwa kuwa M-QUTE kwa watoto wa kike kuanzia sauti yake mpaka muonekano wake, lakini mkae mkijua kuwa MCHEPUKO wake unamfikisha Mahakamani muda wowote

Taarifa za uhakika kutoka kwa bibie huyo ambaye hajawekwa hadharani mpaka hivi sasa, ni kwamba anamshtaki Trey Songz kwa kosa la kumpiga Usoni na kumjeruhi Jumamosi ya Wiki iliyopita katika Party La Los Angels Huko Marekani kunako Usiku wa ALL STARS WEEKEND.


Madam huyo anadai kuwa, Trey Songz alimfanyia Unyambilisi huo baada ya kumuona akiongea na mwanaume mwingine siku ya tukio, ambapo mwanzo walianza kwa kuzozana kuhusu yeye kuongea na mwanaume huyo

Baada ya ubishi kukolea, Trey alimzibua binti huyo Usoni na sababu kubwa ambayo mwanamke huyo kaitaja, ni Wivu maana ni watu ambao wana uhusiano wa kimapenzi

MKATO WA ROCK CITY: PIDDE MONTANA - "BAADAE"

1:28:00 AM Add Comment
   
Na Baba Juti  
ROCK CITY imezidi kudhihirisha kuwa kuna hazina kubwa ya vipaji ambavyo vingine tayari vimeshafanikiwa kufika mahali pazuri, lakini vingine bado vimejificha

Kupitia MIKATO YA ROCK CITY, leo tunamshusha mkoja kati ya vijana ambao pia wanafanya Vizuri katika muziki wa kizazi Kipya, PIDDE MONTANAH na Video yake inayoitwa BAADAYE.

Video ilikuwa Released officailly June 7 Mwaka 2017 kupitia Mtandao wa Youtube na mpaka hii leo, ina Views TISA tu.

What Do You Say to This?

MDOGO WAKE REMY MA AWEKWA HATIANI KWA KUPIGA RISASI

1:11:00 AM Add Comment
   
Na Rich Sam   
Wanaopenda Muziki wa HIP HOP watakuwa wanamfahamu vyema Kabisa Remy ma, moja kati ya Female Rappers wanaofanya vizuri sana na hata kusifika kupitia utamu wa Flow zake ambazo huwa anazitumia pindi anapoachia zigo

Lakini kuna Taarifa mbaya hasa kwa Remy Ma mwenyewe ikiwa ni baada ya Mdogo wake wa kike mwenye miaka 27, REMEESHA kukamatwa kwa kosa la kupiga Risasi katika Gari ambalo lilikuwa limebeba wanawake Watatu ndani yake

Kwa mujibu wa taarifa kutoka katika Jeshi la Polisi Nchini Marekani inadaiwa kuwa Tukio hilo lilifanyika Ijumaa ya juma lililopita, ambapo Rameesha ambaye ni mdogo wake na Rapper Remy Ma alifyatua Risasi katika Gari hilo huku wengi wakiwa hawajui sababu, hali iliyosababisha mtu mmoja kujeruhiwa.

Mmoja wa maafisa wa polisi anataarifu kuwa, baada ya Wanawake hao watatu waliokuwa katika gari iliyofyatuliwa Risasi kadhaa, walipanic na kuondoa gari , hali iliyosababisha mwanamke mmoja kugongwa na kujeruhiwa na Risasi

Baada ya Polisi kupata Taarifa hizo, walimkamata binti huyo anayefanana kabisa na Remy Ma siku ya Jumatatu ya Wiki hii nyumbani kwao.

Familia ilijitahidi kuweka dhamana kwa Rameesha, lakini ilishindikana kutokana na mambo mawili makubwa, MOJA ikiwa ni kuhofia kuhatarisha maisha ya Wahusika endapo angeachiwa huru, na MBILI ni kwamba, Rameesha awali alikuwa  na kesi ya Kumdhuru mtu na silaha kali, na kupiga risasi kadhaa ndani ya jiji ikiwemo kumtishia mtu kwa Bastola


BYE-BYE CHRIS BROWN : HATIMAYE KARRUECHE TRAN KAWEKA WAZI MAHUSIANO YAKE MAPYA

1:15:00 AM Add Comment

Na Hezron Munisi   
WAKATI Chris Brown akiendelea kupuyanga na kusaka furaha mpya ya mpenzi mpya huku akikumbana na stress za hapa na pale katika maisha ya kawaida, waliokuwa wapenzi wake bado wanazidi kujinyakulia furaha zao

Awali ilikuja kubainika kuwa hatimaye Rihanna hivi sasa anayo mahusiano yake mapya na Kijana wa Kiarabu ambaye anamiliki mkwanja mzito na mahaba hivi sasa ni Mazito Kweli kweli, na safari hii imekuwa ni zamu ya Ex mwingine wa Chris Brown, Karrueche Tran

Bibie huyo ambaye alikuwa ni mguu nje mguu ndani kwa Hitmaker huyo wa PILLS & AUTOMOBILES, hivi sasa yuko katika mahusiano ya kimapenzi na mcheza kikapu maarufu nchini Marekani VICTOR CRUZ

Awali kulikuwa na fununu kuwa wawili hao wapo katika mahusiano ya kimapenzi lakini ilikuwa haijawekwa wazi hata kidogo, ila safari hii, kila kitu kiko open kuwa waili hao wapo pamoja kihisia

Ingawa Karrueche bado anaficha ficha, lakini ilifikia hatua akamsifia na kusema ni moja kati ya vijana wacheshi wachapa kazi, smart na watamu katika maisha yake

Tunamnukuu
" Yah, tumekuwa tukionekana pamoja ikiwemo kufahamiana vizuri. Kipaumbele changu kikubwa huwa ni Kazi, ila ni kijana mtanashati, kijana mtamu na ni mwema. Tunaenda taratiibu, lakini ...ni kweli tunamahusiano ya kimapenzi"


MAHABA KATIKA UTHIBITISHO : BIRDMAN AMESEMA ANAMPENDA TONI BRAXTON MPAKA KIFO

1:01:00 AM Add Comment

Na Rich Sam    
Hivi sasa tunaanza kuamini kabisa ule mstari wa ROMA unaosema "Hata Gangstar Hulegeza Macho ukimpatia Cotton Buds" mana hili lilotamkwa ni haki liwekwe katika kumbu kumbu ya maisha msanii huyu wa kiume ambaye wengi walikuwa hawajui nani atamlainisha mpaka kiasi Hicho

Bryan Williams a.k.a BIRDMAN ni moja kati ya Rappers ambao wamekuwa na Lawama nyingi kutoka kwa akina dada mbali mbali kuwa sio mwanaume wa kutulia na mwanamke hata siku moja, kitu ambacho kilidhirishwa pia na sekeseke lake na Keyshia Cole baada ya kufumaniwa na moja ya wasaidizi wake wa ndani

Lakini baada ya muda kadhaa kukawa na taarifa mbali mbali kuwa Hivi sasa Birdman kaamua kupumzika kwa Msanii TONI BRAXTON, kila jicho lilikuwa kwa wawili hao kujua muafaka wao, lakini mambo inaonekana yako supa safari hii

Baada ya kuwepo kwa uvumi wa Ndoa za kisiri siri na hata Toni Braxton kukiri kuwa hivi sasa yeye ni sehemu ya Birdman ikiwa ni baada ya kuvalishwa pete ya uchumba, hatimaye Birdman mwenyewe kathibitisha kuwa Piga ua, atakufa na Toni Braxton na yuko tayari.

Akithibitisha hilo kupitia moja ya Interview aliyoifanya hapo jana, Birdman ambaye jana pia ilikuwa ni Birthday yake, amesema kuwa Toni Braxton ni Maisha yake kwa hivi sasa.

Tunamnukuu
"T, huyu ni Msichana wangu, Rafiki yangu, familia yangu...yaani huyo ni Pendo langu, Mwanajeshi wangu, Maisha yangu..ndiyo ni maisha yangu na ninapenda mpaka kifo"


21ST FEBRUARY: INTERNATIONAL MOTHER LANGUAGE DAY

12:09:00 AM Add Comment

DAYS OF THE YEAR  
Announced by UNESCO in 1999, International Mother Language Day celebrates cultural diversity and commemorates the “language martyr” students of 1952 Bangladesh. These students are honored by the encouragement of multiculturalism and the promotion of protective measures for endangered languages. 

It’s hard to imagine the challenges faced by students who have been ordered to learn in a foreign language, as without linguistic inclusion, there is no equal access to education. Current International Mother Language Day events include multicultural festivals which promote the hearing of all voices, and display social cohesion, cultural awareness, and tolerance. The unique nuances and subtleties of linguistic communication which connect individuals to culture and personal identity are valued and encouraged.

In the words of Nelson Mandela, “If you talk to a man in a language he understands, that goes to his head. If you talk to him in his language, that goes to his heart.”

NYONGA ! WASHA ! VUTA! NISUKUMIE !! : THE GAME NA CHRIS BROWN WALIVYOWAKWAZA WATU KATIKA NBA ALL STARS

2:17:00 AM Add Comment


Na Baba Juti 
Inaweza ikawa ni Sahihi kwa upande wa watu wengine lakini haiwezi kuwa sahihi kwa upande wa watu wengine hasa wenye familia kwa kitendo ambacho Rapper The Game na Chris |Brown ndani ya Weekend Hii

Kila mtu anafahamu kuwa kulikuwa na matukio tofauti tofauti ya Basketball ambapo  kulikuwa na tukio la NBA CELEBRITY ALL STAR GAME, ambapo watu maarufu pamoja na familia zao kwa baadhi, walikuwepo

Sasa katika Mchuano huo ambao ulihusisha team ya Snoop Dogg na Team ya 2 Chainz, The Game pamoja na Chris Brown walionekana wakipeana kipisi cha Bangi katika eneo la tukio, yaani katika uwanja wa mpira wa kikapu huku wakijificha kiaina, pasipo kujali kuwa kuna watu wana familia zao mle ndani na hasa watoto

wakiwa hawajui kabisa kuwa kuna kamera zinawatazama, wawili hao walianza kunogewa na kuendelea kuvuta huku mechi ikiendelea, kitu ambacho kilitafsiriwa tofauti na baadhi ya watu waliowaona

Katika Team ya Snoop alikuwemo Chris Brown, XXL Freshman Kamaiyah, Snap Dogg, Hitman Holla, Joe Moses, K Camp, David Banner, Daylyt, TDot IllDude na kwenye timu ya 2 Chainz, walihusika Quavo, Machine Gun Kelly, Wale, YFN Lucci, Jadakiss, Skooly, Trinidad James, Young M.A, Lil Bibby, Key Glock, Trojan , Lil Dicky, Mozzy, Short Dawg and Young Dolph.

UKISTAAJABU YA MUSA !!! : HUYU NDIYE RAPPER WA KIKE AMBAYE HUINGIA BOOTH AKIWA MTUPU

1:30:00 AM Add Comment

Na Hezron Munisi 
Wakubwa wa kazi tusichukuliane poa mjue, kila mtu anayo Style yake ya kufanya kazi na hata mood yake ya kufanya kazi, kwa hiyo hata huyu tumuache kama alivyo

Leo kama hamjawahi kufahamu, tunawakutanisha na huyu rapper wa Kike ambaye huingia Booth kurekodi Mikwaju yake akiwa Mtupu, yaani akiwa kasaula mavazi na kubaki akiwa mtupu

Bibie huyu anaitwa INDIA WESTBROOK a.k.a India Love ambaye aliupata umaarufu mkubwa kupitia kupost picha zake za Utupu kunako Mitandao ya kijamii hasa Istagram, amekuwa na utaratibu huo ambao umekuwa ukiwashtua producers mbali mbali ambao hufanya nao kazi kutokana na utaratibu wake huo.

Pia inasemekana kuwa INDIA LOVE ambaye ana miaka 21 ambaye hivi sasa anafanya kujikongoja na track yake ya LOCO ambayo kamshirikisha WILL.I.AM wa Black Eyed Peas, amekuwa akiwapa wakati mgumu sana hasa Producers ambao wako tayari kufanya naye kazi lakini hawako tayari kumuona akiingia katika mazingira yao akiwa Mtupu

Kwa upande wake, India WestBrook maarufu kama India Love amesema yeye ndiyo utaratibu wake, maana hupenda kufanya kazi akiwa huru kila sehemu na wala hana dhamira ya kuwakosea heshima Producers wake

Kama ulikuwa hufahamu pia, bibie huyu ameshawahi kuwa na mahusiano na Watu maarufu akiwemo RICK ROSS, DRAKE pamoja na THE GAME

TIZAMA VIDEO YAKE

MAKUBWA !!!: KUTANA NA "JANGA " LINGINE KWA MSANII R.KELLY UKIACHILIA MBALI YALE YA UBAKAJI

1:04:00 AM Add Comment

Na Rich Sam 
#WatuWaMungu Huenda pia huu ukawa ni mwaka mgumu kidogo kwa mkongwe mwenye heshima kubwa katika Muziki wa Taratibu yaani R&B, R Kelly kutokana na hiki kingine ambacho kimemkuta

Baada ya kuandamwa na kashfa ya kubaka, kulawiti na kuteka na kufanya mapenzi na mabinti wenye Umri mdogo, safari hii pia kuna taarifa kuwa Mjengo wa Hitmaker huyo wa Track ya STORM IS OVER unaweza kupigwa mnada muda wowote kuanzia sasa

Taarifa kamili ambazo pia ni za uhakika zinadai kuwa, Mjengo huo ambao ulikuwa ukitumika katika matukio hayo ya ki-ngono na udhalilishaji bado una deni la nyuma ambalo ni USD 23,000 sawa na Tsh 52,785,000  ambapo Kodi ya mwezi kwenye jumba hilo ni USD 11,542 sawa na Tsh 26,488,890

Kutokana na sababu za kiuchunguzi, ilimbidi R.Kelly atolewe katika Nyumba hiyo kwa muda ili kufanya taratibu zakiusalama kuthibitisha kinachotuhumiwa.

Hata hivyo, Mhusika wa Mjengo huo aliamua kutoa Notice ya kumtaka R. Kelly aondoke katika nyumba hiyo ambayo iko GEORGIA, Marekani huku kukiwa na deni hilo, na hivi sasa "Father House" anataka kufungua mashtaka ya kulipwa Mpunga wake

FEBRUARY 19TH- INTERNATIONAL TUG-WAR GAMES

12:34:00 AM Add Comment

DAYS OF THE YEAR 
One of the simplest of sports, dating back to ownership disputes over food and clothing, the history disappears into legend with the Sun and Moon wrestling over light and darkness.

Most cultures have references to competitions of strength that involve pulling in opposite directions which can be found on stone carvings, in ancient texts and legends. Vikings used animal skins stretched across a fire pit, if any more incentive to pull were required. When tall ships were common on the seas a ‘tug ‘o’ war’ was a common way for sailors to show their prowess with heavy rigging.
Dropped from the Olympic Games in 1920, Tug of War still remains a World wide sport and many nations have their own governing bodies. Aside from formal competitions ‘pulls’ feature at many fairs and festivals. Spectators are encouraged to cheer on their favourite side. Join in Tug-of-War 


Day by organising your own event, or getting involved in another!
Tug-of-war is a competitive sport that takes place around the world and has a long and ancient history. Two teams hold each end of a large rope and attempt to pull the other towards them in order to win. Contests often take place over bodies of water or muddy areas so that the losing team suffers the indignity of falling in, which is preferable to the Viking version of tug-of-war when teams competed over a pit of fire. The number of people taking part can vary from just a few to a large crowd, with the world record for a single tug-of-war standing at 1,574 participants. It is not surprising that such a popular event has its own annual day; Tug-of-War Day. Cries of ‘heave’ are heard around the world on a day when numerous matches take place, giving a chance to take part or cheer on this timeless team game.

MASHABIKI WA NICKI MINAJ, MANATA KUJUA ALIPO MSANII WENU?

1:51:00 AM Add Comment

Na Hezron Munis 
MASHABIKI Wengi sana wa Rapper Nicki Minaj wamekuwa wakijiuliza ni wapi ambako Mpendwa wao aliko maana ni kama wako katika sintofahamu moja ndefu sana.

Hii Pia ilitokana na kutokuonekana akipost chochote katika instagram account  yake na post yake aliyopost DECEMBER 30. Sio Hilo tu, Nicki Minaj pia hajaonekana katika matukio mbali mbali ya kiburudani kwa muda sasa, kitu ambacho kimewafanya wengi wajiulize ni kipi ambacho kinaendelea kwa bibie huyu

Ukiachilia mbali hayo yote, pia kuwepo kwa taarifa za chini chini kuwa Nicki Minaj na Boyfriend wake Nas wametemana, zilizwafanya wengi wahisi kuwa huenda Nicki Minaj kajiweka mbali maana anayeonekana mara kwa mara ni NAS tu

Sasa, kwa Mujibu wa Taarifa ambazo zimepatikana mpaka hivi sasa, ni kwamba Nicki Minaj yupo MIAMI akijishughulisha na Album yake mpya ambayo anatarajiwa kuitoa hivi karibuni, ndio maana kaamua kuweka kambi huko na kutokuonekana katika masuala ya mitandao

Pia inasemekana kuwa, Hitmaker huyu wa STAR SHIP hakutaka kabisa usumbufu wa aina yeyote, na amekuwaa akialika watu wachache sana katika maeneo yake hasa Lil Wayne na Drake ambao asilimia kubwa wako kikazi zaidi

IGGY AZALEA- KATIKA VALENTINE'S DAY TOENI ZAWADI YA KADI NA VAJAJA"

1:09:00 AM Add Comment

Na Rich Sam 
#WatuWaMungu Valentine's Day Ndo hiyooo, inakuja, na hapa tusidanganyane kabisa, wengi tayari mmeshajiandaa kwa ajili ya zawadi mbali mbali kwa wapenzi wenu ama wale ambao mna upendo nao.

Sijui kama ni Fikra zake, ama alijibu tu kwa sababu aliulizwa, lakini IGGY AZALEA yeye binafdsi alitoa ushauri kwa wale wanawake wote ambao wanajiandaa kutoa zawadi kwa wenzi wao, hasa wapenzi wao ama waume zao katika Siku ya Valentines

Rapper huyo na Hitmaker wa Track ya FANCY na nyinginezo kadha wa kadha, alipoulizwa kuhusu zawadi ya kutoa katika Siku ya Valentines hasa kwa wanawake kwenda kwa wanaume , ni CARD na VAJAJA, yaani Tendo la Ndoa

Na hiyo ilikuwa ni baada ya kuulizwa na moja kati ya Mapaparazi ambao walikuwa wakihitaji kufahamu mambo kadhaa kutoka kwake

09TH FEBRUARY 2018 : TOOTHACHE DAY

12:56:00 AM Add Comment

DAYS OF THE YEAR 
Toothaches are no fun, and so you will no doubt be surprised to learn that Toothache Day exists. Don’t be alarmed, though. This day is certainly not about celebrating the dreaded toothache. No way! Instead, Toothache Day is actually more about education and awareness and helping people learn how to prevent them happening to begin with and how best to make them go away, and quick!

It is so important that we learn how to take care of our teeth and not only get rid of nasty aches but also stop them coming back or turning into something more serious, and Toothache Day is a great opportunity to promote and celebrate health, share knowledge and fill your brain with info and facts in a fun and silly way. One thing is for sure though, there will be no sugary candy or soda involved!

SIFUTI KAULI !!! : BABA YAKE BEYONCE AMESEMA ANA USHAHIDI KUWA KAMA BEYONCE ANGEKUWA NA NGOZI NYEUSI (DARK SKIN) ASINGETOBOA KWENYE GAME

1:49:00 AM Add Comment

Na Hezron Munis  
#WatuWaMungu sijui kama mnakubaliana na hili jambo lakini kama ni mfuatiliaji Mzuri wa Maisha ya Watu wote katika mataifa mbali mbali hapa  Duniani, utakuwa unafahamu vizuri hiki ambacho kinalalamikiwa na baba yake Beyonce

Mzee Mathew Knowles ambaye hivi sasa ni Proffessor wa chuo cha TEXAS SOUTHER Nchini Marekani, awali alikaririwa akisema kuwa, Kama Beyonce ambaye ni mtoto wake angekuwa na NGOZI Nyeusi yaani DARK SKIN, basi asingetoboa katika Level aliyo nayo sasa hivi

Kauli ya Mathew Knowles ilikuwa ikimaanisha kuwa, katika Platfom ya Muziki Nchini Marekani kuanzia baadhi ya Radio na Music Labels, kumekuwa na ubaguzi wa Rangi kiasi kwamba wenye Ngozi Nyeusi hawawezi kupewa Support

Katika kauli hiyo aliongeza kuwa, Radio Nyingi zinzopiga Pop, zimekuwa zikideal na kuwafanya wenye Ngzi nyeupe watoboe, na sio wengine.

Baada ya kauli hiyo kuzagaa, baadhi ya watu walianza kumkosoa Mzee huyu wakisema kuwa kauli yake inalenga kuchonganisha Wasanii Weusi na Wadau wa Muziki Nchini humo, lakini mapema siku ya jana, Mzee Mathew alidai kuwa kamwe, hatokubaliana na wadau ha

Mathew aliongeza kuwa, ana ushuhuda wa Vitu vingi sana ukizingatia kuwa ameshakuwa katika Industry kwa Muda Mrefu, hivyo watu wasijitetee

#InstaCop : "USINUNUE CD AMBAYO HAINA STICKER YA TRA"-VANESSA MDEE

12:48:00 AM Add Comment

Na INSTACOP-Lady Menah  
WATANZANIA wanaendelea kuonesha Support ya dhati kwa jitihada za "Binti Pesa" Vanessa Mdee a.k.a "Vee Money" hasa katika Ununuzi wa album yake ya MONEY MONDAYS, kitu ambacho hawezi kuacha kujivunia siku zote

Mapema Leo Hii, Vanessa amewashukuru watanzania kwa sababu ndani ya Mwezi mmoja ameuza Nakala zaidi ya 4000 kitu ambacho kibongo  bongo kwa hivi sasa, sio rahisi kufanyika sana, na bado anaendelea kuzichanga pesa zake hasa kwa kuwasogezea karibu mashabiki wake

Vanessa Mdee ambaye hivi sasa yuko Visiwani Zanzibar kwa ajili ya Biashara yake hiyo ya Album yake huku akiwa na malengo ya kuuza mpaka Nakala 10,000 kabla mezi haujaisha, amewapa angalizo mashabiki wake ambao wananunua album yake kuwa, wasinunue CD ambazo hazina STIKER ya TRA

Kwa mantiki yake, ni kwamba, usiingizwe chaka kwa kununua CD ambayo ni FEKI ama Haijahalalishwa na VANESSA MDEE kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA)

Tunamnukuu   
"Namshukuru Mungu tumeshauza nakala zaidi ya elfu nne za CD ya #MoneyMondaysTheAlbum kwa sasa tupo Zanzibar kuendelea na mauzo. Asanteni Sana kwa support yenu. Let’s get to 10,000 copies in less than a month. Usinunue CD ya #moneymondays isiyokuwa na sticker ya TRA."

IMEFICHUKA !!! : LUPITA NYONG'O KAANGUKIA KWA MUIGIZAJI MWENZAKE?

12:33:00 AM Add Comment

Na Rich Sam  
#WatuWaMungu kuna fununu ambazo zinaaminika kuwa Muigizaji Kutoka Hollywood ambaye asili yake ni Nchini Kenya, LUPITA NYONG'O amekuwa akitinduana na muigizaji mwenzake wa kiume kutoka huko huko Hollywood kwa muda sasa.

Waungwana ambao wanajua kuzifukunyua wanadai kuwa, Lupita na Michael B. Jordan ambao wote wamehusika katika Movie ya BLACK PANTHER wamekuwa katika mahusiano ya kimapenzi kwa Siri sana, na kwa hivi sasa taratiibu wanaanza kuonesha dalili za uwepo wa mahaba yao

Kwa mujibu wa Watu wao wa Karibu, wamedai kuwa Michael B. Jordan amekuwa na hisia za kimapenzi juu ya Lupita Tangu zamani tu, lakini kumekuwa na Usiri wa Ukaribu wa wawili hao maana mambo yao kama hawataki yafahamike

Katika kukazia zaidi, mmoja wa marafiki wa Lupita alidai kuwa, hata kufanikiwa katika Scenes zilizowahusisha wawili hao, ni kwa sababu wapo katika Mahusiano ya kimapenzi

Tunanukuu  
"Vipande vingi vilifanikiwa kwa sababu kila mmoja ana hisia za kimahaba na mwenzake. Na pia inaonesha wanapendana kwa dhati sana, ingawa ni kweli wawili hao wameamua kufanya siri kubwa, lakini hisia zao zinaanza kuonekana hadharani taratibu"

DAKA HII FASTA: MASHABIKI WA AMBER LULU KUNA HILI KWA AJILI YENU !!!!

12:16:00 AM Add Comment

Na INSTACOP- Lady Menah 
TUNAFAHAMU vema kabisa kuwa wasanii wengi nchini Tanzania safari hii wameamua kujitanua kimataifa zaidi ili kuweza kuukuza Muziki wao na kuhakikisha unaenea maeneo yote hasa kimataifa

Ingawa awali, wengi walilkuwa hawana upeo wakufanikisha hilo, ingawa wachache tayari walikuwa wameshaanza kuonesha jitihada za kujitangaza kimataifa na kuzieneza kazi zao kimataifa

Baada ya kuona wasanii kadhaa kutoka Nchini Tanzania wakianza kuuza kazi zao kwa njia ya mtandao, mfano Diamond Platnumz, AY, Mwana Fa, Vanessa Mdee, na wengineo, hatimaye Mwingine ambaye wengi hawakutarajia kama angefanya hivyo, naye tayari amejitokeza.

AMBER LULU, wengi tulimfahamu kama Video Vixen, Socialite na hatimaye kuingia Rasmi katika Muziki wa kizazi kipya, na hivi sasa ameamua kuonesha "u-serious" katika hilo na kuamua kupeleka kazi zake katika mtandao mkubwa kimataifa-I TUNE

Bibie huyo ambaye ni hitmaker wa Mkwaju wa WATAKOMA, ametoa tamko rasmi kuwa kazi zake zote hivi sasa, zitakuwa zikipatikana "iTune" kwa hiyo wale mashabiki wake nyote, mnaweza kuhamia huko hivi sasa

 Tunamnukuu  
"Rasmi kazi zangu zote utazipata Itunes .Fans go enjoy good music"

08TH FEBRUARY 2018: LAUGH AND GET RICH DAY

12:05:00 AM 1 Comment

DAYS OF THE YEAR  
Oh good, you’re laughing already! I know you think that it is a silly excuse to have a holiday but think about it! Laughing helps in everything. It even helps in tediously dry and boring moments. Don’t tell me you haven’t had the rogue giggle attack in a moment of seriousness! Have you ever had to excuse yourself just to leave the room before that giggle attack takes over? Heaven help you if your friend is in the room. You do know that a friend in close proximity increases the potency of those giggles, right?

History of Laugh and Get Rich Day
The creation of Laugh and Get Rich Day had only your best interest at heart. The day is about encouraging laughter so that the effects can be felt across all areas of life. Science has proven that laughter actually can be medicine. Those who are in pain or suffering from chronic illness can increase the production of endorphins. When the body releases endorphins the result is a lift in mood and a decrease in pain. This is the basis for what might be accomplished on Laugh and Get Rich Day
.
How to Celebrate Laugh and Get Rich Day
Is the pace and stress of life getting you down? Feeling like there isn’t time left in the day to get all of the things on your to-do list done? You are not alone! Take a moment, you can do it, and see how to celebrate Laugh and Get Rich Day. Just a chuckle isn’t going to cut it, for this holiday we need that deep laugh to come out. What can make you laugh so hard you get tears in your eyes? Plan a date and hit your local comedy club with your friends. Strengthen your friendship and make some memories while letting laughter lift your spirits! When you are happy and full of laughter you are able to handle your life better and stresses in it. When your job, schedule or family begin to add to the demands on your time you will be able to see how to make it all work with ease. How does this relate to Laugh and Get Rich Day? Well, that is very simple.

When you are laughing, you are more creative. When you are more creative you can think of ideas and ways to help you be more productive at work. This makes you a more valuable asset to your employer and could earn you a raise! If you are especially creative, being happy and healthy might even lead you to the birth of a unique idea that you could follow all the way to the bank! Find that one idea that can start to make a name for yourself. Just by celebrating Laugh and Get Rich Day, you might be able to do exactly just that! Take your idea, your increased productivity and you’re less stressed out mind and body and Laugh and Get Rich!

VIDEO: HII HAPA VIDEO MPYA "KINANDA" KUTOKA KWA MESEN SELEKTA AKIWA NA RAYAKO (VERY HOT)

6:56:00 AM Add Comment

Na Rich Sam  
TANZANIA, kama Wasanii Wengi ambao huwa wanaamua kupiga "SILENT" kwa muda Mrefu hatutakiwi kuwapuuzia kwa namna moja ama nyingine

MESEN SELEKTA ni miongoni mwa Producers ambao walitamka kuwa , kabla hata ya kujihusisha na Production, alikuwa ni msanii wa kawaida kama walivyo wasanii wengine, na kadri siku zinavyokwenda, basi anadhihirisha hilo kwa kazi kali ambazo huwa anaachia

WEDNESDAY HOTTEST TRACK (W.H.T) Ni Brand New Video kutoka kwa Mesen Selekta akiwa ameshirikiana na Rayako. Mkwaju unaitwa KINANDA huku Production ikiwa ni ya kwake mwenyewe. LUCA SWAHILI VISUALS ndio waliohusika katika Video.

Itizame hapa

MNADA BANNER