REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

SHABAAAAAASH !!! : KANYE WEST KAPONEA CHUPUCHUPU !!!!

2:47:00 AM Add Comment

Na Rich Sam  
#WatuWaMungu ilikuwa Bado kidogo tu Rapper Kanye West akutane na Kesi ya madai na kutakiwa kulipa zaidi ya USD 50,000 baada ya kusababisha usumbufu, lakini maamuzi yaliyotoka, yanaweza wanyima Rappers wengine uhuru wa kujiachia.

Kanye West alikuwa na shughuli ya ALBUM LISTENING PARTY katika eneo la WYOMING, ambalo hufahamika sana kwa kutokuhusishwa na watu wenye ngozi nyeusi, na alikuwa na timu ya watu wengi sana kwa ajili ya shughuli hiyo.

Kwa Mujibu wa mmiliki wa eneo hilo, JANE GOLLIHER, Kanye West alikodi eneo hilo lakini kwa makubaliano ya kufanya shughuli hiyo upande wa Ndani, yaani IN DOOR, lakini Rapper huyo alikuwa akibadili maamuzi kila baada ya Dakika 30, hali ambayo ilipelekea afanye shughuli hiyo Upande wa Nje

Mmiliki huyo anaongeza kuwa, Kanye alichukua uamuzi wa kufunga Speaker nyingi na kubwa katika eneo la uwazi, yaani nje na kuachia Bash la aina yake huku akisababisha usumbufu kwa Watu waliokuwa eneo la Jirani hasa Lodge mbali mbali zilizokuwa zina watu waliokuwa wamepumzika

Pia mmiliki huyo akadai kuwa, alikuwa akipigiwa simu za malalamiko mara kwa mara, hali iliyomfanya amtafute Kanye West ambaye aliahidi kumaliza Shughuli hiyo majira ya Saa Nne Usiku ili kuwaacha watu wa Pumzike, lakini cha ajabu bata hilo lilianza Majira ya Saa tatu za Usiku.

Hata Hivyo amemaliza kwa kusema kuwa, hana Ugomvi na Kanye West maana angemtoza faini ya USD 50,000 ama zaidi, lakini hatoruhusu Rapper yeyote afanye shughuli yake katika eneo lake


KUTANA NA MWANAMKE AMBAYE AMEFANIKIWA KUPANDIKIZWA UKE KWA NGOZI YA SAMAKI, BAADA YA KUISHI BILA "UKE" KWA MUDA MREFU

2:20:00 AM Add Comment

Na Rich Sam 
HAKIKA Mungu atabaki kuwa Mungu na hakuna namna ya kushindwa kumuita Mungu na kuheshimu jina lake kwa muujiza huu alioutenda, japo ni kupitia kwa Binadamu.

Unaweza ukazaliwa Bila matumaini ama ndoto ya kupata kiungo fulani muhimu katika mwili wako, lakini ikafikia muda, watafiti na wataalamu kadha wa kadha wakabaini ni namna gani ambavyo wanaweza kufanya hivyo ili kukuweka sawa.

Hii tumekuwa tukiiona katika matukio mbali mbali, Mfano, mtu ahana mguu, lakini anawekewa mguu mwingine, mtu hana jicho, mkono, pua, sikio, lakini wataalamu wanafanikiwa kulifanya.

JUCELINE MARINHO, Binti kutoka Nchini Brazili, mwenye umri wa miaka 23, ambaye alizaliwa bila "Uke", hatimaye amekuwa ni binadamu wa kwanza Ulimwenguni hasa Mwanamke, kupandikiziwa Uke hasa kwa kutumia Ngozi ya juu ya Samaki.

Bi Marinho amekuwa katika hali hiyo ya kukosa hasa viungo muhimu kama vile Ovari na Kiungo muhimu katika kizazi maarufu kama Cervix kwa kitaalam zaidi.

Utaratibu wa kumsaidia binti huyu ulianza ikiwa ni baada ya kubainika kuwa ana mampungufu mnamo April Mwaka jana, hali ambayo ilimfanya ashindwe kupata mtoto na hata kufanya tendo la ndoa, kitu ambacho kilimuumiza kwa asilimia kubwa

Lakini baada ya kupatikana kwa wataalamu kutoka FEDERAL UNIVERSITY OF CEARA huko huko Brazil, ilibainika kuwa tatizo hilo linaweza kusaidika kiurahisi zaidi kwa kupandikiza Ngozi ya samaki (Ile yenye magamba) katika njia za ndani za uke wake ambazo zitamuwezesha kushiriki tendo la Ndoa bila tatizo na hata kufanya jitihada za kunasa ujauzito

Hata Hivyo, Baada ya kufanyiwa Zoezi hilo kwa Takriban wiki tatu Hospitali bila kutoka, Bi Marinho amefanikiwa kufanya Tendo la Ndoa kwa mara ya kwanza na Boyfriend wake MARCUS SANTOS (24) ambao tangu waanze mahusiano katika mwaka mmoja, hawakuwahi kufanya hivyo

 TUNAMNUKUU
"ilikuwa ni muda mzuri sana kwa sababu kila kitu kilienda sawa, hakukuwa na mamuvu hata kidogo, na nilifurahia sana na kuburudika Sana

Kwa kinywa chake mwenyewe, Marinho amesema kuwa anafurahia sana kuwa na UKE, kiungo muhimu sana ambacho kila mwanamke yeyote yule duniani, hujivunia kuwa nacho...
Alisema hivi...
"Familia yangu ilinitoa OUT, na kusherekea mimi kufanikiwa kuwa na Uke"

PICHA ZAIDI






 

MNADA BANNER