REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

KAULI YA COMMON KUHUSU MAHUSIANO YA DRAKE NA SERENA WILLIAMS

2:06:00 AM Add Comment

IKUMBUKWE: Common aliwahi kuwa na Mahusiano na Mcheza Tennis Serena Williams ambaye Hivi sasa, ni “Mdandio” Mpya wa Drake.

Pia Mnamo Mwaka 2011, Common aliwahi kuingia katika Timbwili na Drake, huku kisa akiwa ni huyo huyo Serena Williams.

Sasa, Baada ya taarifa kuzagaa na hatimaye kuthibitika kabisa kuwa,  Serena na rapper Drake ni wapenzi na Wapo katika mahaba mazito, kauli ya Common ya kuwapa Baraka katika mahusiano yao, hatimaye Imetoka.

Common ambaye ni Mkongwe na Mbabe wa Hip Hop, amedai kuwa, Serena ni Rafiki yake, ingawa kipindi cha Nyuma wamewahi kuwa na mahusiano kipindi cha nyuma.


Lakini Kwa hivi sasa, kama Yuko “happy” na mahusiano Mapya, basi anamtakia kila la Kheri na hana tattizo Juu ya hilo






KIM KARDASHIAN NA KANYE WEST KULIPWA USD 440,000 KUTOKA KWA CO-FOUNDER WA YOU TUBE

1:12:00 AM Add Comment

HATIMAYE  Kesi imezaa Matunda ikiwa ni baada Ya Kanye West na Mkewe Kim kardashian West kufungua mashtaka hayo, kufuatia kuvujishwa kwa Video Clip yao wakati wa Kuvalishana Pete ya Uchumba.

MIAKA miwili iliyokata, Kim na Kanye, walifungua Mashtaka dhidi ya Co- Founder wa Youtube, Chad Hurley, ambaye inasemekana ndiye aliyevujisha Kipande hicho cha Video Kilichorekodiwa, bila Idhini ya Wanandoa hao.

Taarifa zinazidi kumiminika kuwa, Hurley alikuwa katika Eneo la Tukio, katika uwanja wa AT & PARK Huko San Francisco, na alifanya Shughuli ya Kurecord kwa Siri Kubwa, na kisha kukipost katika Youtube, kunako Kipengere chake kipya-MIXBIT.

Ingawa aliweza kubeba Umaarufu Mkubwa Ndani ya Dakika 15 Tu, Hurley anatakiwa kusalimisha Mkwanja huo, USD 440,000 sawa na 972,840,000 Za Kitanzania


Malipo hayo yanatakiwa kufanyika Ndani ya Siku Chache zijazo.

MNADA BANNER