REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

JIDANGANYENI MUWAZINGUE WA AFRIKA KUSINI..ITAKULA KWENU, HII INAMHUSU D’BANJI

6:01:00 AM Add Comment

Na Black Touchez
KUMEKUWA na taarifa kuwa, Msanii D’Banj Kutoka Nchini Nigeria, yuko katika mahusiano na Binti kutoka Nchini Afrika ya Kusini , anayefahamika kwa Jina la BONANG MATHEBA, ambaye pia Ni Mtangazaji wa RADIO na TV.

SASA, baada ya Info hizo Kuenea zaidi huku na Kule Bloggers kadha wa kadha wa Nigeria, walianza kuandika Info hizo kwa ajili ya wasomaji wao Huku wakiaandaa Vichwa Vyao Vya habari kuwa D BANJ NA MREMBO WA AFRIKA YA KUSINI KATIKA MAHABA MAZITO

·        Usiwakosee Heshima Wa-South.
BAADA ya Bloggers Kuandika Hivyo, hatimaye alitokea Blogger mmoja kutoka Nchini humo humo Afrika Kusini, aliyeamua kutokulikalia Kimya taifa la Nigeria hasa Blogger kwa namna ambavyo wanamuita Bibie Huyo.

Jamaa huyo anayefahamika kwa jina SIBONGILE MAFU, aliamua kutumia account yake ya Twitter na kuwashangaa Bloggers hao ambao wanashindwa kutambua hadhi na Heshima ya Mrembo Huyo ambayo ni Kama Malkia wa Urembo Nchini Humo.
Jamaa huyo aliandika kama Ifuatavyo:

 ‘Bonang is referred to as D’Banj’s ‘pretty South African girlfriend’ by these Nigerian tabloids. Do they not know our queen?’

BONANG ambaye ni Mdandio Mpya wa D’BANJ, kama ulikuwa hujafahamu, ni Mmoja kati ya watangazaji wanaopendwa sana Afrika ya Kusini, Mwenye sauti Nzuri na Tabasamu tamu sana.


Tofauti na Hilo, Shemeji yetu Mpya, Ni balozi Mkubwa (BRAND GLOBA AMBASSADOR) wa Vipodozi vya REVLON, Mshindi Wa Tuzo ya Mburudishaji Africa ya Kusini, Pia ni Malkia wa Mitandao ya Kijamii Afrika ya Kusini.

MNADA BANNER