REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

MASTER P: UJINGA WA 50 CENT UNAUA SANA RAP

3:35:00 AM Add Comment

Na Baba Juti
#WatuWaMungu Beef la 50 Cents na master P linazidi kuchukua nafasi ya pekee hasa baada ya majibu ya hapa na pale baina ya Rappers hawa wawili

Awali iliwahi kuibuka inf kuwa , Master P amekuwa akikwazwa na namna ambavyo 50 Cents anaongea upuuzi hasa juu yake, kitu ambacho kiliamsha Hisia za Wengi

Lakini miaka kama miwili iliyopita, Master P alidai kuwa yeye ndiye aliyelipia TOUR ya kwanza kabisa ya Rapper 50 Cents, licha ya dharau anazozidi kuonesha juu yake na wengine, bado kamsamehe.

Katika hatua Nyingine, inasemekana kuwa, Master P ndiye alikuwa mtu wakwanza kabisa kuonesha kila aina ya Support kwa Hit maker huyu wa I GET MONEY hasa katika album yake ya Get Rich Or Die Trying.

Sasa, mapema safari hii, Master P ameibuka na kusema kuwa, Ujinga anaoufanya 50 Cents kwa ajili ya kutafuta Kick, basi unaua sana Soko la Rap, maana hata kama unahitaji kuuza kitu, haina ulazima kufanya Vitu kama hivyo ambavyo vinaonekana ni vya kitoto.

GOOD NEWS !!! : WATU WA MUNGU QUEEN LATIFAH ANA HABARI NZURI SANA KWA WALE WOTE AMBAO HAMJASIKIA LOLOTE KUTOKA KWAKE

2:41:00 AM Add Comment

Na Rich Sam   

#WatuWaMungu Wengi tunamfahamu Vizuri huyu Bibie anayefahamika kwa jina la Queen Latifah hasa ukizingatia katika Historia ya Muziki, kuna heshima kubwa ambayo anayo.

Sasa imekuwa ni Muda Mrefu sasa tangu tumemsikia Queen Latifa katika HIP HOP INDUSTRY ukizingatia yeye ni moja kati ya wakongwe walioweka Heshima ya Muziki wa Hip Hop katika maana nzuri kwa "Female Rappers"

Licha ya kujikita zaidi katika Suala Zima la Movie , Bibie huyu amekiri kuwa hivi sasa anatarajia kurudia katika Game na kuna vitu vingi ambavyo tayari ameshaviandaa kwa ajili ya "WatuWaMungu ambao wamemiss ujio wake

"Tofauti na Hip Hop, Nimeandaa pia album ya Jazz ambayo itawafanya wengi wajue kabisa sikuwahi kuchukulia Poa Muziki katika Maisha yangu"alisema Queen Latifah


MAPYA YAMEIBUKA: KUMBE MUME WA JANET JACKSON, ALIKUWA AKIMUITA "KAHABA" KILA SIKU, WAKATI NI MJAMZITO

1:59:00 AM Add Comment

Na Baba Juti 
#WatuWaMungu mambo mengi sasa yanaanza kufichuka kuhusiana na sakata la Talaka ya JANET JACKSON na aliyekuwa Mumewe WISSAM AL MANA ikiwa ni baada ya Tukio la Kulia Stejini katika Tour yake ya A State Of World.

Safari hii Kaka yake na Janet Jackson anayeitwa RANDY JACKSON ameibu tatizo lingine ambalo lilionekana kumkwaza na hata kumuumiza zaidi Janet Jackson wakati akiwa katika Ndoa yake huko Quatar.

Randy Jackson anadai kuwa, Wissam licha ya kumfanyia unyanyasaji ambao wengi tumeusikia kutoka kwa watu wengi na vyombo vya habari vingi, bado alikuwa akimdhalilisha na hata kumfanya aione dunia chungu kipindi Janet Jackson ana ujauzito wa mtoto wao EISSA.

Kaka huyo wa Janet ambaye ni mtu wa karibu sana kwa Bibie huyo anadai kuwa, Wissam alifikia mpaka hatua ya Kumuita Mara kwa Mara Janet kuwa ni KAHABA, kitu ambacho hakikuwa sahihi kwa Dada yake.

      TUNAMNUKUU    
"Ilikuwa ni Hali ya Dharau kwa asilimia Fulani. Na hii ilitokea katika Mahusiano yao hapo Baadaye kabisa. Udhalilishaji wa Maneno, kufanywa Mfungwa ndani ya nyumba yake. Hakuna mwanamke mjamzito anayependa kuitwa KAHABA kila siku. Kulikuwa na Vitu kama Hivyo. na hayo ndiyo aliyopitia.  Kile Mlichokishuhudia HUSTON, ni hali yake ambayo ilikuwa inajitokeza, na hicho ndicho alichopitia. Unyanyasaji bado unaendelea ni kweli wana makubaliano kimalezi, na alimruhusu aambatane na mtoto wao kwenye tour yake, lakini bado kuna uonevu. Hii Tour isingefanyika, lakini kwa Neema ya Mungu, tuko hapa na tunasali sana"



MCHAMBAJI HUCHAMBWA !!!! : MTANGAZAJI MAARUFU KWA KUCHAMBA MASTAA NCHINI MAREKANI, WENDY WILLIAMS, NAYE AMEPATIKANA AKIWA NDANI YA BIKINI, WANASEMA ETI NI KAMA MDOLI ULIOKOSA MATUNZO

1:40:00 AM Add Comment

Na Baba Juti  
#WatuWaMungu mnamfahamu Vizuri huyu mwanamke anayeitwa WENDY WILLIAMS?... Yeah !! kwa asilimia kubwa amekuwa akifanya mambo Mengi sana kupitia Kipindi chake cha TV kinachoitwa "THE WENDY WILLIAMS SHOW".

Katika Kipindi chake, Bi Mkubwa huyu mwenye Miaka 53, amekuwa akizungumzia masuala mbali mbali ikiwemo Mitindo, Masha ya kawaida, Maswali ya kuchokoza, Interviews na watu Maarufu, masuala ya Fashion, na hata Udaku udaku wa huku Na Kule

Lakini mastaa wengi wanamfahamu vizuri kabisa kwa "kupondwa" na kukosolewa vibaya sana na Bibi Huyu hasa linapokuja suala la Muonekano, Mavazi na mengineyo Chungu Kibao

Wengi ambao wameshawahi kuathirika na "Madongo" ya Wendy Williams, ni pamoja na Rihanna, T.I, Kim Kardashian, Lil Wayne, Kanye West, Beyonce, Jay Z na wengine wengi sana.

Na kwa asilimia kubwa amekuwa akiwasema na kuwakosoa vikali hasa linapokuja suala zima la muonekano wao, mavazi yao, na mengineyo

Sasa Bwana Weeh !!! Jana zikaibuka Picha zake akiwa ndani ya BIKINI kunako Fukwe za Visiwa vya BARBADOS... ilikuwa ni Kituko...Picha Hizi hapa, mjionee wenyewe










MAMBO MENGINE BWANA !! WAKENYA WAMUAMBIA VICTORIA KIMANI AACHE B@NGI KISA VAZI HILI

1:30:00 AM Add Comment

Na Baba Juti  
#WatuWaMungu kutoka 254 KENYA, wamejikuta wakimuamshia Victoria Kimani kwa Kuvaa vazi ambalo ni geni machoni mwao (Si unajua Masuala ya Fashion)

Kupitia Instagram account yake, Kimani alianza kupost Picha ya Vazi fulani tofauti kabisa lenye Rangi ya Kijani akiwa amelivaa, vazi ambalo linaonekana kuwagusa kadhaa huku wengi wao wakionekana kama kukwazawa na Vazi hilo

Katika Hatua hiyo,Wengi walionekana kama kuchukizwa na Vazi hilo, Ingawa kwa Upande wetu hatukuona sababu ya Mashabiki wake wa Kenya kufikia hatua ya kumkandia juu ya Vazi hilo

Wengine walidiriki Kumwambia kuwa aache BANG! kwa sababu mavazi hayo yanavaliwa na watu ambao akili zao kama zimepaa hivi

MNADA BANNER