REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

LADIES VIBE: KUTANA NA BAADHI YA BIDHAA ZA RIHANNA KWA AKINA DADA WANAOHITAJI UREMBO ZAIDI

5:32:00 AM Add Comment

Na Baba Juti  
WATU Wa Mungu hasa wale wenye Jinsia ya Kike, tunafahamu vizuri kabisa kuwa Hitmaker wa "DIAMONDS", Rihanna, ameamua kujitosa moja kwa moja katika Biashara

Na Biashara ambazo tunazifahamu anazofanya Rihanna ukiachilia mbali Muziki, ni pamoja na Slippers, Mavazi na safari hii kaamua kuwagusa akina Dada Vizuri kabisa kupitia Vipodozi

Sasa, Tumepita katika Account yake ya Kibiashara, tukakutana na huu mzigo ambao akina dada inabidi mjipange kuuchangamkia, kama mlivyochangamkia Slippers zake







MASIKINI POLE !!!: MJENGO WA JASON DERULO WAVAMIWA NA WEZI NA KUIBA USD 300,000

5:24:00 AM Add Comment

Na Baba Juti  
WATU Wa Mungu kuna waungwana Wengine huwa wanakuwa na "Huruma-less" hata kama umejipinda vipi ili kurekebisha maisha yako na mipango yako. Hawa wanaitwaga WEZI.

Jumba la Hitmaker wa "SWALLA" , Jason De Rulo limevunjwa na Wezi "Wasiofahamika" na kumkomba kiasi cha USD 300,000 na vito vya thamani kama vile Cheni, saa, Pete, nk.

Tukio hilo lilifanyika SEPTEMBER 22 huko maeneo ya TARZAN, LOS ANGELS, Marekani ambapo hakuna Mtu aliyejeruhiwa na Wakati huo Jason De Rulo hakiwepo eneo la Tukio, yaani alikuwa Nje ya Mji kwa ajili ya Kazi maalum

Polisi kutoka Los Angel (LAPD) wametoa Taarifa kuwa, Wezi hao walivunja na kuingia kupitia Dirishani na mlangoni, na kisha kwenda moja kwa moja mpaka Chumbani kwa Jason De Rulo na kukomba vitu hivyo.

Hata Hivyo mfanyakazi wa Ndani wa Mkali huyo, anasakwa ili kutoa maelezo maana inasemekana huenda akawa anahusika kwa namna moja ama nyingine

WOLOLO YAYEEEEE !!!: KUTANA NA MWANAMKE ALIYETENGENEZA HISTORIA YA KUWA NA KALIO "FEKI" AMBALO NI KUBWA KULIKO YOTE DUNIANI (PICHA)

5:12:00 AM Add Comment

Na Baba Juti  
WAUNGWANA tunaombeni mtupatie Ruhusa, kama ni sahihi kumpongeza ama inabidi tumkaushie maana nyie ndo mnaweza sema lolote juu ya hiki ambacho kinaonekana

NATASAH CROWN, raia wa SWEEDEN mwenye Miaka 24 kwa hivi sasa, ameingia katika Historia ya Kitabu cha GUINESS WORLD RECORDS kwa kuwa ni mwanamke mwqenye Kalio Kubwa la Kupandikiza, kuliko yeyote hapa Duniani.

Akizungumz\ia suala hilo kwa undani zaidi, Natsha ambaye Kalio hilo Feki lina ukubwa wa "Inchi Mzunguko" 72, amesema kuwa alifanya upandikizi wa kwanza akiwa na Miaka 20 tu

"Nilikuwa na Miaka 20 wakati nafanyiwa Upandikizi wa Mara ya Kwanza. Kitu ambacho huwa nakifanya kila nikiamka asubuhi ni kuliangalia Kalio langu kupitia Kioo"

Katika hali nyingine, Natasha amedai kuwa, kuwa na Kalio kubwa kiasi hicho, halimfanyi kujihisi Mzito, bali anajihisi ni mwepesi kabisa na anafikiria kuongeza ukubwa Zaidi"

   TIZAMA PICHA ZAKE    








MNADA BANNER