REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

ESMA PLATNUMZ: "MWISHO MTAKUJA KUSEMA NA DYLAN NI WA PETIT"

2:52:00 AM Add Comment

Na Insta Cop  
WAUNGWANA wa Kitanzania wasiopitwa na Jambo wameongea meeengi sana kuhusiana na Mupenzi ya Esma Platnumz kukunjuka kimahaba na Hamisa Mobeto, mara sijui ikawaje yaani vitu Moooob sana !!!

Lakini kama haitoshi, wakaanza kupost Picha zao, wakaandika Mengi, wakafunguka Mengi, wakafungua account Nyingi, wakaoanisha Picha kibao, lakini Jibu ndo basi limeshatolewa

Instagram account ya Esma ambaye ni Ndugu yake na Diamond Platnumz, ilikuwa ikitembelewa mara kwa mara kujua ni "Ndimu" gani atazikamua mama huyo lakini hiki ndicho alichoamua kukiamsha

MAHABA NIUE !! NIGARAGAZE !!! : FUTURE ATOA ZAWADI YA SAA YA ROLEX KWA MPENZI WAKE MPYA, JOIE CHAVIS AMBAYE PIA NI EX-WA BOW WOW

2:41:00 AM Add Comment
  
Na Baba Juti  
WAUNGWANA bwanaaaa...sasa naona Mahaba yameanza kunoga maana Future huwa hakawizi, na sifa yake kubwa ndiyo hiyo, na wala huwa hakuna ujanja ukishanasa katika Mtego wake.

Siku ya Jana, JOIE CHAVIS ambaye ni mama wa Mtoto wa BOW WOW na hivi sasa ni Mupenzi ya Rapper Future, alikuwa anasherekea Siku yake ya Kuzaliwa, nyie mnaitaga Birthday.

Kila kitu kilienda sawa, na mambo yakaenda Vizuri, keki ikakatwa, watu wakaimba, na ka-picha kake waka-kapost kama ambavyo ilivyo siku zote.

Lakini mambo ya keki hayatuhusu hata kidogo, bali linalotuhusu ni hili Hapa.... FUTURE, alikuwepo !!!!!.

Ingawa hakutaka kuonekana katika Videos ambazo zilikuwa zikirekodiwa pale ama picha ambazo zilikuwa zikipigwa pale, lakini alikuwepo kwa ajili ya kuhakikisha kuwa Mpenzi wake anakula bata la Kutosha na kila kitu kinaenda Fresh kabisa



Kitu ambacho kiliipamba Partyu hiyo, ilikuwa ni zawadi ya Saa ya Gharama aina ya ROLEX, ambayo Future ndiye aliitoa kwa Mrembo huyo ambaye mpaka hivi sasa bado anamchanganya akili Bow Wo

UMA SIO YA KEKI PEKE YAKE!!!!!: BINTI AMBAYE ALICHOMWA KWA "UMA" NA NICKI MINAJ, AJITOKEZA NA KUTOA SABABU AMBAYO ILIFANYA TUKIO HILO LITOKEE

2:30:00 AM Add Comment

Na Baba Juti   
#WatuWaMungu Siku ya Jana, yaani September 27, kulikuwa kuna jambo ambalo sijui kama mlikutana nalo ama inakuwa vipi...ni Kuhusu Nicki Minaj.

Infact, Nicki Minaj mwenyewe alikiri kupitia Instagram account yake kuwa aliwahi kumchoma na UMA alipokuwa na umri wa Miaka 11, kwa madai kuwa alimuingilia katika harakati zake na ilikuwa ni maeneo ambayo hakuna aliyetarajia kama lingetokea hilo

Nicki Minaj hakuyasema hayo tu, bali alimtaja mpaka jina binti huyo kuwa anaitwa DAMEKA WILLIAMS, huku akionekana kufurahia ama kuchekelea Tukio Hilo.

DAMEKA AJITOKEZA   
Baada ya kuona kuwa Nicki Minaj kamtaja na kuzungumzia namna alivyomdhuru huku akionekana kufurahia tukio hilo, Dameka mwenyewe alijitokeza kupitia Twitter account yake na kuporomosha maneno makali huku akionekana kukwazwa na namna ambavyo Minaj kalizungumiza suala hilo.

Dameka aliandika Hivi :
Kahaba Wewe unajivunia kufanya upuuzi huo?. Ulivuruga Party kwa kila mtu na bado ukaniacha na Kovu mguuni mwangu tangu uliponichoma na Uma"

SABABU IMETOLEWA   
Kama haitoshi, moja kati ya Followers wa Dameka, alimuandama Binti huyo ambaye kwa kusema kuwa yeye ndiye aliyeanza kumzingua Nicki.

Lakini katika kulifafanua hilo, Dameka alidai kuwa, yeye alimchana Live kwa kumwambia kuwa hawezi kuimba, labda ajikite katika Rap, na hapo ndipo kiliponuka zaidi.

Aliandika hivi :
"nilimuambia kuwa hawezi kuimba, hivyo ajikite zaidi katika Kurap, na ghafla akaanza kunirushia Ngumi"

ANACHEZEA SHARUBU ZA SIMBA!!!!: HUYU NDIYE MWANAMKE AL:IYEAMUA KUMDHALILISHA MTOTO WA LIL KIM...JE ...KITANUKA?

1:59:00 AM Add Comment

Na Baba Juti   
WATU wa Mungu kuna jambo ambalo sina hakika kama Dada yetu kutoka kwenye ulimwengu wa Hip Hop, LIL KIM, atalifurahia ENDAPO ATAPATA NAFASI YA KULIONA

Mwanamke mmoja ambaye jina lake halijafahamika, ameanza kuisumbua mitandao ya kijamii kwa kupost Picha za mtoto wa Rapper Lil Kim na kuanza kumfanyia masihala ambayo ni wengi sana wameonekana kutoyafurahia hata kidogo

Mwanamke huyo ambaye anayumia Instagram handle ya LOW CUT SAVAGE kunako instagram account yake, kiwizi wizi alionekana akimpiga picha na kushare kupitia Instagram Story, huku akionekana kabisa kumdhalilisha Binti huyo wa Rapper Lil Kim

Katika Picha tofauti tofauti ambazo Mwanamama huyo alizipost, ilikuwa ni pamoja na picha ambayo inamuonesha mtoto huyo akiwa na nywele ambazo zimechoka choka na kutaka kuonesha kuwa inaonekana Lil Kim hamjali Bint yake

TIZAMA PICHA HIZO





MNADA BANNER