REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

MR. NICE AKUMBANA NA BONGELA AIBU.

7:42:00 AM Add Comment


Baada ya Kujitapa kuwa sasa Yupo katika Bonge la LEBO na atafanya makubwa akiwa Nchini Kenya, PENGINE sasa MZIMU wa Mikosi unaanza kumuandama LUCAS MKENDA maarufu kama Mr. Nice.
MR.Nice amekumbana na Adha Kali baada ya Kushindwa kufanya Vizuri katika Show iliyofanyika katika Eneo la Kericho, na Hatimaye Kuambulia ma –Booooooooooooooooooooooooo ya kutosha na Kupoteza kabisa Mzuka.
Aidha baada ya Kuharibu katika Stage, Promoter aliyendaa Show hiyo alikataa kumlipa Mr Nice, na Kumuacgha jamaa akiambulia patupu.
Katika Tukio linguine laKushangaza, ni baada ya Mkali huyo wa zamani wa TAKEU pamoja na Promoter huyo kupata Kisanga cha Kuzimikiwa na Gari  walipokuwa wanaelekea katika Eneo la LITEIN – BOMERT na kuwafanya kusimama masaa kadhaa katka safari yao kabla ya Kupata Msaada.

BBA THE CHASE: WATATU WAINGIA KIKAANGONI…………..TANZANIA JE?

7:33:00 AM Add Comment

Na Ntty E

Kama Kawaida, Kila Wiki lazima Watu qwaingizwe Kikaangoni ili Mtu aweze kusepa,na wengnewaeze kusurvive kwa ajili ya kusaka Ushingi.
Wiki hii Mchakato ulikuwa Mgumu Kidogo kiasi kwamba ilileta Kimuhe muhe cha Washirikia kuchaguana mara kadhaa ili apatikane Mtu wa kwenda kikaangoni juma hili.
Lakini Mwisho wa Siku Washiriki watatu wakapatikana, hali iliyoleta utofauti na Utaratibu wa kawaida,ambapo huingia 7 kikaangoni, na Wawili kutoka.
Walioingia Kikaaangoni Juma hili ni Hawa
Annabel (KENYA), Elikem (GHANA), na  Sulu (ZAMBIA)
  
WAKATI Watatu hao Wakiingia Kikaangoni huku Watanzania tukizidi kupeta ndani ya Jengo Hilo la KAKA MKUBWA, Mtanzania Nando pamoja na Mnamibia DILISHI wameonekana kumalizaTofauti zao.
Kikubwa ambacho kiliwafanya wawili hawa Kugombana, ni Kitendo cha NANDO kushindwa kuhifadhi masuala ya Kibinafsi hasa walipokuwawakitaniana Wao wawili, na Badala yake amekuwa akiyafikisha Kwa watu.
Sababu kubwa  ambayo ililetaq Mzozo ilikuwa ni Baada ya NANDO Kutangaza Kwa watu kuwa, Mwanadada DILISH alimshika UUmewake wakati wapo Bafuni,jambo ambalo lilimuudhi sana Mwanadada huyo, huku akilalalamika kuwa, Nando Pia amekuwa akimshika makalio yake mara Kadhaa,likini hakumwambia Mtu,maana alichukulia ni Masuala ya Utani.

ROCK CITY: VIPAJI VIWILI KWA KICHWA HIKI....

7:10:00 AM Add Comment
READY TO ROCK : Msanii wa HipHopna Mtangazaji wa kituocha Redio cha Metro (METRO FM 99.4 MHz) akiwa Katika Mnato,baada ya Kuandaa Package la Show ya JAM SESSION

 NIPO KAZINI: Mwandada Edna "Natty E" akiwa Katika Stage akishusha Mikwaju hatari kunako RapMusic
 ARE YOU READY !!!: Natty E Kazini

TUENDELEE AMA TUSIENDELEE? : Stage kwake huwa Haitoshi....ongezeni Nyingine jamani

BIO:
NAME : Edna Elisha
AGE: Secrety
BIRTH DATE : October 27
TRIBE : Luo
WORK : Radio Presenter at Metro Fm 99.4 Mhz / Hip Hop Artist
RECIDENCE :Mwanza
EDUCATION: Secret
LIKE: Music and other good Stuffs
DISLIKES : Snitches
FACEBOOK : facebook.com/ Natty E


MNADA BANNER